Mkapa above the law?: Allegations

Mkapa above the law?: Allegations

Inasemekana Fisadi Mkapa ana nyumba za bei mbaya New York, Washington, London, J'burg, Dubai na Ottawa atwambie haya majumba ya bei mbaya aliyanunua pia kwa pensheni yake au mapesa aliyoyapata kwa ufisadi? na nani anayemkusanyia kodi katika baadhi ya nyumba hizo ambazo zinasemekana fisadi Mkapa kazipangisha? Na pesa hizo za kodi amefungua bank account Tanzania au nje ya nchi? Na balance za account hizo anaweza kuzianika hadharani ili tujue kweli anaishi kwa pensheni?
 
Mara kwa mara nimekuwa najiuliza kwa Mkapa kwenda kwao na kutusemea kwa ndugu zake kwamba tunamuonea kwamba yeye ni Mzee wa "Vijisenti" Nimekuwa nikijiuliza hivi ni yule yule Nkapa ambaye alikuwa akizisoma hotuba ambazo kiasi zilikuwa si mbaya kama hii ya mwisho akiwa na nduguze pale Lupaso, ambapo alitoa hotuba ya kitoto
Nanukuu
“Sina uwezo wa fedha ingawa najua mnasikia na kusoma mengi …naishi kwa pensheni yangu kutoka serikalini kutokana na kuwa kiongozi kwa miaka 10 ambayo hata Mzee Mwinyi anaishi hivyo maana sisi sote ni wastaafu. Huo (uvumi) ni uongo …uongo ….uongo ….uongo …uongo….uongo….uongo,” alisema Mkapa.
Mwisho wa kunukuu

Hivi baada ya kuachia urais yule mwandishi wake wa hotuba aliachia ngazi????? Siku nyingine usitupotezee muda kwa hotuba za kutukatisha tamaa kiasi hiki.
 
Hapa nadhani JK alikuwa akiteta kitu cha msingi sana na huyu Mwanawasa hasa kuhusiana na Fisadi wetu mkuu


Kikwete na Mwanawasa.jpg


Anaelekea kumuuliza JK "Hivi una mpango gani na huu ufisadi nchini mwako mbona huwashikishi adabu watu hao???
 
Naomba wabunge, kwanza wamtoe hiyo immunity yake, pili wakate Pension yake by half, tatu wataifishe 90% ya malizake au mali zote alizopata kwa ufisadi, kunyanganya diplomatic passport, kuondoa jina lake kwenye majengo na shule na daraja, then wanaweza kumwachia huru itakuwa adhabu tosha kwake na nkewe, na kumuachia huo ulinzi kidogo, na atleast a reasonable hse ya kuishi
 
Taratibu nyoka aliyejichimbia kwenye shimo la sungu sungu ambako nguchiro walikuwa wanakaa bila mkwaruzo na kenge mambo hayamuendei shwari inabidi aite vibaka aliowalisha peremende, ....................................lakini mchwa tabu yake hawapendi pipi.

Dua la kuku linapompata mwewe, patamu hapo.
 
Sheikh akitinga na kanzu anavyopendeza alikuwa ni mtu wa wote wa mungu na washetani


mkapa.jpg
arobaini ya ditto: Marais wastaafu, Benjamin Mkapa (kushoto) na Ali Hassan Mwinyi (katikati) wakisalimiana na Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Bw. Reginald Mengi walipokutana kwenye arobaini ya marehemu Bw. Ukiwaona Ditopile Mzuzuri iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Rajabu Mhamilia)
 
JAMANI BENJAMEN WILLIAM MKAPA SI FISADI BALI NI MWIZI MWIZI , angekuwa anakumbuka ya huko nyuma na watu ambao amewatapeli akiwa madarakani kwa mabavu yake asingedhubutu kuzungumza huo UOZO aliozungumza juzi. ASOTUKEJELI KWANI APENDE ASIPENDA LAZIMA ATAFIKISHWA MAHAKAMAI NA KUIONA AIBU ALIYOIPATA BWANA CHILUBA WA ZAMBIA HATA KAMA ITAKUWA BAADA YA MIAKA MICHACHE LAKINI ATATINGA TU MAHAKAMANI BECAUSE HE IS A CRIMINAL RETIRED SO CALLED PRESIDENT.
 
ukiona jamaa anatoa chozi ujue mambo yamefika puani hana pa kupumulia.
kaaazi kweli kweli!
ukweli utatoka tu siku ya siku ikifika itakuwa ukweli,ukweli ukweli!.
sasa ni uongo,uongo,uongo!
wakati watu wanaishi kwa dhiki hakuna madawa ,bei za vyakula zimepanda, umeme sasa ni luxury na elimu nzuri mpaka chekechea uwe na malaki hivi kweli walikotupeleka bado tu tuwaamini ni wakweli!
 
