Mkapa above the law?: Allegations

Mkapa above the law?: Allegations

...Ni muhimu sana tuangalie tulikotoka na kuweka record ya kila makosa yaliyotangulia..

Leo hii ukiwauliza viongozi wetu wengi tu kuhusiana na kubinafsisha - Ni wapi tulikosea hata Mkapa mwenyewe hawezi kukubali yalikuwa makosa pamoja na kwamba mashirika karibu yote yaliyobinafsishwa yamebwaya ktk utoaji huduma...Haiwezekani makosa ni mfumo wa kubinafsishwa hata kidogo kwani zipo nchi kibao zimefanya hivyo na wamefanikiwa..Je, sisi tulikosea wapi?.. hamtaki kutazama kabisa...


One, nakubaliana na wewe kabisa kuwa, ni muhimu kuangalia tulikotoka kabla hatujaanza ku-attack mambo ya usoni.

Second, nitatafautiana na wewe kidogo hapa eti hata Mkapa mwenyewe hawezi kukubali makosa yaliyofanywa kuhusiana na ubinafsishaji.

Mkuu, kumbuka kuwa Mkapa na rais wa Finland (Tar ja Halonen) walikuwa co-chair wa independent commission iliyoundwa na ILO mwaka 2002 kutizama kwa undani suala zima la globalization na kuangalia athari zake kwa jamii hususani ktk nchi za dunia ya tatu (Tanzania ikiwemo).

Ukifuatilia ripoti ya commission hiyo iliyotolewa mwaka 2004 utakuta kuwa Mkapa alikuwa na knowledge kubwa sana kuhusu matatizo ambayo nchi za dunia ya tatu zinakumbana nayo kwenye arena ya huyu mnyama anayeitwa globalization. Coz nchi nyingi Tz ikiwemo, they had no other choice but to jump in--unprepared.

Matokeo yake: sina haja ya kuyarudia/elezea. Sote tunayajua vema, maana ndiyo hayo yanayoendelea leo hii ku-fuel hizi debates tulizonazo hapa JF.
 
Minister set to deliver rejoinder on Kiwira saga in Parliament

THISDAY REPORTER
Dodoma

THE government is to make a formal statement to the National Assembly this week on the controversial privatization of the Kiwira coal mine, which was in 2005 dubiously sold to a private company formed by ex-president Benjamin Mkapa and his senior cabinet minister Daniel Yona while both were still in public office.

Energy and Minerals Minister William Ngeleja is expected to announce the government’s position on the dubious deal any time from today, after being instructed by Prime Minister Mizengo Pinda to deal with the matter following incessant queries from MPs.

Ngeleja confirmed to THISDAY that he is ready to issue a statement on Kiwira in Parliament, and is only awaiting a go-ahead from the Office of the Speaker of the National Assembly, Samwel Sitta.

Himself speaking in Parliament recently, premier Pinda described the Kiwira mine privatization as a ’’smooth exercise,’’ further asserting that the formerly state-owned property was a ’’dead animal’’ at the time of its sale at a remarkably cheap price to TANPOWER Resources, the private company formed by Mkapa, Yona and several of their immediate family members when they were still occupying public office.

Concerns have been raised by lawmakers from both the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) and the Opposition camp that authorities may be trying to deliberately ignore or water down the apparent fact that both Mkapa and Yona broke the public leadership code of ethics through their questionable involvement in the privatization and subsequent purchase of the mine.

It has been irrevocably established that the actions of the then president and energy and minerals minister, in using their powerful positions in government to authorize the sale of the public asset to the private company in which they had personal vested interests, were tantamount to literal abuse of office.

But according to one well-placed parliamentary source: ’’Apparently, there are attempts by authorities within the government to shield both Mkapa and Yona from any wrongdoing in the Kiwira mine privatization issue.’’

Amongst government personalities spotted in Dodoma over the past few days is the Commissioner for Minerals in the Ministry for Energy and Minerals, Dr Peter Kafumo, whom insiders say has most likely been involved in helping to draft Ngeleja’s much-awaited statement on the Kiwira mine privatization and sale.

Close observers of parliamentary proceedings here are already predicting what the minister is likely to say. Said one of them: ’’In his carefully planned remarks, Ngeleja will probably just state that the mine was totally bankrupt at the time it was privatized, its equipment was completely obsolete, it was deeply in debt, and blah, blah, blah�,’’

But others are still sceptical that such remarks will truly help to justify why a mine with such vast coal deposits at hand was so cheaply sold off.

Said another observer: ’’The obvious abuse of public office by both Mkapa and Yona in this instance really must be admonished by the current government, if it is really serious about tackling corruption and unethical public leadership in high office.’’

Amongst others, the report of the presidential-appointed mining sector review committee chaired by former attorney general Judge Mark Bomani has recommended a formal and proper investigation into this particular privatization exercise.

Recently, the Opposition camp in Parliament also demanded action from the government of the day on the dubious involvement of Mkapa and Yona in the Kiwira mine privatization, asserting once more that the national constitution does not grant former presidents absolute immunity from criminal prosecution for actions conducted in a personal capacity.

In their rejoinder to the 2008/09 budget estimates of the Prime Minister’s Office, the Opposition camp also called for the immediate termination of a huge, $271m (approx. 325bn/-) deal between the now-privatized Kiwira Coal and Power Company Limited and the still state-run Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO).
 
ANBEM Limited: Operated from the first lady`s office

PRIVATE-PUBLIC PARTNERSHIP? The government building obscured by a patch of trees behind the State House walls bears the address of 15 Luthuli Road. It is this building, forming part of the official Ikulu estate in Dar es Salaam, that the privately-owned ANBEM Limited listed as its physical office address from 1999 to 2005.
THISDAY REPORTERS
Dar es Salaam

FORMER president Benjamin Mkapa and first lady Anna Mkapa operated their private business company, ANBEM Limited, from a registered office within the official State House walls in Dar es Salaam, THISDAY can now reveal.

According to our investigations, documents setting up ANBEM Limited in 1999 listed its physical address as Plot Number 15, Luthuli Road � which is a government building forming part of the Ikulu estate.

It is also the building allocated for use as the official office of all sitting first ladies.

Further investigations have shown that 15 Luthuli Road was also the registered physical address of the Equal Opportunities for All Trust Fund (EOTF), a non-profitable organization established by Mrs Mkapa in June 1997.

EOTF’s stated objectives include: ’’To initiate, design, promote, facilitate and support the empowerment of the disadvantaged segments of Tanzanian society.’’

But it has now been confirmed that even as EOTF steadily built a name in this area of activity over the years, ANBEM Limited was also operating from the same State House building maintained by taxpayers’ money.

Mr and Mrs Mkapa, whose two tenures at State House covered the period 1995-2005, registered ANBEM Limited in 1999, with the official registration documents describing them as ’entrepreneurs’ and sole shareholders/directors of the limited liability company.

Stated objectives of ANBEM Ltd include: ’’To carry on business and to act as merchants, general traders, warehouse, stockists, shopkeepers and operators of supermarkets, commission agents and carriers.’’

Official records also show that the company listed the Ikulu building as its registered office in annual returns signed by both directors (Benjamin William Mkapa and Anna Mkapa) between 1999 and 2005.

In 2002, ANBEM Limited was granted hefty loans of $500,000 (approx. 620m/-) and 250m/- from the National Bank of Commerce Limited and CRDB Bank respectively. Both loans have since been cleared.

It was at the end of Mr and Mrs Mkapa’s second and final term in office in 2005, that both the ANBEM Limited and EOTF offices were relocated away from Ikulu.

The 15 Luthuli Street building, situated right inside the State House boundary walls, is currently being used by Wanawake na Maendeleo Foundation (WAMA), another NGO established and run by the sitting first lady Ms Salma Kikwete.

Since THISDAY started running exclusive reports on ANBEM Limited and related business dealings, a growing national debate has ensued over the ethical considerations of Mr and Mrs Mkapa�s actions while still at State House.

