Mkapa above the law?: Allegations

Mkapa above the law?: Allegations

its not about kuchangia milioni 70.
kama mkapa na yona walijiuzia mgodi kwa pesa hizo na wao wanalipwa kila siku milioni kadhaa, basi wao ndio wanapaswa kuturudishia sisi wananchi pesa na riba!
haiwezikani kiongozi avunje maadili ya uongozi 100 ya 100 ikisha tuambiwe tuchange tumrudishie!

Hata mimi sioni sababu ya kuanza kutoboa mifuko yetu wakati tuliowapa dhamana ya kulinda uchumi walitupora,kwa hiyo kutekeleza siasa za Azimio la Arusha,"jama mabepari wanalia sana,tumenyonywa vya kutosha"
 
Mimi nafikiri serikali inatuchelewesha kwahiyo tufanye wenyewe haya mambo sasa! tumechoka kusubiri!
 
Tuandamane,

kuna mafile ya baadhi ya makampuni kwa sasa hutayakuta BRELA kwani yamechukuliwa na taasisi mbali mbali kwa "uchunguzi" ikiwemo PCCB,Ijumaa iliyopita nilikwenda pale kukagua (wao huita "official search") kampuni fulani (jina kapuni) kwa ajili ya kufanya mambo ya kibiashara, sasa nilipopeleka jina la kampuni hiyo nikaambiwa PCCB walikwisha lichukua muda kitambo...yawezekana huu ukawa upenyo pia wa "kupoteza" baadhi ya mafile kwa kisingizo cha kufanyiwa uchunguzi...tuvute subira tu tuone mwisho wa filamu hii...


Sasa naanza kumuelewa Pinda aliposema hili sakata la EPA ni kubwa, gumu na zito sana yeye anaogopa yawezekana hata akahusika... mnaikumbuka hiii kauli jamani??
 
Ningependa Mh. Zitto atueleze "kwa asilimia ngapi findings za Tume zimetokana na maoni ya Wananchi, na ngapi ni maoni yao binafsi au ya kimazingira"! Hii itatupa picha kama tunahitaji huu mlolongo wa tume; swala la kujua kama STAMICO ni muhimu kwa maendeleo ya Sekta ya madini halikuhitaji Tume. Kama tuna Agency ya kushughulikia nyumba za Serikali haiingii akilini kwa STAMICO na/au TPDC kubinafsishwa!
 
picture.php


MNANISINGIZIA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mkapa ataitoa nishai vibaya mno hiyo Press yenu ya Bongo wakikutana mjini.

Hizi shutuma hazikuanza juzi wakati Mkapa kawa Bubu. Mkapa amewahi kukutuna na Press mara kibao, mbona hawajaweza kum-bana? Wana habari Bongo simply hawana kende za kumuuliza Mkapa probing questions.

Unless, Press waje na mawakili kusaidia kuuliza maswali. Hapo sasa, na yeye atakuja na Mkono.

Mkapa aongee asiongee haileti tofauti yoyote, aidha kwenye press conference Da-es-Salaam mjini au uani kwa Mama yake mzazi "Bushi" kwao huko.

Hatutaki maelezo!

Ndugu yangu nadhani umechanganyikiwa
____
 
Yani Tanzania bado pakipumbavu sana wote wapinzani na serikali. Yani hii tume imekaa miezi yote kufatilia huu ujinga mtupu. Issue ya maana ni kuangalia kwanini hela ndogo inapatikana kwenye mining sector. Wenyewe wanaendelea na stori za magazeti which wont get resolved anytime soon (Mkapa/Yona). Mimi naona kina zitto wamekula rushwa wote wajinga wale mbona hawaongelei kweli ndege zinaondoka na mchanga wa gold na almasi. Hii tume naona ilikuwa kikao cha kahawa tuu ujingaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
picture.php


MNANISINGIZIA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Jamani hii picha haifai kuwa hapa JF!