Source-mwananchi
Waziri Wa Ofisi Ya Raisi Na Utawala Bora Sophia Simba Amesema Shutuma Zidi Ya Fisadi Mkapa Ni Uongo Na Uzushi Mtupu...mh Simba Alyasema Hayo Katika Khitma Ya Aliekuwa Mkuu Wa Tabora Mh Ukiwaona Ditopile Ramadhani Mwinshehe Mzuzuri....alisema Shutuma Zote Ni Uzushi Mtupu Akawaomba Waandishi Wajitahidi Kuzama Kuwaelimisha Wananchi Katika Kuleta Maendeleo Badala Ya Kufwatilia Vitu Visivyo Na Ukweli...""nawashangaa Wananchi Wanaacha Kufanya Vitu Vinavyoleta Maendeleo Nawanaanza Kujadili Viongozi Kwa Tuhuma Ambazo Hazina Ukweli Wowote..kama Yupo Mwenye Uthibitisho Aende Maahakamani""wakati Waziri Akisema Hilo Ex Presidaa Nkapa Alikuwepo Mahali Hapo Na Hakuongea Chochote Zaidi Ya Kuondoka Baada Ya Kumaliza Hafla..

Watanzania Huyu Ndie Waziri Wa Utawala Bora Tunaemtegemea Katika Kumwelekeza Raisi Wapi Pachafu Nani Si Mwadilifu Leo Hii Anaongea Utumbo Kama Huu Sasa Nafikiri Imefika Wakati Wa Wananchi Kuwaonyesha Makucha Yetu Hawa Watu Jamani....
Wewe Mama Sikujui Na Wala Hunijui Mimi Nashukuru Kwa Kuongea Kile Mdomo Unachotaka Ukizingatia Ndie Aliekupa Ulaji Muda Wote Akiwa Raisi Sina Cha Kusema Ila Kama Waziri Unijibu Maswali Yafuatayo Hata Kwa Kutumia Hausigeli Wako Kuandika Kwenye Jf

Tunaomba Ujibu Kashfa Zifuatazo Za Mh Nkapa Kabla Ya Kumshauri Raisi Ujiuzulu Kwanza Kwa Kutumia Msiba Kudangannya Umma...nilitumaini Wewe Ni Muislam Safi La Hasha Kumbe Marjisi Mtupu...naomba Utujibu Maswali Haya

1)))zile Nyumba 3 Kubwa Pale Masaki Za Mh Mkapa Alizipataje????

2)))kile Kiwanda Cha Kiwira Alichojiuzia Na Nduguye Yona Kwa Sh Million 700 Na Kulipa Sh Million 70 Ambazo Hata Hivyo Alizipata Kwa Kupewa Mkop[o Na Crdb Unaweza Kutueleza Kwanini Ajalipa Zilizobaki Mpaka Sasa?????unaweza Kutuonyesha Au Kuwaandikia Jf Members Bodi Membaz Wa Hiyo Bodi....???na Akija Mtu Kukwambia Kile Kiwanda Analipwa Million 140 Kwa Siku Wewe Kama Simba Waziri Uanweza Kukataa Na Kuonyesha Nini Wanalipwa????

3))ukiwa Nae Huyo Nkapa Chumbani Ama Sehemu Yoyote Muulize Nzee Pesa Za Lile He=kalu Kule Tanga Nani Alikufadhili????nzee Mbona Hailingani Na Pensheni Yako???ukipata Jibu Nimekuomba Mtafute Hausigeli Ajibu Humu Ndani...nasi Tuendelee Kukumwagia Dataz

4))muulize Ati Lile Hotel Pale South Africa Wale Jamaa ((muunganiko Wa Southafrikan Kampani))zilizopewa Madini Na Baadhi Ya Kampuni Yetu Hapa Nchini Nzee Kweli Ni Yako??naomba Utuletee Jibu Kabla Hatujakujibu Kwa Maandishi

5))lile Shamba Kubwa La Hekari Kadhaa Pale Mtibwa Sugar Mzee Jamani Kweli Umechukua Lote????we Muunganishie Wakati Mkiwa Mnakunywa Chai Na Juisi Ya Miwa Ya Mtibwa Uone Atasemaje Tunaitaji Majibu Humu

6))zile Hekari 50 Za Bagamoyo Mzee Ulizipata Kwa Hii Hii Pensheni Jamani???

Ukimaliza Tunaomba Majibu Mama Simba Kabla Hatujamshauri Raisi Kukuondoa Hapo Ulipo Na Yeye Kuamua Ama Akupige Chini Kama Chenge Au Akuamishe Kupunguza Gasia......