While one school of thought argues that the couple did not break any law in registering their own private company while at Ikulu, another contends that the move - being mainly geared at ensuring personal gain - could well be interpreted as an abuse of office.

Issues of possible conflict of interest and undue influence, on the part of a sitting president endeavouring to balance official responsibilities and private business affairs, have inevitably been brought up.

Speaking to local media editors last week, incumbent President Kikwete said his administration was prepared to let go the matter of Mr and Mrs Mkapa starting and operating a private business company from State House.

But he maintained that the government of the day would not hesitate to take action against proven allegations of serious wrongdoing in the matter.

President Kikwete also declared that he personally had no intention of engaging in private business dealings while occupying the highest office in the land.
 
Kuna mengi yamesemwa/andikwa kuhusu Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Mh. Benjamin William Mkapa: "Oh, mkapa ni fisadi," "Mkapa alitumia madaraka ya Urais vibaya," "Mkapa ajitete mbele ya umma," "Blah... blah... blah..."

Lakini ukweli ni kwamba: ni Mzee Ben, na sio Mzee ruksa, wala this Kikwete guy, ambaye ameifanyia nchi hii mema na mazuri. Ikumbukwe kuwa baada ya uchaguzi mkuu wa 1995, Mkapa alipokea nchi iliyokuwa katika hali mbaya kupindukia.

Rushwa ilikuwa imekithiri. Pato la taifa lilikuwa chini. Ukwepaji kodi ulikuwa katika kiwango cha kuogofya. Na miundo mbinu ilikuwa imechoka kupindukia.

Ni chini ya utawala wa mzee Ben ndipo watanzania kwa mara ya kwanza tulipoanza kuona sera ya taifa kuhusu uchumi ikipewa kipaumbele. Miundo mbinu ikiboreshwa. Pato la taifa likikua. Na kamba dhidi ya vita ya rushwa ikikazwa.

Lakini pia katika viongozi tuliowahi kuwapata, ukimuacha Mwalimu, ni Mkapa peke yake aliyekuwa na ubavu wa kupinga kuendeshwa na nchi za Magharibi. Mwinyi alikuwa anajikojolea wahisani wakikohoa, Kikwete (sote tumeshuhudia) anacheza samba kila mara nchi za magharibi zikimuamuru afanye hivyo.

Yes, kuna mabaya amabayo Mkapa ameyafanya ktk kipindi cha miaka 10 akiwa ikulu: (1) mikataba mibaya hususani madini (ambayo hata hivyo ni mwanasheria mkuu ndiye anapaswa kulaumiwa);(2) kumuachia mke wake a-dictate badhi ya shughuli za kiserikali ( one of his weakness). (3) kujihusisha na bishara akiwa ikulu (which is a minor thing)...

Cha msingi hapa ni kujua kuwa Mkapa sio Malaika bali mwandamu. na kama mwadamu, naye pia anahadawa na tamaa ya kuwa na maisha yaliyotulia. You know, financial security and all those things, kwa ki-inglish.

Hitimisho: Hapa suala ni kwamba, Kikwete and his inner circle wameshaona kuwa wamechemsha big time, hivyo wanachokifanya ni kumchafulia mzee Ben jina ili watu wasipate fursa ya ku-compare utawala wake (mtalii Kikwete) na ule wa mzee Ben (mtu safi).

Wewe uko nyuma kwani umemdandia Fisi mkiani na si mgongoni, subiri Fisi ulomdandia akienda msalani hapo ndo utajua raha ya kuning'inia mkiani.
 
Waungwana,

Kama mnavyojua wakati wowote ule Ngeleja atatoa maelezo Bungeni kuhusiana na umiliki wa Kiwira Coal Mine baada ya 'kupata ruhusa' ya kufanya hivyo toka kwa Spika wa Bunge.

