Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 64
JK you can change the ownership of KCM as soon as possible without waiting for another recommendation of a probe a team...
Sijui na huyu Kikwete naye anfanya nini hapo Ikulu grrrrrrrrrrrrr!!!!!
watu wazima wanaiba Ikulu mchana kweupe halafu yanaenda yakitamba mitaani kuwa yanasingiziwa
grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!
Oh.. it its like that NN? haya bwana... mwenyewe jana nilikuwa najipongeza na tushemeji twako tuwili twa weekend baada ya kugundua kuwa Mkapa "anasingiziwa". I had to leave the computer and go to the Metro Beach just to osha macho yangu maana wakati mwingine unaweza kuamini kuwa "ndivyo tulivyo".
kwi kwi kwi...
No please... just say it aint true!
Mkjj aint no midget ..... You know that Ngabu unless you want a fight with Lydia! ..... I will be staying away.... flying like an eagle... no rescue missions
Oh.. it its like that NN? haya bwana... mwenyewe jana nilikuwa najipongeza na tushemeji twako tuwili twa weekend baada ya kugundua kuwa Mkapa "anasingiziwa". I had to leave the computer and go to the Metro Beach just to osha macho yangu maana wakati mwingine unaweza kuamini kuwa "ndivyo tulivyo".
HIyo Metro beach hivi hakuna "beach cameras" ili tupate ushahidi kwenye hii case?
Hey his "midget" swag is on point but it needs just a little bit of a tune up to be where it should be....he has a lot of swag potential.....hahahahaaaa
Uh oh...did he just put his foot in his mouth...?
Ndugu yangu nadhani umechanganyikiwa
____
Baada Ya Ukimya Wa Siku Nyingi Mala Baada Ya Aliyekuwa Gavanor Wa Bot, Daudi Balali Kufariki, Ooh Bubu Mkapa Kapata Delivarence Sasa, Anaongea Kwani Ushaidi Umekufa,na Vimemo Hatuta Viona Tena,so Automatical Kawa Safi Kuhusu Epa,kazi Kwao Dagaa Wadogo Wadogo,sasa Netx Move Ni Kupanchi Kiwila Scando,na Ufisadi Mwingine.
Hiyo yote inategemea kama kweli Ballali amekufa....
NAAMINI AMEKUFA KAMA JAMAA AMEANZA KUESEMA SAS KAANZA KIJIAMINI,ILA WANA JF WA USA KAENI CHONJO, MKIONA ANNA MUGANDA ANAOLEWA HARKA NA JAMAA WA KIMO CHA BALALI WITH NEW ID,BASI MJUWE KIFO KILIKUWA CHANGA LA MACHO.Mwanakiji what do you Mean,Mie nina wasiwasi..Hivi balali amekufa??naweza amini alipewa Sumu ila kama amekufa nataka kuona picha za video za msiba
Baada Ya Ukimya Wa Siku Nyingi Mala Baada Ya Aliyekuwa Gavanor Wa Bot, Daudi Balali Kufariki, Ooh Bubu Mkapa Kapata Delivarence Sasa, Anaongea Kwani Ushaidi Umekufa,na Vimemo Hatuta Viona Tena,so Automatical Kawa Safi Kuhusu Epa,kazi Kwao Dagaa Wadogo Wadogo,sasa Netx Move Ni Kupanchi Kiwila Scando,na Ufisadi Mwingine.
NAAMINI AMEKUFA KAMA JAMAA AMEANZA KUESEMA SAS KAANZA KIJIAMINI,ILA WANA JF WA USA KAENI CHONJO, MKIONA ANNA MUGANDA ANAOLEWA HARKA NA JAMAA WA KIMO CHA BALALI WITH NEW ID,BASI MJUWE KIFO KILIKUWA CHANGA LA MACHO.