Mke napiga goli moja, mchepuko mpya goli 3-4 kwanini?

Mke napiga goli moja, mchepuko mpya goli 3-4 kwanini?

Tune your mind! Unadhani kwanini uliacha wanawake wote ukamuoa ulie nae? Ni kwa sababu she was best of the best...unless kama ulichaguliwa mke wa kuoa.

Mpende mkeo, rudisha ukaribu kama mwanzo kipindi mnaanza. Muheshimu na umthamini.
Touched , frankly,
 
uwe unahamahama sio unang'ang'ania kitanda tu km sanamu,mwenzio mi huwa nahama siku nyingine chooni,sebuleni,jikoni,uvunguni siku nyingine namwambia beki tatu atupishe kwake ili mradi kulinda ndoa yangu ingawa wife anaona km limbwata limekolea lakini hafikirii kuchepuka hata kidogo.
 
Hizi mada za MMU ni hot kweli kweli, zinatembea kwa mwendokasi aisee.
 
Mpo good?

Nawapenda.

Kama head inavoeleza hapo.

Nimebaini nikitoka nje nanogewa zaidi.

Na pia nikitoka kidogo nje ya ndo nikirudi kwa wife namfeel tena utamu unazidi.

Kwanini?

Vipi, anayekutwa na same situation au related to, atujuze kidogo.
No comment
 
Itafika kipindi kwa wiki unampiga shoot moja! Unapoteza interest kwa mkeo pole pole.

Fanya haraka kujijenga kisaikolojia na kuwa karibu na mkeo. Zungumzeni...mpe compliment za kutosha. Ikifika point na yeye akapoteza interest kwako hapo ndani itakuwa balaa. Mtakuwa mnapishana tu kama mazombie.

Wanaume wajanja nje wanaonja...Nyumbani wanakula na kushiba. Heshima yako kama mwanaume inajengwa nyumbani sio huko barabarani.

Tune your mind! Unadhani kwanini uliacha wanawake wote ukamuoa ulie nae? Ni kwa sababu she was best of the best...unless kama ulichaguliwa mke wa kuoa.

Mpende mkeo, rudisha ukaribu kama mwanzo kipindi mnaanza. Muheshimu na umthamini.


...couldn't say more carter! [emoji106]
 
Mpo good?

Nawapenda.

Kama head inavoeleza hapo.

Nimebaini nikitoka nje nanogewa zaidi.

Na pia nikitoka kidogo nje ya ndo nikirudi kwa wife namfeel tena utamu unazidi.

Kwanini?

Vipi, anayekutwa na same situation au related to, atujuze kidogo.


Umeathirika kisaikolojia. Usikute mkeo naye anachapwa goli zaidi ya hizo 4 na mchepuko wake, katafuteni solution msifichane nyie ni kitu kimoja.
 
Ni tatizo la kisaikolojia tu mkuu. Jitahidi kupambana nalo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom