ABUNUWASI|Old
Member
- Feb 9, 2008
- 12
- 0
Huyu Mkapa Anajua Kuwa Hasingiziwi Bali Ni Mwizi To .......
Dhahiri huyu Mama kaonyesha ujinga wake..yaani unakuja sema maneno kama hayo kwenye matanga?.. as if Mkapa anahusiana na kifo cha Ditopile..jamani heshima ziko wapi siku hizi siasa hadi matangani!
Viongozi wetu jamani ama kweli vichaa watupu!..
Anapotaka watu waje na ushahidi yeye anao ushahidi gani kama sio mambo ya jikoni kuyaleta mahala sipo..UPUMBAVU mtupu, huyu mama nilifikiria zimelala kube naye yale yale...
Mama ni hawara wa Kitwana Kondo, ambaye ni rafiki wa karibu sana na muungwana, amesoma Mlimani alishindwa ubunge kwa vitimaalum, halafu akagombea UWT kote alikosa, lakini muungwana akampa ubunge wa bure na uwaziri juu, alichofanya kikubwa ni kwamba zamani alikuwa mshikaji wa karibu sana wa Mama Kilango, kwa hiyo deal zote za kampeni za uchaguzi wa rais alikuwa anazijua kwa karibu sana na kuziuza kwa mtandao, uwaziri ndio malipo yake, lakini pia ni mshikaji wangu wa karibu!
Kuna wakati anakuwa sawa na ansema sense, lakini sio hapa kwenye hili amekosea sana na ndio maana wanakaribisha maneno zaidi wanapojibu namna hii!
hivi huyu mama waziri mzima hana PR?
Huyu Mama naye ni fisadi. Maana yuko mstari wa mbele kuwatetea mafisadi kila kukicha. Hana ushahidi wowote wa kuthibitisha kwamba tuhuma dhidi ya fisadi Mkapa ni uzushi mtupu. Kuna ushahidi chungu nzima ikiwamo bank account ya fisadi Mkapa pale Switzerland. Nyumba Washington, New York, London, Dubai, J'burg na Ottawa. Kujimilikisha KCM katika mazingira ya kifisadi. Kuhusika na ufisadi katika ununuzi wa rada, ndege ya Rais, magari na helicopters za jeshi. Kumiliki nyumba nyingi Dar na sasa Mbeya katika mazingira ya kifisadi. Kwanini huyu fisadi Mkapa asiitishe news conference ili ahojiwe mambo mbali mbali dhidi ya tuhuma za ufisadi alioufanya akiwa Rais? Anajifichaficha migongoni mwa watu. Fisadi Mkapa unajua kuongea, wewe si bubu. Tokeza hadharani ujibu tuhuma dhidi yako badala ya kuwatuma watu wengine waongee kwa niaba yako.
Kinachosikitisha ni kwamba huyu ni waziri wa usalama wa taifa! Hapana mkuu huyu sio mke wa Simba, na pia ana mtoto wake mmoja ni jambazi la hatari sana amefungwa US longtime, na hatakuja kutoka karibuni!
Hivi kama hizi shutuma si za kweli kwa nini Mkapa au huyo bi Sofi wasiitishe press conference wakatoa maelezo ya kina ya ni nini uzushi na wapi Mkapa anasingiziwa. Ushari kwa be Sofi " Better remmain silent and be thought you are a fool than opening your mouth and remove all doubt"
Kwa mwendo huu maisha bora kwa kila mtanzania hata baada ya miaka mia ni ndoto!!!!!!
Ukimsikia mtu analia namna hii si bure .Basi mwenye data aanze kutumwagia hapa ili tumjue huyu Sofia Simba ni nani na uwezo wake wa akili ya kawaida ni upi na katokea wapi hadi kuukwaa ukubwa huu .Huyu mama nadhani hajui kwamba tuna haki ya kujua lolote hadi siku aachia madaraka ya Nchi yetu .
Dhahiri huyu Mama kaonyesha ujinga wake..yaani unakuja sema maneno kama hayo kwenye matanga?.. as if Mkapa anahusiana na kifo cha Ditopile..jamani heshima ziko wapi siku hizi siasa hadi matangani!
Viongozi wetu jamani ama kweli vichaa watupu!..