duh yaani mke ni wa kijiji kizima mpaka watu wote wa vunjo wadai mkapa ni mkwe wao.
kwa hiyo kumgusa eti umewagusa wote. duh! this is ubeliavable!
Huyu Kimaro anatapatapa tu. Unajua kuna watu (wabunge) wanakurupuka sasa hivi ili kujinusuru ifikapo 2010 kwenye kura za maoni. Wanajua kinachoendelea majimboni mwao kwa sasa hivi.
Nafikiri alikaa chini akajiuliza atoke vipi, na akaamua kutoka na Mkapa ili apate "attention" ya walalahoi. Sasa anaanza kulialia. Maana sidhani yeye kama yeye anazo data za kujiridhisha kwamba aliyoyasema anaweza kuyathibitisha kweli. Kimsingi alikurupuka tu, maana alichonacho ni nakala za magazeti yaliyokuwa yakiandika habari za ufisadi wa Mkapa.