Good point Mpita Njia! Unajua kila siku nimekuwa nasema neno hilohilo lakini watu wananiona kama chizi fulani vile. Action, please! ACTION. Maneno matupu hayatupeleki popote waungwana! It would be a brilliant move kama tungeanzisha some sort of movement fulani ili kutia-presssure/hakikisha kwamba wale wote wanaohisishwa na ufisadi hawaingii/rudi tena kwenye system. For instance, let say Karamagi ni Fisadi kweli. Then, movement ichange pesa, itafute alternative figure, kisha ground work ifanywe [kufa na kupona] kuhakikisha kuwa Karamagi harudi tena bungeni. It's that simple wananchi. I mean, Tarime wanaweza wakatufundisha hizo mbinu maana nasikia kulikuwa na jamaa mmoja anaitwa Kisyeri Chambiri (formet MP, Tarime) ambaye alikuwa anatukana watu na kusema, "mpenda msipenda mimi nitakuwa mbuge wa Tarime forever." Oh, shit! Watu wakaji-organize, wakaanzisha movemet [nasikia baada ya kumaliza kupiga kura, people hazikuondoka vituoni! Walipiga kambi nje ya vituo vya kura mpaka kilipoeleweka!] Matokeo yake: Wakampeleka "mpiganaji Wagwe" Dodoma. Hivyo ndivyo tutakavyobadili nchini. Lakini hili la kushindana kuona nani ana type fast hapa JF, halitupeliki popote kabisa.