Tetesi zinadai kwamba atatwambia kwamba Kiwira ilikuwa na "madeni mengi mno" na pia mgodi huo ulikuwa katika hali mbaya sana, hivyo kuuzwa kwa shilingi milioni 700 ambayo ni sawa na 17.5% ya thamani ya mgodi huo kwa mafisadi Mkapa na Yona wakati thamani ya mgodi huo ni shilingi bilioni 4 ni sawa kabisa.

Maswali ya kumuuliza Ngeleja ni kama haya yafuatayo na tunataka majibi ya kina na yanayojitosheleza siyo majibu ya kisanii.

1. Ni nani serikalini aliyeamua mgodi wa Kiwira uuzwe? Kama kuna kikao chochote cha baraza la mawaziri kilichokaa ili kuamua mgodi wa Kiwira uuzwe basi tungepata kujua ni mawaziri gani waliohudhuria kikao hicho, kilifanyika tarehe gani na wapi.

2. Ni nani aliyefanya tathmini na kuamua kwamba mgodi wa Kiwira ulikuwa katika hali mbaya (pathetic condition) na hakuna chochote kiliachoweza kufanywa na serikali ili kubadilisha hali hiyo.

3. Hayo "madeni mengi mno" yaliyokuwepo katika mgodi wa Kiwira yalisababishwa na nini? mishahara ya wafanyakazi? kuchimbua makaa ya mawe toka mgodini? Tunataka maelezo ya kina na tuambiwe deni hilo lilikuwa ni kiasi gani na nani amelilipa deni hilo (Tuna wasi wasi kwamba deni hilo lilipwa na serikali kabla ya mafisadi Mkapa na mwenzie kujimilikisha mgodi huo)

4. Je, kuna zabuni yoyote iliyotangazwa katika magazeti mbali mbali ya Tanzania kwamba serikali iliamua kuuza mgodi huo? ilitangazwa tarehe zipi na katika magazeti gani? Na kama zabuni haikutangazwa basi tupewe sababu za msingi kwa nini zabuni ya kuuzwa Kiwira haikutangazwa hadharani.

5. Kama zabuni ilitangazwa tungependa kujua kamati ya wajumbe wa kuzitathmini zabuni mbali mbali zilizotumwa na waombaji ilikuwa na watu wangapi na tungependa majina yao yatangazwe hadharani.

6. Ni lini kamati ya kutathmini zabuni hizo ilikaa na kuammua kwamba zabuni kutoka kwa mafisadi Mkapa na Yona ndiyo ilyoshinda? Pia tungependa kujua hao waombaji wengine walikuwa tayari kuununua mgodi wa Kiwira kwa kiasi gani?

7.Ni wajumbe gani toka TANESCO, Wizara ya Nishati na Ikulu walikuwemo katika kuujadili mkataba uliosainiwa kati ya TANESCO na Kiwira wa shilingi 326 billioni? Tungependa tupatiwe majina na nyadhiza zao.

Kwa kumalizia mgodi wa Kiwira kuwa na "madeni mengi mno" au kuwa katika "hali mbaya" hakushushi thamani ya mgodi huo kwa 82.5% toka shilingi bilioni 4 mpaka shilingi milioni 700. Watanzania wengi tungependa kuona mgodi wa Kiwira unarudishwa haraka sana chini ya umiliki wa serikali na mkataba wa TANESCO na Kiwira ambapo mafisadi Mkapa na Yona wanalipwa shilingi 146 millioni kwa siku ubatilishwe haraka sana.

Alutta Continua!

Mungi ibariki Tanzania na Watanzania wote wenye kupenda haki na maendeleo ya Tanzania.
 
Sioni akiyajibu haya yote kama hatasema bado wanayafanyia kazi basi atasema usalama wa taifa.
 
Kiwira ijiandae, baada ya Richmond/Dowans sasa ni zam ya Kiwira.

Hakuna kulala mpala kieleweke
 
Maswali Mazuri haya:

1. Ni nani serikalini aliyeamua mgodi wa Kiwira uuzwe? Kama kuna kikao chochote cha baraza la mawaziri kilichokaa ili kuamua mgodi wa Kiwira uuzwe basi tungepata kujua ni mawaziri gani waliohudhuria kikao hicho, kilifanyika tarehe gani na wapi.

