Mkapa above the law?: Allegations

Mkapa above the law?: Allegations

Rufiji et al.,

Tupo pamoja. Sote tungependa kabisa Mkapa na wenzake ifike mahala wapande kwenye witness box. Ninachojaribu kujenga hoja hapa ni kwamba this thing is not as simple as ABC as you tend to suggest. Sheria zetu zilivyo ni kwamba hii inatoa haki hii na kuna sheria nyingine ambayo inaifuta haki hiyohiyo! Sasa kama akina JK na bunge letu kweli wana nia ya kumfikisha Mkapa mahakamani kwa nini miaka mitatu tangu wawe madarakani hawajapeleka bungeni sheria ya kufuta hiyo sheria inayotoa kinga ya kushtakiwa kwa rais mstaafu? Na JK alikuwa na maana kutangazia duniani nzima, kumbuka alisema hili akiwa nje ya nchi, kwamba tumuache mzee Mkapa apumzike? Kwa hiyo tuamini kauli ya JK au ya Pinda?

It is good, of course, to be optimistic of the outcome of every effort, but you can at least dare to be critically optimistic and skeprical!
 
Sheria inayozuia mali za vigogo kutangazwa yapingwa kortini

2008-04-26 09:22:57
Na Mwandishi Wetu


Hili mwalimu alilifurahia akiwa hai!(1995 ILIPOTUNGWA)"MR CLEAN AKITANGAZA MALI ZAKE!"Ghafla mwalimu katutoka!Wakamfisadi akiwa kaburini mnamo mwaka 2002!Yeye pamoja na Watanzania wote!(KWA KUGOMA KUTANGAZA MALI ZAKE KAMA ALIVYOFANYA WAKATI AKIPEWA MADARAKA NA MWALIMU!NA KWA KUREKEBISHA SHERIA ZA NCHI ILI KUULINDA UFISADI HUO NA KUWAFICHA WANANCHI TAARIFA KUHUSU MALI HIZO ZILIZO WALIZOIBA!
Asasi hizo tano zimefungua kesi katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kupinga kanuni; 6 (1), ( 2) na ya 7 (2) (c) ya Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma ya mwaka 1995.

SAA YA UKOMBOZI NI SASA!NGUVU YA UMMA!
Taarifa ilisema mashirika hayo yanaona kuwa kanuni za 6 (1) na (2) ina vipengele vinavyomzuia mwananchi kupata taarifa zinazotolewa na viongozi wa umma kuhusiana na rasilimali, mapato au madeni yao.

Taarifa za mali za viongozi zinapaswa kupokelewa na Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma kama inavyoagizwa na Katiba ya Tanzania kwenye ibara ya 132 kifungu kidogo cha 4 na cha (5) (b).

UGAIDI DHIDI YA MTANZANIA!
Kanuni hizo zinapingana na ibara ya 18 ya Katiba yenye vipengele (a), (b), (c) na (d) vinavyompa Mtanzania uhuru na haki ya habari.

``Mashirika yamefungua kesi kuomba tafsiri ya mahakama, kutamka kuwa kanuni 6 (1) ( 2) na kanuni 7 (2) (c) za sheria hiyo ya maadili ni batili kwa kupingana na ibara ya 18 ya katiba ya nchi.``

Taarifa iliendelea kusema kuwa ibara ya 9 ya Sheria hiyo ya Maadili, ibara ya ibara ndogo ya (1) na ile ya 14, zinatoa mwanya wa kufunguliwa kesi ya jinai kwa mtu au chombo kitakachotangaza taarifa kuhusiana na mali za viongozi wa umma.

UZALENDO WA KWELI NA HAKI KWA MTANZANIA!

HAYA NI BAADHI TU YA YALE TUNAYOYAPIGIGANIA BAADHI YETU WANA JF NA WAZALENDO WOTE DAY IN DAY OUT!"KATIBA MPYA!"
Hivi karibuni, wanasiasa wa kambi ya upinzani na waandishi wa habari waliokwenda Tume ya Maadili ili kujua mali walizohorodesha viongozi kadhaa, akiwemo aliyekuwa Waziri wa Miundombinu, Bw. Andrew Chenge, waliambiwa kwamba wanaweza kuperuzi mafaili ya wahusika baada ya kueleza sababu lakini hawaruhisiwi kutangaza watakachokiona.

Kikubwa kilichokuwa kinatafutwa na waandishi wa habari ikiwemo Nipashe ni kufahamu iwapo Bw. Chenge anayetuhumiwa kuficha zaidi ya Sh. bilioni 1.2 katika akaunti iliyofunguliwa nchini Uingereza aliandikisha mali hizo kwa sekretariati hiyo.

Baadhi ya wanasiasa kutoka katika kambi ya upinzani walikuwa na majina kadhaa ya vigogo waliotaka kujua mali zao ambao wamo kwenye orodha yao maarufu kama �list of sham

blank.gif
blank.gif

blank.gif
blank.gif





blank.gif
blank.gif






blank.gif
blank.gif
blank.gif
ippmediadotcom_gr.gif
blank.gif
blank.gif
Katiba mpya ndio kilio chetu!Tunapongeza jitihada zinazofanyika kufanikisha hilo!
 
..i was just wondering how familia ya mwalimu itamwita huyo chinga aende imseme!

..kwa kiburi ya chinga,i find it hard to imagine!
 
kamanda mkuu ..naweza kutofautiana na wewe yote lakini nakuunga mkono kuwa KOSA KUBWA KULIKO YOTE LA MKAPA NI KUKUBALI KIWETE APEWE NCHI..THATS A GREAT MISTAKE...NA TANGU WAKATI WA UTEUZI I PREFERED SALIM OR ANY OF THOSE CONTESTANTS TO THE SO CALLED KIKWETE..THIS IS A DISASTER OF THIS COUNTRY TO EVER WITNESS!!!

MY MAIN POIN SIO KUTETEA UFISADI WA MKAPA MY MAIN POINT NI KUWA KIKWETE YUPO BUSY NA WITCH HUNTING WAKATI KAZI ANAYOFANYA HAIPOO!!!!!

HAKUNA LINALOFANYIKA BUNGENI AMBALO HALINA BARAKA ZA KIKWETE LIWE ZURI AU BAYA.....HUYU KIMARO HOJA YAKE NZURI LAKINI KWA NAMNA TUNAVYOMJUA ALIKUWA AKILALA TU PALE BUNGENI ..HANA UBAVU WA KUJA NA HOJA NZURI YA NYUMBA KAMA HAJATUMWA ASEME.....MNAKUMBUKA ZAWADI ALIYOPEWA ADAM MALIMA BAADA YA KUTETEA UHALALI WA MGODI WA BUZWAGI[MRADI WA WAZEE] KWA NGUVU[NI KUPEWA UNAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI]

....HALI YA MAISHA KWA MTANZANIA WA KAWAIDA YANAZIDI KUSHUKA KUNA JAMBO GANI LITANIFANYA NIHAMISHWE KWENYE HILO NA KUANZA KUIMBA MKAPA..MKAPA...KAMA MKAPA ANAKOSA MAHAKAMA SI ZIPO..POLISI WAPO..DOLA IPO..SI LAZIMA WAPIGE BARAGUMU ..WAMFUATE KIMYA KIMYA...KUPIGA PROPAGANDA NI KUTUHAMISHA KWENYE HOJA YA MSINGI YA MAISHA MAGUMU.....
 
Mkuu wangu Philemon,

Kama huu msimamo ndio msimamo wa Chadema, basi wa-Tanzania tutegemee miaka mingi sana ya upinzani kabla ya kuingia Ikulu, kwa sababu kama wabunge wa CCM tayari wamemshitukia makapa, sasa for you kuwa na huu msimamo inasikitisha sana kama haitii huzuni kwa mwananchi yoyote anayeheshimu na kutaka respect kwa the rule of law,

Among all the people bongo kweli wewe unaweza kuwa na huu msimamo? Hivi unawalaumuje mtandao bila ya kumalumu aliyewaweka? Unasema record? Wale wanaomiliki ile zawadi ya MO hawakuziona hizo record za makapa? Kweli mkuu is this a serious message unayowatumia wabunge wa CCM kina Kimaro, wanaolala macho kumfikisha makapa kwenye sheria? Hebu niambie makosa ya Chenge ni nini? Kama sio Radar? nani hasa ni mzee wa Radar kama sio makapa? Hebu niambie mkuu toka tuipate ile Radar exactly kilichotubadilikia as a nation as opposed na tulipokuwa hatuna hiyo Radar ni nini? hivi unajua mkuu ma-exepert wa vita duniani walisema kuwa Israel ndio hasa wenye kuiihitaji ile Radar na sio sisi Tanzania, na kuna habari kuwa haijawahi hata kufanya kazi toka tuiinunue?

Eti makapa anaweza kuwa na kosa linalozidi kutupa hawa mafisadi na mtandao for the next 10 years? Jamani labda kuna something I am missing on this ishu!

FMES,

Hii thread sasa mimi naacha kuchangia, nimenunua popcorns zangu nifaidi mjadala mkali kweli kweli.

Naona hapa pana mengi ya kujifunza. Wakuu endeleeni kuja na hoja nzito nzito.
 
Rufiji et al.,

Sheria zetu zilivyo ni kwamba hii inatoa haki hii na kuna sheria nyingine ambayo inaifuta haki hiyohiyo!

Unaweza ukawa specific kutuelezea ni sheria gani unayoizungumzia hapo.

Sasa kama akina JK na bunge letu kweli wana nia ya kumfikisha Mkapa mahakamani kwa nini miaka mitatu tangu wawe madarakani hawajapeleka bungeni sheria ya kufuta hiyo sheria inayotoa kinga ya kushtakiwa kwa rais mstaafu?

Sasa Kitila hapa unachanganya mambo, Sheria ina mdefend Rais kwa yale aliyofanya kwa muujibu wa katiba wakati wa utawala wake na sio mengineyo. Swali hapa ni kwa nini Rais anapoapiswa anaapa ya kuwa kuitetea katiba ya Jamhuri ya Muungano ? Na nini haswa maana ya kiapo ?

Na JK alikuwa na maana kutangazia duniani nzima, kumbuka alisema hili akiwa nje ya nchi, kwamba tumuache mzee Mkapa apumzike? Kwa hiyo tuamini kauli ya JK au ya Pinda?

Politics ni dynamics , statement hiyo Kikwete aliitoa kabla waziri wake mkuu ajajiuzulu na pia ilikuwa aijawa raised bungeni. Hivi unafikiri Pinda alikurupuka tuu na kusema yale au anajua kabisa mwelekeo wa uongozi mzima katika hili suala.
 
bajeti Ya Siku Ya Mlala Hoi Mwaka 2005 September!!

Asubuhi.

Sukari Robo 1/4 Kg Tzs 150

Maandazi 8@50 = Tzs 400

Mkaa Kopo Tzs 250

Unga Kg 2 @ 200 = 400

Mchele Kilo= 600

Mafuta Kipimo = 100

Dagaa Fungu = 600

Viungo 300

Total 3,000 Tzs

Leo Mwaka 2008 Bajeti Ya Mlalahoi Wa Kawaida.

Sukari Robo =tzs 400

Maandazi 8@100= 800

Mkaa Kopo = 800

Maarage Mbeya Nusu = 400

Unga Kg2 @ 700= 1,400

Mchele Kilo = 1,200

Mafuta Kipimo= 400

Dagaa = 1,000

Viungo = 500

Maarage Mbeya Nusu Tzs 800

Total Tzs 6,700
 
...mimi naamini mkapa anayo makosa yake lakini kamwe hii haitaharibu historia yake iliyotukuka ya kujenga uchumi..hapa siongelei ushabiki economic indicators alizotuachia ni ushahidi....

mimi naamini njia bora ya kumdhalilisha mkapa ni kwa rais aliyemadarakani kum outsamart kiutendaji na wataalam wa uchumi watuambie hivyo...zaidi ya hayo tutabakia kumlaumu mkapa wakati kazi haifanyiki...

watanzania tuliowengi tunaendelea kumuheshimu mzee mkapa kutokana na rekodi yake ..... kama kuna ufidadi thats another case kwa kuwa serikali hii leo ufisadi upo na kazi hakuna...saasa si bora mkapa!!!!

kama mkapa kuna alichochukua mnakitaka mwambieni arudishe ....msimwaribie rekodi yake!!!!!!

Mzee:

Rekodi gani unayosema tusimwaribie?
 
walikuwa wapi muda wote mpaka anaondoka ndio wanaona umuhimu wakumuita 2hell
 
kamanda mkuu ..naweza kutofautiana na wewe yote lakini nakuunga mkono kuwa KOSA KUBWA KULIKO YOTE LA MKAPA NI KUKUBALI KIWETE APEWE NCHI..THATS A GREAT MISTAKE...NA TANGU WAKATI WA UTEUZI I PREFERED SALIM OR ANY OF THOSE CONTESTANTS TO THE SO CALLED KIKWETE..THIS IS A DISASTER OF THIS COUNTRY TO EVER WITNESS!!!

MY MAIN POIN SIO KUTETEA UFISADI WA MKAPA MY MAIN POINT NI KUWA KIKWETE YUPO BUSY NA WITCH HUNTING WAKATI KAZI ANAYOFANYA HAIPOO!!!!!

HAKUNA LINALOFANYIKA BUNGENI AMBALO HALINA BARAKA ZA KIKWETE LIWE ZURI AU BAYA.....HUYU KIMARO HOJA YAKE NZURI LAKINI KWA NAMNA TUNAVYOMJUA ALIKUWA AKILALA TU PALE BUNGENI ..HANA UBAVU WA KUJA NA HOJA NZURI YA NYUMBA KAMA HAJATUMWA ASEME.....MNAKUMBUKA ZAWADI ALIYOPEWA ADAM MALIMA BAADA YA KUTETEA UHALALI WA MGODI WA BUZWAGI[MRADI WA WAZEE] KWA NGUVU[NI KUPEWA UNAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI]

....HALI YA MAISHA KWA MTANZANIA WA KAWAIDA YANAZIDI KUSHUKA KUNA JAMBO GANI LITANIFANYA NIHAMISHWE KWENYE HILO NA KUANZA KUIMBA MKAPA..MKAPA...KAMA MKAPA ANAKOSA MAHAKAMA SI ZIPO..POLISI WAPO..DOLA IPO..SI LAZIMA WAPIGE BARAGUMU ..WAMFUATE KIMYA KIMYA...KUPIGA PROPAGANDA NI KUTUHAMISHA KWENYE HOJA YA MSINGI YA MAISHA MAGUMU.....

PM,
Lakini angalau JK ametoa uhuru kwa bunge na vyombo vingine kuweza kusema. Anaweza kuwa na nia mbaya dhidi ya Mkapa lakini hili jini lililotoka nje ya chupa, unafiri litaweza kurudi kwenye chupa?

Pamoja na utendaji mbovu wa JK lakini hili la uhuru wa vyombo vya habari na pia bunge ni faraja kubwa kwa mapambano ya baadaye.

Laiti wakati wa Mkapa ingelikuwa kama leo, tungemjua Mkapa mapema kama anavyosema Kitila. Pia tungemjua JK mapema sana.

Wengi wetu tulikuwa hatumjui JK, isingelikuwa analysis kali ya mkuu wetu FMES, mimi nakiri nilikuwa simjui kabisa JK.

Kilichonishangaza kwenye maelezo yako ya mwanzoni ni ile kusema Mkapa alifanikiwa sana. Nchi inaibiwa bilions zote hizi chini yake na bado unasema alifanikiwa, ni uchumi gani huo wa Tanzania ambao ulikuwa na uwezo wa kuhimili wizi na ufujaji mkubwa kiasi hicho?

Nini maana ya kukua kwa uchumi kama ile nyongeza inaibiwa na wachache na kuwaache mamilioni wengine kuwa maskini wa kutupwa?

