THE family of the late Mwalimu Julius Kambarage Nyerere intends to summon ex-president Benjamin Mkapa to Butiama Village next month to discuss widespread allegations of corruption and abuse of office now besetting the former head of state.
Hapo tu kwanza huyo mwandishi kakosea,alitakiwa atumie neno clan(ukoo),na pia asimuusishe Mwalimu Nyerere kwenye hilo.Waliomualika Mkapa kwenye ukoo ni familia ya Wanzagi kutokana na shinikizo la Butiku,familia ya Mwalimu haikuhusika kabisa na hilo,ndio maana hata kwenye hio report hapo hatuoni jina hata moja la mtoto wa Mwl Nyerere,au mkewe for that matter likihusishwa na huo mwito.
Kwanza Mkapa aliitelekeza sana familia ya Mwalimu,na Mama Maria likuwa bitter sana nae,na ndio maana alimuembrace JK tokea mwanzo.Serikali ya Mkapa ilitakiwa kujenga ukuta wa kuzunguka eneo zima pale msasani,na yule mama maskini alizungushwa mwishowe akamua ajenge ule ukuta mwenyewe,walivyosikia wakina Mary Nagu at the time kuwa Mama Maria kaamua kujenga ukuta mwenyewe,ndio wakamkimbilia ili wajenge,sasa sijui kama walimalizia wao au ni yeye mwenyewe.
Na wale wanaosema Mkapa alikuwa ni chaguo la Nyerere,pia hio sio sawa! Chaguo lake lilikuwa Salim,na Salim aligoma akitoa sababu kuwa anataka kumalizia kazi zake OAU kwanza,na atagombea baada ya hapo,ofcoz yeye akijua Nyerere angekuwa bado yuko hai.
Waliomshinikiza Mkapa agombee ni Warioba,Salim,Butiku na jamaa mmoja anaitwa Adam Marwa,na hao ndio waliomfuata Nyerere ili amuendorse Mkapa. Ndio maana Salim mpaka leo amesema hawezi kamwe kumsamehe Mkapa kwa vitendo alivyofanyia Dodoma siku ya uchaguzi wa kutafuta mgombea wa CCM.Hana kinyongo na JK kabisa.
Pia Nyerere alimshangaa sana Mkapa kumpa uwaziri Lowassa,na huo ujumbe ulimfikia Mkapa.Mtu akitaka ukweli wa haya amuulize Butiku! Butiku alitegemea mengi kutoka kwa Mkapa,kubwa likiwa ni mchango mkubwa wa fedha kwenda Nyerere Foundation.Mkapa baada ya kuchangia wakati wa uhai wa Mwalimu na baadae(baada ya Mwalimu kufariki) kugundua ,obviously, pesa zinapigwa alisitisha,na Mandela(baada ya ku-take over) kusema kuwa atatfuta pesa for specific events only,kama mikutano n.k.(kukawa hakuna pesa za kupiga tena)
Chuki rasmi kutoka kwa Butiku zilianza baada ya Nyerere kufariki, ingawa baadae zilipungua kidogo kwa kumwingiza kwenye ukoo.Mkapa alikuwa hana sababu ya kukataa kwa sababu alikuwa ni rafiki wa karibu wa mmoja wa wadogo zake Mwalimu,pia mke wake wa zamani Butiku ni wa familia ya Muganda,na tunajua familia ya Muganda ilivyo close na familia ya Mkapa...kutoka hapo ni rahisi ku connect the dots.
Hivyo kama kuna mtu anaitwa Peter Wanzagi kasema hayo,haina maana hayo ni maoni ya familia ya Mwalimu Nyerere, na sidhani kama ni fair kwa kuihusisha,mpaka watu wengine wanasema 'who the hell do they think they are!'Well,they have the name,and it ends there.Wana nini zaidi ya hapo? I feel they are being victimised for something which has nothing to do with them at all,lakini tatizo ni kama alivyosema mchangiaji mmoja humu,ni mwandishi mwenyewe wa hio article.