2. Ni nani aliyefanya tathmini na kuamua kwamba mgodi wa Kiwira ulikuwa katika hali mbaya (pathetic condition) na hakuna chochote kiliachoweza kufanywa na serikali ili kubadilisha hali hiyo.

3. Hayo "madeni mengi mno" yaliyokuwepo katika mgodi wa Kiwira yalisababishwa na nini? mishahara ya wafanyakazi? kuchimbua makaa ya mawe toka mgodini? Tunataka maelezo ya kina na tuambiwe deni hilo lilikuwa ni kiasi gani na nani amelilipa deni hilo (Tuna wasi wasi kwamba deni hilo lilipwa na serikali kabla ya mafisadi Mkapa na mwenzie kujimilikisha mgodi huo)

4. Je, kuna zabuni yoyote iliyotangazwa katika magazeti mbali mbali ya Tanzania kwamba serikali iliamua kuuza mgodi huo? ilitangazwa tarehe zipi na katika magazeti gani? Na kama zabuni haikutangazwa basi tupewe sababu za msingi kwa nini zabuni ya kuuzwa Kiwira haikutangazwa hadharani.

5. Kama zabuni ilitangazwa tungependa kujua kamati ya wajumbe wa kuzitathmini zabuni mbali mbali zilizotumwa na waombaji ilikuwa na watu wangapi na tungependa majina yao yatangazwe hadharani.

6. Ni lini kamati ya kutathmini zabuni hizo ilikaa na kuammua kwamba zabuni kutoka kwa mafisadi Mkapa na Yona ndiyo ilyoshinda? Pia tungependa kujua hao waombaji wengine walikuwa tayari kuununua mgodi wa Kiwira kwa kiasi gani?

7.Ni wajumbe gani toka TANESCO, Wizara ya Nishati na Ikulu walikuwemo katika kuujadili mkataba uliosainiwa kati ya TANESCO na Kiwira wa shilingi 326 billioni? Tungependa tupatiwe majina na nyadhiza zao.


La nyogeza ni kwamba atuambie bayana walioshindania ununuzi ule na ni zipi zilikuwa ofa zao na ni vigezo gani vilitumika kumchagua mshindi. Walituambia waliokuwa washindani katika mradi wa Richmond, nadhani hawatshindwa kutumbia nani walikuw washindani katika ununuzi huu tena.
 
Naam, Hatotukubali majibu yasiyo na uchambuzi wa kutosha. Maana kuna kila dalili kwamba mafisadi Mkapa na Yona walifanya wizi mchana kweupe na ufisadi na kutuibia Watanzania mgodi wetu ili badala ya kuendelea kuwaletea manufaa Watanzania wote, sasa mapato ya mgodi huyo ni ya famili tatu tu za Mafisadi Mkapa na Yona na Wakwe wa Mkapa, hili kamwe halitakubalika. Hili likitumika vizuri na upinzani kwenye kampeni za 2010, kama mgodi huo utaachiwa uendelee kuwa chini ya miliki ya mafidai basi linaweza kuwapatia ushindi mkubwa wa upinzani na labda kuweza kuurudisha mgodi huo chini ya miliki ya Watanzania
 
Jibu kuwa mradi wa Kiwira ulikuwa kama umekufa kabla ya kuuzwa limewahi kutolewa na Pinda kwenye kikao hiki cha bunge kinachoendelea. Kama kuna mtu anayetaraji kupata majibu tofauti toka kwa Ngeleja, tusubiri muda ufike. There is little we can expect from a govt of the fisadis, put in place by the fisadis to serve the interests of the fisadis !
 
Nilipoandika hii thread couple of weeks ago, boy, kidogo tu watu wangenimwagia mafuta. Lakini nimefarijika kusikia kuwa wahisani wa nje nao wameliona hili na kuamua kukubaliana na mimi: Mkapa is arguably one of the finest Presidents Tanzania has ever produced.
 
wizi na ujambazi alioufanya mkapa katika nchi hii hata sala zake zimejeuka kuwa laana kwake mwenyewe.... ajitokeze hadharani ajitete kama anaweza
 
cleptocracy that was created by Mkapa is the one that is killing this country. Kikwete does not have to do anything he just has to wait to nail a final nail to a dying country,
 
Leo kwenye magazeti kuna habari ambazo zinatupa mwanga wa utawala wa raisi mkapa,
moja ni ya ile ya Prof Lipumba kukemea/kuwalaumu wahisani kwa kumpongeza mkapa kupigana na rushwa wakati ufisadi mkubwa ulikuwepo kwenye utawala wake, majira 13/08/08.
na nyingine Mramba akirikufanya makosa, kwa kusema ili nchi iendele serekali lazima iwe kichocheo kwa uwekezaji wa viwanda vikubwa, kinyume cha hapo tumekwisha.
soma tanzania daima 13/08/08.
mwenye kuweza kuweka hizo link itasaidia for future reference.
 
- na ni chini ya utawala wa Mkapa ndipo wizi mkubwa kabisa katika Benki Kuu umetokea!
- Ni chini ya Mkapa Usalama wa Taifa was compromised kwa kubadilisha sheria ya usalama na kuunda picha ya kitu kinachoitwa Usalama wa Taifa na hivyo kuruhusu wezi kuingia hadi jikoni kuiba huku picha hiyo ikiwa imesimama mlangoni!
- Ni chini ya Mkapa Sheria mbovu ya Madini ya 1998 imeandikwa ambayo ilifungua mlango kwa upotevu wa mabilioni ya shilingi katika sekta hii muhimu kwa uchumi.
- Ni chini ya Mkapa sheria mbili za fedha zenye mambo ya ajabu ziliandikwa 2001, 2004 ambazo pamoja na sheria nyingine ziligeuza tanzania kuwa kisima cha uchotaji wa fedha na kuzirusha nje.
- Ni chini ya Mkapa makampuni feki yaliyoundwa na kuchota fedha za umma ikiwemo Meremeta yalipoundwa na yeye mwenyewe akiwa ni mmoja wa watu waliojua nini kinaendelea!
- Ni chini ya Mkapa kwa mara ya kwanza Rais wetu alitumia nafasi yake kuingia kwenye ubia na taasisi iliyo chini na hivyo kuvunja sheria ya maadili ya viongozi - na hili si dogo, ni kubwa mno! Nchi nyingine rais anaondolewa na Bunge!
- Ni yeye aliyemteua Mwanasheria Mkuu mbovu kabisa katika historia ya Tanzania huru


Hitimisho:



Mkapa alifanya aliyoyafanya na katika aliyoyafanya aliyoyafanya kwa kuyafanya vibaya kabisa ni yale aliyoyafanya ambayo hataki kuyazungumzia kuwa aliyafanya!

Mzee, nakuvulia kofia na kukuunga mikono! Hamna cha kuongezea. Anayetaka kujadili zaidi aidha ana mantiki tofauti na binaadamu wa kawaida au ana ajenda za ziada!
 
Nilipoandika hii thread couple of weeks ago, boy, kidogo tu watu wangenimwagia mafuta. Lakini nimefarijika kusikia kuwa wahisani wa nje nao wameliona hili na kuamua kukubaliana na mimi: Mkapa is arguably one of the finest Presidents Tanzania has ever produced.

Hizo sifa zingetolewa na Watanzania wenyewe ningeona fahari. Lakini kusifiwa na watu wa nje ambao hawana undani wa yale yanayofanyika nchini si jambo la faraja hata kidogo.
 
Jasusi,
hasaaa mkuu hapo umesema!
Unajua hata ktk maisha yetu ya kila siku, mwanamke ambaye vitu vinatoka nje ya ndoa husifiwa sana na wanaume kwa sababu vinatoka!...lakini sidhani kama sifa hizo BongoTZ anaweza kuzisema ikiwa huyo anayebonyezwa ni mkewe!..
 
Back
Top Bottom