Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,412
- 52,064
- Thread starter
- #21
Lakini haujasema kama baada ya kuuupokea huo mkataba aliusaini au aliishia tu kwenye kuusoma na baada ya kuona upuuzi wote uliomo ndani yake akakurudishia.
Upuuzi wote uliopo kwenye mkataba hasa ahadi unatoka kwake. Huo nimeamua kuiweka kimaandishi katika mkataba ili huko mbele tusigeukane