Swali ambalo najiuliza mpaka ni kwa nini huyu Tuni Tuni aanze kuongea BAADA ya kifo cha Balali?Pili nianasema akuwa anasingiziwa,je ile kampuni ya ANBEM & Kiwira ni nani wanaimiliki?
Sasa kila mtu kasingiziwa kuanzia Chenge,marehemu Balali,Lowassa,Karamagi,Rostam,Mramba,Mgonja,etc...basi watuambie kina nani wanaowasingizia au watueleze ni kina nani basi walisababisha hasara ya mabilioni ya shilingi zetu...na pia huyu Tuni Tuni anasema watu ambao hakuwapa upendeleo ndio wanomchafua ni kina nani sasa?
Huyu bwana nilifikiri angeongea sense kumbe utumbo mtupu,ndo maana ameamua kunyamaza.