Kwakweli, sio kwa mafurushi haya!We have a long way to go..
Mweeeh!Mkeo nae ana mchepuko wake unapiga bao 3
Kaka shemeji usicheke eti, kuna mambo yanatia hasira ujue!![emoji16] [emoji16] [emoji16]
***** we si ulisema mwanamke leo umekuwa mwanaume??Afu kwer JMn ata mm nje napiga bao 3 mpaka 5 kwa wife daaa 1 kwa wiki
Acheni wivuu..! Mkiolewa mnabweteka nanilii zinatoa kauvundo mchepuko unasubiria pesa ya pango unajituma why mlalamike..!Hawa ndio waume eti!!!
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Mkeo nae ana mchepuko wake unapiga bao 3
Kama mkiolewa mnabweteka why mchepuko usichampion..Kazi tunayo
Ingawa kidonda..!Kipya kinyemi..
Sio lazima kwamba SHE WAS THE BEST OF THE BEST...!!!Tune your mind! Unadhani kwanini uliacha wanawake wote ukamuoa ulie nae? Ni kwa sababu she was best of the best...unless kama ulichaguliwa mke wa kuoa.
Mpende mkeo, rudisha ukaribu kama mwanzo kipindi mnaanza. Muheshimu na umthamini.
Lazima ukonde.Mi nikiwa na Nchepuko napiga goli 6 na nkirudi kwa nke wangu nagonga 2 times yani goli 12 ukijulimsha kwa siku napiga goli 18[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Mbona we mwenyewe ni mwanamke!Afu kwer JMn ata mm nje napiga bao 3 mpaka 5 kwa wife daaa 1 kwa wiki
Kwakweli, sio kwa mafurushi haya!
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
uwe unahamahama sio unang'ang'ania kitanda tu km sanamu,mwenzio mi huwa nahama siku nyingine chooni,sebuleni,jikoni,uvunguni siku nyingine namwambia beki tatu atupishe kwake ili mradi kulinda ndoa yangu ingawa wife anaona km limbwata limekolea lakini hafikirii kuchepuka hata kidogo.