Mke napiga goli moja, mchepuko mpya goli 3-4 kwanini?

Mke napiga goli moja, mchepuko mpya goli 3-4 kwanini?

Una tatzo mkuu.. tafuta sababu kwanin nje 3 ndani kamoja, ukiipata ifanyie kazi..

Kuna ulazima gani mpaka uchepuke means ndani kuna tatizo..
 
Sio lazima kwamba SHE WAS THE BEST OF THE BEST...!!!

Wat if huyo binti alimuona mshikaji ndo the best, then AKAENDA KUROGA...???

Mabinti siku hizi wanaroga sn mkuu. Yan wanasaka ndoa to the extent kwmb wanaona the only solution ni kuroga. Wapo sana kitaa na tunaona mkuu...!!

Wao wana picha mbili, ukimkuta aliyeshika dini, basi ameshika dini kwelikweli. Na ukimkuta mrogaji, kidume ni ngumu sana kupindua. Akikukamata kuchomoka kazi..!!!


Aiseeh!, ndio Limbwata hili au mtu analogwa kwanza halafu ndo anapewa Limbwata?

espy Heaven Sent nataka kumloga fulani...lol!
 
Wife anaboa, ukitaka mzigo unakuwa kama ndiyo unaanza kutongoza wakati kwa mchepuko unajisevia unavyotaka
 
fursa ruge.jpg
HAYA MAMBO YA SACCOSS NA UJASILIAMALI NI HOVYO KABISA! MKE ANARUDI AMECHOKA TOKA SACCOSS, MAOMBI, VIKUNDI HAMU HANA,YAANI MNAKUWA KAMA MNALIMA SHAMBA,HUYU MCHEPUKO ANAKUWA ANATUMIA FURSA VIZURI KWANI ANAKUWA YUPO KAZINI
 
Acheni wivuu..! Mkiolewa mnabweteka nanilii zinatoa kauvundo mchepuko unasubiria pesa ya pango unajituma why mlalamike..!
Hathwa, inaeza kuwa sababu kwa baadh, but i didnt experience it by my side
 
Sio lazima kwamba SHE WAS THE BEST OF THE BEST...!!!

Wat if huyo binti alimuona mshikaji ndo the best, then AKAENDA KUROGA...???

Mabinti siku hizi wanaroga sn mkuu. Yan wanasaka ndoa to the extent kwmb wanaona the only solution ni kuroga. Wapo sana kitaa na tunaona mkuu...!!

Wao wana picha mbili, ukimkuta aliyeshika dini, basi ameshika dini kwelikweli. Na ukimkuta mrogaji, kidume ni ngumu sana kupindua. Akikukamata kuchomoka kazi..!!!
Great, afu unajua wale wanaoroga mara nyingne wanaroga kwa kamba za marehemu alekufa kwa kuji_hunged, so siku mambo yakienda sivo either ujiuwe or umuue ajiue, kule igunga ipo sehemu , tarafa moja, uswahilnii, visa hivyo na hiyo mifumo ipo fwaàaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom