Wasiwasi wangu bwana ni pale Mkapa atakapoongea. kwa kadri tunavyomjua Mkapa, ni muongeaji mzuri mwenye kupenda sana kutumia nguvu ya ushahidi kuliko hisia. Sasa wasiwasi so far sasa hivi madai mengi ya ufisadi wa Mkapa yanaelea sana. Sijasoma vizuri sheria ya maadili, lakini sijaona hasa mtu akijenga hojahoja sawasawa katika mantiki ya ushahidi wa kisheria wa kumtia hatiani Mkapa. Isije ikawa tunapambana na Mkapa badala ya mfumo wa kisheria za kifisadi ambazo zinalinda ufisadi. Isije ikawa kila kitu alichofanya Mkapa kuhusu uwekezaji wa kifisadi ANBEM, Kiwira, etc akawa alifanya ndani ya sheria.
Sasa kama sheria mbovu ndizo zilizomlinda Mkapa akafanya yote anayodaiwa sasa hivi siku akiongea atatuumbua sana na atakuwa amewasafisha mafisadi wengi mno na kuonyesha kwamba wengi wetu tunaongeaga kwa hisia zaidi. Kwa kifupi, wasiwasi wangu ni huu: isije ikawa tunapambana na individuals tukifikiri walifanya makosa nje ya sheria kumbe walifanya makosa yanayolindwa kikamilifu kabisa na mfumo wa kisheria. I hope am wrong and one day Mkapa and the company will be brought to the law before their days on this earth expire as it happened to Dito!
Sasa kwa kuanzia ili tumuwahi Mkapa kabla hajaanza kushuka mawe yake, hebu wale wanaoujua hizi sheria alizovunja Mkapa vizuri, tuwekee hapa kipengele baada ya kipengele na jinsi Mkapa na hayo mauwekezaji yake alivyozivunja ili tumkome nyani gladi sawasawa!
..duuh, Mtanzania bwana........ nawe umedumu kweli mshirika, eti "mwaka 1995 niliwahi kuandika"....... enzi hizo mimi nd'o najifunza a e i o u na ba be bi bo bu,..... kumbe mwenzetu ulishaanza 'kumkoma nyani giladi' tayari!! loooooh, kweli jf ina magwiji 🙂
have a nice wkend buddy,
kunradhi wana jf kwa kuwa out of topic.
Mkuu Kitila,
Mimi sioni hata sababu ya kumshitaki Mkapa, amejiangusha yeye mwenyewe pamoja na watu ambao walimwamini miaka na miaka.Sisi ambao tulipata scholarships pale wizarani miaka hiyo, tunajua kwamba Mkapa na Mahalu walikuwa wanachukua visenti. Hata nilipoona Mkapa anaanza kukwangua kila kitu, binafsi sikushangaa.
Adhabu kubwa kwa Mkapa ni kwa wananchi kumdharau na kumpuza. Sioni kama kuna haja ya kumbuluza mahakamani, kwa sheria zetu za sasa inaweza kuwa ni kupoteza tu pesa za walipa kodi. Adhabu anayopata Mkapa sasa ni kubwa kuliko hata kumfunga jela mwaka mmoja. Kinachotokea TZ ni fundisho kubwa sana kwa viongozi hata wa baadaye.
Labda muhimu ni kutengua tu baadhi ya contracts alizoingia kama vile mgodi wa Kiwira na nyumba walizojipatia bure yeye na mkewe.
Kitila ,
Mwanzoni uliuliza kama kuna sheria zinazoweza kumbana Mkapa katika hili , nimekupatia source lakini baada ya wewe kuquestion validility ya hizo sheria katika hii issue wewe umeamua kuleta siasa. Kitila umeamua kwa makusudi kutumia kifungu hiko kimoja kwa sababu unajua ya kuwa kina loop holes lakini kama ungesoma vizuri ungeona ya kuwa , kipengele hiki kina deal na hizo loop holes.
Apart from improper use of, and benefit from, information obtained in the course of carrying out official duties and which is not generally available to the public, Section 12 (1) of the Public Leadership Code of Ethics Act also states other ways in which a public leader will be considered to have breached the law .
Hili suala halina siasa hata kidogo na sheria zetu za sasa hivi kama zitatumiwa vizuri zinatosha kabisa kummmaliza huyu bwana.Mimi nataka nichambue hivyo vipengele na jinsi gani huyu muungwana alivyhusika na huu wizi
And section 14 (1) requires that ''where a public leader has an interest in a contract that is made, or is supposed to be made by the government, and has not made a sufficient declaration under subsection (4) in relation to the contract, the public leader shall as soon as practicable make a declaration of his interest in relation to the contract, specifying the nature and extent of his interest.''
Jee Mkapa alifanya hivi katika Mkataba wa Kiwira ? Wewe unafikiri ni kwa nini kwa mara ya kwanza Karamagi anatangaza sasa hivi kwamba ana own 35% ya share za TICTS , sio kwamba amependa bali anajua nini kinakuja .
section 13 (1) of the same legislation also states that ''a public leader shall not speak in the Cabinet, National Assembly, in a local government council or a committee thereof, or in or at any other official forum or part of it, on any matter in which he has a direct pecuniary (financial) interest unless he has disclosed the nature of that interest to the Cabinet, the Assembly, the council, committee or such other forum or part of it.''
Jee Mkapa alifanya hivi kabla ya kuzungumza kwenye hivyo vikao . Vipi kuhusu Yona alideclare interest zake kabla ya kuzungumza kwenye vikao mbali mbali vya bunge wakati alipokuwa waziri ?
Section 14 (3) states that ''the interest of the spouse or spouses, or of the children of a public leader in relation to the government contract, shall be deemed to be the interest of the public leader.''
Huu ndio msumari kwenye coffin, hapa Mkapa hawezi kukimbilia kusema ya kuwa ilikuwa kampuni ya mama. Kwani kampuni ya mama according to hii sheria ni ya kwake pia.Mimi nadhani ni muhimu kuangalia hivi vipengele kabla ya kuzilaumu sheria zetu.
Kitila ,
Mwanzoni uliuliza kama kuna sheria zinazoweza kumbana Mkapa katika hili , nimekupatia source lakini baada ya wewe kuquestion validility ya hizo sheria katika hii issue wewe umeamua kuleta siasa. Kitila umeamua kwa makusudi kutumia kifungu hiko kimoja kwa sababu unajua ya kuwa kina loop holes lakini kama ungesoma vizuri ungeona ya kuwa , kipengele hiki kina deal na hizo loop holes.
Apart from improper use of, and benefit from, information obtained in the course of carrying out official duties and which is not generally available to the public, Section 12 (1) of the Public Leadership Code of Ethics Act also states other ways in which a public leader will be considered to have breached the law .
Hili suala halina siasa hata kidogo na sheria zetu za sasa hivi kama zitatumiwa vizuri zinatosha kabisa kummmaliza huyu bwana.Mimi nataka nichambue hivyo vipengele na jinsi gani huyu muungwana alivyhusika na huu wizi
And section 14 (1) requires that where a public leader has an interest in a contract that is made, or is supposed to be made by the government, and has not made a sufficient declaration under subsection (4) in relation to the contract, the public leader shall as soon as practicable make a declaration of his interest in relation to the contract, specifying the nature and extent of his interest.
Jee Mkapa alifanya hivi katika Mkataba wa Kiwira ? Wewe unafikiri ni kwa nini kwa mara ya kwanza Karamagi anatangaza sasa hivi kwamba ana own 35% ya share za TICTS , sio kwamba amependa bali anajua nini kinakuja .
section 13 (1) of the same legislation also states that a public leader shall not speak in the Cabinet, National Assembly, in a local government council or a committee thereof, or in or at any other official forum or part of it, on any matter in which he has a direct pecuniary (financial) interest unless he has disclosed the nature of that interest to the Cabinet, the Assembly, the council, committee or such other forum or part of it.
Jee Mkapa alifanya hivi kabla ya kuzungumza kwenye hivyo vikao . Vipi kuhusu Yona alideclare interest zake kabla ya kuzungumza kwenye vikao mbali mbali vya bunge wakati alipokuwa waziri ?
Section 14 (3) states that the interest of the spouse or spouses, or of the children of a public leader in relation to the government contract, shall be deemed to be the interest of the public leader.
Huu ndio msumari kwenye coffin, hapa Mkapa hawezi kukimbilia kusema ya kuwa ilikuwa kampuni ya mama. Kwani kampuni ya mama according to hii sheria ni ya kwake pia.Mimi nadhani ni muhimu kuangalia hivi vipengele kabla ya kuzilaumu sheria zetu.
...hiyo familia ya nyerere inataka sisi tukubali kuwa nchi yao au? ikiwa mkapa ni familia, dilini nae kifamilia......kwanini mseme nje...pia mkapa kutoswa na familia nyie sioni kutamuathiri vipi
Kuhani Mkuu
Wewe unahisi nini kinapswa kifanyike ili Mkapa azungumze ? cause we would like to hear his side of story also.
1. mimi naamini mkapa anayo makosa yake lakini kamwe hii haitaharibu historia yake iliyotukuka ya kujenga uchumi..
2. ...zaidi ya hayo tutabakia kumlaumu mkapa wakati kazi haifanyiki...
3. watanzania tuliowengi tunaendelea kumuheshimu mzee mkapa kutokana na rekodi yake .....
4. kama kuna ufidadi thats another case kwa kuwa serikali hii leo ufisadi upo na kazi hakuna...
5. saasa si bora mkapa!!!!
6. kama mkapa kuna alichochukua mnakitaka mwambieni arudishe ....msimwaribie rekodi yake!!!!!!
Mkuu wangu Philemon,
Eti makapa anaweza kuwa na kosa linalozidi kutupa hawa mafisadi na mtandao for the next 10 years? Jamani labda kuna something I am missing on this ishu!