Bado mimi nakubaliana na mkuu Kitila kwamba kumburuza mahakamani Mkapa ni kupoteza muda wetu na pesa za umma. Aibu anayoipata sasa ni adhabu tosha kwake.
 
Kitila, nk.

Nadhani tunakosea tunapomtaka Kikwete atusaidie kumshtaki mkapa. Kwanza hana nia. Yani hilo tujue, kama ulivyosema. Pili sio wajibu wake, au wa Bunge la sisiemu. Ni sisi tukashitaki.

Tatu, nadhani si utamaduni mzuri kwa Rais kukamata na kushitaki Rais mstaafu. Inatisha kidogo. Mwamko wa kushtaki Rais mstaafu nadhani inabidi uanzie, na uwe na baraka za wananchi. Ndio utapata uhalali.

Halafu pia, sio rahisi kubadili Katiba, hususan kumtafuta mtu fulani. Tutumie sheria iliyopo kumshtaki:

Kinga dhidi ya mashitaka inahusiana mambo aliyayoyafanya kama Rais tu.

Katiba: Ibara ya 46, Sehemu ya tatu

Kinga dhidi ya mashataka ya na madai


...itakuwa ni marufuku kumshtaki au kufungua mahakamani shauri lolote la jinai au la kumdai mtu aliyekuwa anashika madaraka ya Rais baada ya kuacha madaraka hayo kutokana na jambo lolote alilofanya yeye kama Rais wakati alipokuwa bado anashika madaraka ya Rais kwa mujibu wa Katiba hii.
 
bajeti Ya Siku Ya Mlala Hoi Mwaka 2005 September!!

Asubuhi.

Sukari Robo 1/4 Kg Tzs 150

Maandazi 8@50 = Tzs 400

Mkaa Kopo Tzs 250

Unga Kg 2 @ 200 = 400

Mchele Kilo= 600

Mafuta Kipimo = 100

Dagaa Fungu = 600

Viungo 300

Total 3,000 Tzs

Leo Mwaka 2008 Bajeti Ya Mlalahoi Wa Kawaida.

Sukari Robo =tzs 400

Maandazi 8@100= 800

Mkaa Kopo = 800

Maarage Mbeya Nusu = 400

Unga Kg2 @ 700= 1,400

Mchele Kilo = 1,200

Mafuta Kipimo= 400

Dagaa = 1,000

Viungo = 500

Maarage Mbeya Nusu Tzs 800

Total Tzs 6,700

..phil,

..hiyo inflation ni kiasi gani?

..i dare say its double digit!
 
Kitila Mkumbo said:
Kachoka maana yake ni nini hasa? Kauli kama hizi ndio zinakatisha tamaa baadhi wa watu serikalini wenye nia ya utumishi wa kweli na wasiopenda ufisadi. Ni akili za namna hii ambazo zinaamini maisha ni hela tu na ukimuona mtu hana Escudo basi unafikiri amechoka. Mshindwe kabisa na mawazo ya namna hii!

..suala la "kuchoka" na "kunawiri" kwa viongozi wetu naomba tusili-dismiss.

..nakuomba utafiti picha za George Bush na Bill Clinton kabla hawajapata Uraisi. Halafu chukua picha zao baada ya kuwa Maraisi. nakuhakikishia utaona jinsi walivyobadilika katika hali inayoashiria uzito wa majukumu yao mapya ya Uraisi.

..halafu rudi hapa Tanzania, tafuta picha za kina Ben Mkapa, Jakaya Kikwete,Idris Abdul Wakil,Ally Mwinyi,Omar Ali Juma, Frederick Sumaye, kabla na baada ya kupata nyadhifa nzito.

..naomba tujiulize kwanini viongozi wetu wananawiri wanapokuwa madarakani, na KUPAUKA na KUDHOOFU wanapotoka madarakani?
 
..phil,

..hiyo inflation ni kiasi gani?

..i dare say its double digit!


DEFINATTELLY YES....MAISHA YA MWANANCHI WA KAWAIDA YAMEKUWA MAGUMU MARADUFU...hicho ndio kipimo cha kwanza kwa mwananchi wa kawaida...karibu bei ya kila kitu ome double ndani ya miaka miwili tu!!!!!
 
