Siku nikahama R.C naenda kuabudu ng'ombeMchungaji mwenyewe ukimuona ni full magumashi na usanii hela ambazo wife ameshapeleka huko kanisani kama zaka na sadaka sasa hivi angekua na migahawa miwili
Lakini wanachangishwa hela kama Hawana akili nzuri
Mm huyo pastor nilimgomea kusali kwenye kanisa lao niliwaambia siwezi kuhama kanisa langu la asili tangu hapo huyo pastor hanipendi sana
Hivyo pastor akaanzisha kampeni maalum wanamletea akina mama wa maombi wanamweleza wife kuwa imani yake haikui sababu yangu
Hivyo Kuna historia flan ya mgogoro kati yangu na huyo mchungaji
Bahati mbaya na wife amemwani huyu pastor na kanisa Lake
Mkuu nimetoa msaada mara kadhaa biashara hiyo inapoyumba sio mara moja wala mbili ni mara nyingi tuHiyo ndoa imeshapata jeraha au tayari Ina majeraha mengi.
Je ukiacha kumpa mtaji wa kuanzia uliendelea kumsapoti mkeo kwenye hiyo biashara?
Maana huenda akaamini umechukua ili kumkwamisha maana hutaki aendelee na shughuli hiyo.
Pole na hongera Mungu akubariki sana na huyo mama mkwe wako.Mkwe wangu tunaelewana SANA na anajua katika wakwe zake 13 basi mie ndio kipenzi chake manake simchukui kama mkwe
ni Mama kwangu nirafiki yangu na nimtu ambae sifanyi langu bila kumwambia kwahiyo anajua na sijui mumewangu alishikwa na nini mpaka akafanya vile lakini haya ndio mitihani ya ndoa..
na yakiwa kawaida utasikia wakisema "kapoteza mke na hela alizomuibia hata hazijamsaidia chochote ni heri angemrudishia wakabaki wote tu"nakubaliana na wewe...na aende tu kwa kweli ila kuna kitu...kwamba wakiona maisha ya jamaa yameanza kuimarika watakuja na hadithi....'mnaona ni zile hela alizomuibia mkewe'
Kaabudu hata jiwe mkuu lakini sio hao watuSiku nikahama R.C naenda kuabudu ng'ombe
kutokana na maelezo haya kuna chance ya 75% kuwa hizo hela ameibiwa na huyo mchungajiMchungaji mwenyewe ukimuona ni full magumashi na usanii hela ambazo wife ameshapeleka huko kanisani kama zaka na sadaka sasa hivi angekua na migahawa miwili
Lakini wanachangishwa hela kama Hawana akili nzuri
Mm huyo pastor nilimgomea kusali kwenye kanisa lao niliwaambia siwezi kuhama kanisa langu la asili tangu hapo huyo pastor hanipendi sana
Hivyo pastor akaanzisha kampeni maalum wanamletea akina mama wa maombi wanamweleza wife kuwa imani yake haikui sababu yangu
Hivyo Kuna historia flan ya mgogoro kati yangu na huyo mchungaji
Bahati mbaya na wife amemwani huyu pastor na kanisa Lake
Hapo ndio ustahamilivu unapokuja na sikufikiria mimi nafsi yangu ila watoto wangu walikua wadogo just 4months nimetoka na sikupenda watoto wangu wakue bila mzazi wao...na vile vile binadamu tuwe na moyo wa kusamehe ikiwa mwenyezi mungu anasamehe why not sisi...I can imagine! mtu unayetegemea asimame upande wako anapokuwa on your contrary!me ndoa ingeisha tu kwa kweli...
Hakuna kama unasema huyo bibie aende polisi ili mbivu na mbichi zijulikane lkn kama ushahidi wake pekee ni maono ya mchungaji basi polisi lazima watamnywaaa alafu baadae wanamtoa baro manake hakuna kesi hapo.rudisha hela ya mkeo acha mambo ya zamani,hata mimi naona wewe ndiye suspect namba moja,
Wewe nawe Mchungaji?mtani wachungaji tumebaki wachache...
Ameen na Ahsante sanaaa.Pole na hongera Mungu akubariki sana na huyo mama mkwe wako.
Tafuta kanisa la huyo jamaa ulipige kiberiti hana maana hata kidogoha haha basi we tulia tu mda ufike afanye maamuzi ila umpe neno moja tu kuwa maamuzi yake asije jutia milele...... haya makanisa wanaharibu kabisa huyo mchungaji hana hekima .. kuna gape kubwa kati ya mkeo na wewe ambapo huyo mchungaji ameshaambia kila kitu yeye anachofanya ni kugongelea msumari tu
Mimi ni binadamu na nna Moyo pia,sababau ya kutoondoka pale mwanzo nikutaka kujua wapi hela imekwenda,ningeondoka maneno yangezidi ilifikia mpaka mumewangu chakula nnachopika akawa hali anakula kwa ndugu zake,nilisema ntabakia hapa mpaka nijue ukweli,nilipotapa ukweli ndio siku nilochukua wanangu nikaondoka,nilikua na mawazo mengi sanaa,khasa mumewangu ndugu zake kuniamini au kutokuniamini is the list of my concern lakini yeye ndio aliekua ananiumiza kichwa siamini masikio yangu wala macho yangu nikimuangalia nalia kama nimepigwa nasikia uchungu machozi yamotooooo
yani roho inaniuma hata sijui nielezee vp..mmmm it was BAD...
Pastor amepiga ramli kama mganga wa kienyeji. Huyo pastor mtafutie [emoji379] piga ya kiuno
[emoji2] [emoji2] [emoji2] kazingua sana huyu pastor,Hahahahahahaha.....mamaaae pastor mngese kweli
Wallah Ndoa haina RAHA tupu kuna na mitihani kama hiyo ni wajibu wetu tukiwa kama binadamu kuthibiti,sisemi kua ni rahisi lakini jitahidi sana kua mvumilivu na muelewa Mkuu,kwanza fikiria familia yako pili usi fanye maamuzi ukiwa na hasiri..
Mimi yalinikuta hayo niliambiwa nimeiba mil 12 za shemeji yangu wakati hata chumbani kwa shemeji siingi,wakunitetea alitakiwa awe mumewangu nnae lalanae na kuamka nae na yeye pia alijiunga na ndugu zake sikutegemea kama angeweza kunubadilikia,lakini niliepusha shari pesa niliwapa na Sorry nikaomba nikawa nanuka wizi kwenye ukoo mzima, baada ya siku 20 nikiwa naimba mungu sanaaa kwa vilio,kumbe mtoto wa yule shemeji ndio alie chukua hela akaenda South Africa kipindi kile cha kuzamia wakakamatwa njiani hela zikaibiwa na kupigwa juu,akaletwa nyumbani hoi kuulizwa ilikuwaje ndio akasema mwanzo mpaka mwisho,ebu vuta picha kama ungekua wewe ungefanyaje?
Kama kuna mtu alie simama na mimi kua siwezi kuiba ni Mkwe wangu mamake mume wangu ukweli ulipo julikana tuu,nilifungasha wanangu kwetu nikasema hiyo pesa mkinipa sawa na msiponipa pia nimesamehe Talaka yangu mr utaileta
nyumbani kwetu.....nisikuchoshe mkuu.... chamsingi vuta subra familia yako ni muhimu sanaaaaa..
Hahahaah kama wachungaji wenyewe ndio kama wewe basi dunia imeisha.mtani wachungaji tumebaki wachache...