Shame On You Madam
 
SOMETIMES ITS TRUE THAT.........."SPEECH IS SILVER SILENT IS GOLD".......!
 
Great work Mwanahalisi, Inabidi tuanze mashinikizo ya kumkataa huyu mama na kumwomba aachie hiyo nafasi, ameliaibisha taifa, ni kama vile amenogewa penzi la Nkapa. Sikutegemea kwa kweli!!
 
""""Tunaomba Ujibu Kashfa Zifuatazo Za Mh Nkapa Kabla Ya Kumshauri Raisi Ujiuzulu Kwanza Kwa Kutumia Msiba Kudangannya Umma...nilitumaini Wewe Ni Muislam Safi La Hasha Kumbe Marjisi Mtupu...naomba Utujibu Maswali Haya

1)))zile Nyumba 3 Kubwa Pale Masaki Za Mh Mkapa Alizipataje????

2)))kile Kiwanda Cha Kiwira Alichojiuzia Na Nduguye Yona Kwa Sh Million 700 Na Kulipa Sh Million 70 Ambazo Hata Hivyo Alizipata Kwa Kupewa Mkop[o Na Crdb Unaweza Kutueleza Kwanini Ajalipa Zilizobaki Mpaka Sasa?????unaweza Kutuonyesha Au Kuwaandikia Jf Members Bodi Membaz Wa Hiyo Bodi....???na Akija Mtu Kukwambia Kile Kiwanda Analipwa Million 140 Kwa Siku Wewe Kama Simba Waziri Uanweza Kukataa Na Kuonyesha Nini Wanalipwa????

3))ukiwa Nae Huyo Nkapa Chumbani Ama Sehemu Yoyote Muulize Nzee Pesa Za Lile He=kalu Kule Tanga Nani Alikufadhili????nzee Mbona Hailingani Na Pensheni Yako???ukipata Jibu Nimekuomba Mtafute Hausigeli Ajibu Humu Ndani...nasi Tuendelee Kukumwagia Dataz

4))muulize Ati Lile Hotel Pale South Africa Wale Jamaa ((muunganiko Wa Southafrikan Kampani))zilizopewa Madini Na Baadhi Ya Kampuni Yetu Hapa Nchini Nzee Kweli Ni Yako??naomba Utuletee Jibu Kabla Hatujakujibu Kwa Maandishi

5))lile Shamba Kubwa La Hekari Kadhaa Pale Mtibwa Sugar Mzee Jamani Kweli Umechukua Lote????we Muunganishie Wakati Mkiwa Mnakunywa Chai Na Juisi Ya Miwa Ya Mtibwa Uone Atasemaje Tunaitaji Majibu Humu

6))zile Hekari 50 Za Bagamoyo Mzee Ulizipata Kwa Hii Hii Pensheni Jamani???

Ukimaliza Tunaomba Majibu Mama Simba Kabla Hatujamshauri Raisi Kukuondoa Hapo Ulipo Na Yeye Kuamua Ama Akupige Chini Kama Chenge Au Akuamishe Kupunguza Gasia......

Shame On You Madam""

wewe mama kama haya ndio unayoyaongea na kama penzi la nkapa ni tamu kiasi hicho sidhani kama unatufaa hiyo nafasi,wito kwa jk tunomba huyu mama mpeleke akamfwate mwenzake makongoro..mpe uwaziri wa utamaduni na michezo la mpeleke akawe bosi wake makongoro...hawana mapya na kama uamini mama JF ndio inapanga mawaziri na kuondoa tupe muda.....
mod hii thread usiifute wala kuiondoa tumechoka jamani aaahhhhhhhhhh mambo gani haya sasa
 
Tunaomba Ujibu Kashfa Zifuatazo Za Mh Nkapa Kabla Ya Kumshauri Raisi Ujiuzulu Kwanza Kwa Kutumia Msiba Kudangannya Umma...nilitumaini Wewe Ni Muislam Safi La Hasha Kumbe Marjisi Mtupu...naomba Utujibu Maswali Haya

1)))zile Nyumba 3 Kubwa Pale Masaki Za Mh Mkapa Alizipataje????

2)))kile Kiwanda Cha Kiwira Alichojiuzia Na Nduguye Yona Kwa Sh Million 700 Na Kulipa Sh Million 70 Ambazo Hata Hivyo Alizipata Kwa Kupewa Mkop[o Na Crdb Unaweza Kutueleza Kwanini Ajalipa Zilizobaki Mpaka Sasa?????unaweza Kutuonyesha Au Kuwaandikia Jf Members Bodi Membaz Wa Hiyo Bodi....???na Akija Mtu Kukwambia Kile Kiwanda Analipwa Million 140 Kwa Siku Wewe Kama Simba Waziri Uanweza Kukataa Na Kuonyesha Nini Wanalipwa????