Mzee:

Rekodi gani unayosema tusimwaribie?


barabara,shule mpya,madaraja,msamaha wa madeni..ametuachia national reserve kubwa kuliko wakati wowote...2 billion dollars...[mmeshauliza zimebakia ngapi siku hizi????]

pamoja na hayo natambua pia anayo makosa...sasa kikwete hadi saasa kuna mradi gani mkubwa katupa???

suala la uhuru wa vyombo vya habari alileta mzee mwinyi...kikwete hana sifa kwenye hili kwani inajulikana yeye ni mtu wa kununua waandishi....na magazeti...hilo sio siri!!!!
 
Kumbuka pia thamani ya shilingi imepungua kwa asilimia 1 tu..Hiyo mishahara ndio haisemeki hivyo basi Wana uchumi twambieni maisha ya Mlalahoi..

Mtanzania,
Hii thread sasa mimi naacha kuchangia, nimenunua popcorns zangu nifaidi mjadala mkali kweli kweli.

Naona hapa pana mengi ya kujifunza. Wakuu endeleeni kuja na hoja nzito nzito
Wee mhuni kweli!.. kwi kwi kwii!
 
barabara,shule mpya,madaraja,msamaha wa madeni..ametuachia national reserve kubwa kuliko wakati wowote...2 billion dollars...[mmeshauliza zimebakia ngapi siku hizi????]

..baniani mbaya,kiatu chake dawa!

pamoja na hayo natambua pia anayo makosa...sasa kikwete hadi saasa kuna mradi gani mkubwa katupa???

..uncle sam kuja bongo na kukaa three hard days!

suala la uhuru wa vyombo vya habari alileta mzee mwinyi...kikwete hana sifa kwenye hili kwani inajulikana yeye ni mtu wa kununua waandishi....na magazeti...hilo sio siri!!!!

..hamna uhuru wala nini. kwani sheria ya habari inasemaje?. issue hapa ni maji yamezidi unga,huwezi pata ugali hata ungesonga kwa nguvu gani.

..suburi aje mtu asiye na uchafu;angalau wa kufahamika,utaona kimbembe!
 
Mkuu Kitila,

Nadhani tusiogope kushindwa mahakamani.Huyu Mkapa kama anayo immunity yoyote ile basi ishinikizwe ili iondolewe mara moja na afikishwe mahakamani kujibu shutuma zote zinazo mkabili.

Mbinu anayoitumia sasa ni ndogo sana nayo ni kubuy time ili mambo yatulie..na yapite.Na kweli hii mbinu huwa inafanya kazi,si unakumbuka majina ya watumia unga ambayo JK alikabidhiwa yameishia wapi? na watu wameshasahau..na mambo yanaendelea kwa mtindo mmoja.Kwa hiyo mkuu inabidi kuendeleza pressure hii mpaka kieleweke.Hili suala linaonekana ni zito kwa viongozi wa sasa na ndiyo maana unamsikia waziri mkuu anasema serikali inalifanyia kazi na bila shaka nao wanajaribu kuvuta muda ili maji yatuame mtungini waendelee na mambo yao kama kawa!.
Mkapa ni mwenye kiburi sana na bila ya pressure kutoka ndani na nje huyu bwana hawezi kusema au kuchukuliwa hatua yoyote kwa sababu bado anaogopewa serikalini.Kwa hiyo wakati tukiangalia jinsi ya kuzifanyia marekebisho sheria husika inabidi tuwe tunamkoma nyani giladi bila huruma na pia wapinzani nao waandae maandamo nchi nzima ili kuzishawishi nchi wahisani kutia pressure kwa serikali kumwondolea immunity huyu bwana ili afikishwe mahakamani kujibu shutuma.
 
..penye nia pana njia!

..kama mtu anataka kumshitaki atamwondolea kinga;hatakuwa wa kwanza!

..ila kama maneno matupu yanavunja mfupa,yetu macho na masikio!
 
Back
Top Bottom