This is a pragrammatic approach mkuu. Sisemi kwamba hii forum ni irrelevant (hapana), ila nimeamua tu kuchukua different approach. Approach ya kutafuta solutions/take action. Ningependa kuku-encourage wewe na wadau wengine pia muungane nami ktk hili. Coz it seems obvious to me that approach ya kulaumu pekee yake, imeshindwa kabisa kuzaa positive results.
Umeamua kuchukua different approach, ya kumshangilia mkapa, baada ya kuzidiwa hoja sasa umeamua kwenda kuchimba visima? hiyo ndiyo unaita different approach?
Mkuu sisi tunapiga kelele hapa, tunasogezea viongozi wengi wakuu hizi ideas, kuna zinazofanyiwa kazi, ni nyingi mno kwamba hata hautwezi kuzihesabu, kuna zinazokataliwa kwa kukosa hoja nzito, na kuna zinazofanyiwa kazi na magazeti yetu pia, licha ya wananchi wanaokuja kuchota elimu,
Baaada ya kukusoma kidogo,unaonekana kuchanganya ishu mbili tofauti hapa, nazo ni moja ya siasa za online na Cummunity Activism, hiyo unayotaka kufanya sasa huko ya kuchimba visima, inaitwa siasa za community activism, hii unayoifanya hapa JF inaitwa online activism, sisi mkuu tulichofanya ni kutumia huu huu mtandao kuwaomba wananchi tunaowajua wamchangie mama Kilango, hela za kuongeza kwenye mfuko wa visima 30 anavyotarajiwa kuvijenga huko Same East, ndio maana ya kuutumia mtandao kwa faida ya taifa letu, lakini kufanya hivyo sio sababu ya kuwatukana wananchi wengine hapa kuwa hii JF ni kupiga kelele tu, hilo take it back mkuu,
Otherwise, next time jaribu kutafuta topic safi na uwe na hoja za kui-back up, maana hii uliyojitwika hivi karibuni ya kutaka kushindana na jamii kuwa Mkapa hana makosa, mara mkapa hakuna ushahidi, mara oooh ni matatizo ya familia, sijui kama kweli utafanikisha lengo lako la kuchimba visima namna hii, maana si unaona ilivyoku-back fire!