3))ukiwa Nae Huyo Nkapa Chumbani Ama Sehemu Yoyote Muulize Nzee Pesa Za Lile He=kalu Kule Tanga Nani Alikufadhili????nzee Mbona Hailingani Na Pensheni Yako???ukipata Jibu Nimekuomba Mtafute Hausigeli Ajibu Humu Ndani...nasi Tuendelee Kukumwagia Dataz

4))muulize Ati Lile Hotel Pale South Africa Wale Jamaa ((muunganiko Wa Southafrikan Kampani))zilizopewa Madini Na Baadhi Ya Kampuni Yetu Hapa Nchini Nzee Kweli Ni Yako??naomba Utuletee Jibu Kabla Hatujakujibu Kwa Maandishi

5))lile Shamba Kubwa La Hekari Kadhaa Pale Mtibwa Sugar Mzee Jamani Kweli Umechukua Lote????we Muunganishie Wakati Mkiwa Mnakunywa Chai Na Juisi Ya Miwa Ya Mtibwa Uone Atasemaje Tunaitaji Majibu Humu

6))zile Hekari 50 Za Bagamoyo Mzee Ulizipata Kwa Hii Hii Pensheni Jamani???

Ukimaliza Tunaomba Majibu Mama Simba Kabla Hatujamshauri Raisi Kukuondoa Hapo Ulipo Na Yeye Kuamua Ama Akupige Chini Kama Chenge Au Akuamishe Kupunguza Gasia......

Shame On You Madam
 
Huyu mheshimiwa waziri Simba, yaani baada ya "kumtetea" Chenge kuwa pengine kauza ng'ombe ndio kapata vile vijisenti sasa "anamtetea" rais mstaafu Mkapa. Kwanini anawatetea viongozi wanaotuhumiwa ufisadi? Halafu sababu anazotoa yaani zinapwaya mpaka mtu unajiuliza huwa anafikiria nini (assuming kuwa naye huwa anafikiria)!
 
Unajua watu wengine mnaweza kufanya hata wanao ongea kuhusu tuhuma za watu fulani humu ndani ni wahuni wote.Ni vema ukabaki kwenye point kuliko kurukaruka na maneno ya kashfa za kama"ukiwa Nae Huyo Nkapa Chumbani Ama Sehemu Yoyote Muulize Nzee ........." & "wewe mama kama haya ndio unayoyaongea na kama penzi la nkapa ni tamu kiasi hicho " what the f r you talkin
Jaribu kuheshimu mama za watu na wake za watu tukiwa wote na attitude sijuhi itakuwaje.Mbona ungeweza kuongea maneno yote yaliyobaki na point ikawa bado ipo wima tu.

Pili ni ktk ku brainstorm tu ebu tuwekane sawa huyu jamaa inasemekana kaiba pesa nyingi sana si ndio?Kwa nini hakumaliza hilo deni lake linalosemekana anadaiwa?au ndio kuonyesha/kujifanya hakuchota ,ama kweli hana kiasi hicho cha pesa.There's no way we can have both answers at a time it should be oe correct ans.

Kwa maoni yangu kunauwezekano mkubwa akawa kakwiba ila njinsi fact zinavyokuwa presented zikisindikizwa na a lot of pumba inaweza kumfanya huyu bwana kuwa safi at the court of law,maana itaonekana wapimaji wanapata false positive result kutokana na mtindo wa kuchanganya pumba kwenye mambo ya msingi.Mtu anaulizia ekari 50 shamba bagamoyo damn!hapohapo unaingiza habari za mapenzi .Watu kama nyie jeshini mnapikwa risasi halafu inakuwa siri ya jeshi maana mnaweza kunyima watu ushindi Watch your big mouth !
 
viongozi wa tanzania hata hawajui wanasema nini!
pinda kasema kuwa shutuma zinafanyiwa uchunguzi, haya ya simba ndo anatwambia kuwa uchunguzi ushafanyika na matokeo yake ni kuwa shutuma za uongo au?
kama ni hivyo, na aongee kirasmi katika sehemu rasmi.....sio maneno ya siasa za kwenye misiba.
 
Hivi kama hizi shutuma si za kweli kwa nini Mkapa au huyo bi Sofi wasiitishe press conference wakatoa maelezo ya kina ya ni nini uzushi na wapi Mkapa anasingiziwa. Ushari kwa be Sofi " Better remmain silent and be thought you are a fool than opening your mouth and remove all doubt"

Kwa mwendo huu maisha bora kwa kila mtanzania hata baada ya miaka mia ni ndoto!!!!!!
 
Back
Top Bottom