William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
Niaamini kuwa wakati ukifika, hatakuwa na ujanja, tulisema siku nyingi sana huko nyum akuwa huyu Mkapa, sio a good politician ila ni a good messenger tu na kuandika English safi, that is all kwa sababu angekuwa na akili ya siasa aisngefanya aliyoyafanya akiwa rais, na kuacha ushahidi kila kona,
Kama yeye mwizi kweli na mwanasiasa, kilichomshinda kwenda kuiba hela za kutoka majuu na kukatia huko huko ni kipi? Sasa hivi kinga yake ya Presidential Immunity, ni suala la wabunge tu kuiondoa kwa kura 2/3 basi ameenda na maji, rais hawezi kuizuia maana hata rais mwenyewe sasa hivi hana hamu na bunge tena,
Toka atoke kwenye urais, ndio basi hana mtu hata mmoja aliyebaki kwenye power wa kusema atamsimamia, alimtegemea sana Lumbanga, lakini not only kwamba alitemwa bali pia na yeye anahusika na kesi ya Mahalu, maana alishiriki pia, na hata Mkapa yumo kule so far kesi haijamuendeea vibaya Mahalu, ambaye ameapa in private kuwa yakimfika shingoni atawasema wote aliokula nao,
Kuna wanaotuambia kuwa Mkapa ni mzuri wa kuongea atawashinda wote kwa hoja, damn! ninakumbuka baada tu ya kupata urais 1996, nilipambana naye kwenye mkutano mmoja wa wabongo, nikamtwanga na hoja mpaka akakatisha mkutano kwa hasira na kukataa hata dinner aliyokuwa ametayarishiwa na balozi pale, kesho yake kidogo amle yule balozi kwa kuniruhusu kuhudhuria ule mkutano huku akiwa anajua kuwa mimi ni mpinzani, na toka siku ile ikawa kila anapokwenda ule mji ilikuwa ninatumiwa ujumbe mzito na idara kuwa nisiende kwenye mikutano yake, au nikienda nisiulize maswali tena, ikiwa ni amri toka kwake mwenyewe,
wallahi siku itakapofika nitawaomba serikali wanipe nile naye sahani moja, huyu ni panja tu, yaani mwizi mimi wanipatie huyo tuone kama ana hoja kweli!
Kama yeye mwizi kweli na mwanasiasa, kilichomshinda kwenda kuiba hela za kutoka majuu na kukatia huko huko ni kipi? Sasa hivi kinga yake ya Presidential Immunity, ni suala la wabunge tu kuiondoa kwa kura 2/3 basi ameenda na maji, rais hawezi kuizuia maana hata rais mwenyewe sasa hivi hana hamu na bunge tena,
Toka atoke kwenye urais, ndio basi hana mtu hata mmoja aliyebaki kwenye power wa kusema atamsimamia, alimtegemea sana Lumbanga, lakini not only kwamba alitemwa bali pia na yeye anahusika na kesi ya Mahalu, maana alishiriki pia, na hata Mkapa yumo kule so far kesi haijamuendeea vibaya Mahalu, ambaye ameapa in private kuwa yakimfika shingoni atawasema wote aliokula nao,
Kuna wanaotuambia kuwa Mkapa ni mzuri wa kuongea atawashinda wote kwa hoja, damn! ninakumbuka baada tu ya kupata urais 1996, nilipambana naye kwenye mkutano mmoja wa wabongo, nikamtwanga na hoja mpaka akakatisha mkutano kwa hasira na kukataa hata dinner aliyokuwa ametayarishiwa na balozi pale, kesho yake kidogo amle yule balozi kwa kuniruhusu kuhudhuria ule mkutano huku akiwa anajua kuwa mimi ni mpinzani, na toka siku ile ikawa kila anapokwenda ule mji ilikuwa ninatumiwa ujumbe mzito na idara kuwa nisiende kwenye mikutano yake, au nikienda nisiulize maswali tena, ikiwa ni amri toka kwake mwenyewe,
wallahi siku itakapofika nitawaomba serikali wanipe nile naye sahani moja, huyu ni panja tu, yaani mwizi mimi wanipatie huyo tuone kama ana hoja kweli!