MOds please!
 
Mkuu Kitamgo,
Kama unayo taarifa ya tume tuwekee hapa tufaidi wote !
 
jamani hata rais mmoja wa nanihii alipopatwa na scandal ya kunanihii nje ya ndoa alisema "Now, I have to go back to work on my State of the Union speech, and I worked on it until pretty late last night. But I want to say one thing to the ........ people. I want you to listen to me. I'm going to say this again: I did not have sexual relations with that woman, Miss ...... I never told anybody to lie, not a single time; never. These allegations are false, and I need to go back to work for the American people. Thank you.ila baadae ilikuwaje?......Hata Mr Clean anatuzuga tu hapa!
 
I get no love today...?!?!?!

Ohh come on!

You had four days of double love!

I have been told... I have pics...

Man! you rule the world... somebody's about to move out of this gademu cold state to follow you!

What is the secret? Please pass on some to Mkjj!
 
Mkapa Bwana,ila kajibu ambacho mlikitaka..

Mods,make sure katika pict msiruhusu Size ambazo width ni zaidi au 1000 px..kuna njia flani ambayo mtu anaweza akapiga Forum kama ni mtaalaam..
 
Ohh come on!

You had four days of double love!

I have been told... I have pics...

Man! you rule the world... somebody's about to move out of this state to follow you!

What is the secret? Please pass on some to Mkjj!

Ahahahahaaa....you already know big sis'....

All he (Mwanakijiji aka Minni Pop - Man of Miniature Proportions) needs to do is just beat it up, pull some hair every now and then, flip it, reverse it, toss it around, you know.....and soon somebody will be calling u-haul or two men and a truck ready to make a move to the D...

Also, tell him that he needs to enhance his midget (no disrespect) swag....Lol
 
Oh.. it its like that NN? haya bwana... mwenyewe jana nilikuwa najipongeza na tushemeji twako tuwili twa weekend baada ya kugundua kuwa Mkapa "anasingiziwa". I had to leave the computer and go to the Metro Beach just to osha macho yangu maana wakati mwingine unaweza kuamini kuwa "ndivyo tulivyo".
 
Kashifa tayari nafikiri kuna haja ya kuwauliza viongozi wa dini kuhusu hili. Ina maana wao wanapokewa misaada yenye dhana ya ufisadi?

Si wasubiri Mkapa atakaswe, maana amechafuka.

unaweza kupeleka malalamiko yako visit www.vatican.va,

lakini msisahau kuwa waliotoa misaada ni wakanada, na ukisoma between the lines, askofu hakuonyesha zahiri kummunga mkono mkapa, kwa kuwa hakumpa pole kama walivyofanya akina askofu laizer, ukweli ni kuwa kanisa katoliki linachukia sana ufisadi, kwa kuwa ufisadi umewahi kutishia kuwepo kwake wakati wa pope pius v
 
Ahahahahaaa....you already know big sis'....

All he (Mwanakijiji aka Minni Pop - Man of Miniature Proportions) needs to do is just beat it up, pull some hair every now and then, flip it, reverse it, toss it around, you know.....and soon somebody will be calling u-haul or two men and a truck ready to make a move to the D...

Also, tell him that he needs to enhance his midget (no disrespect) swag....Lol

kwi kwi kwi...

No please... just say it aint true!

Mkjj aint no midget ..... You know that Ngabu unless you want a fight with Lydia! ..... I will be staying away.... flying like an eagle... no rescue missions
 
Oh.. it its like that NN? haya bwana... mwenyewe jana nilikuwa najipongeza na tushemeji twako tuwili twa weekend baada ya kugundua kuwa Mkapa "anasingiziwa". I had to leave the computer and go to the Metro Beach just to osha macho yangu maana wakati mwingine unaweza kuamini kuwa "ndivyo tulivyo".


Mzee Ben anajua sasa hakuna Ushahidi wowote uliopo pale BRELA na ndio maan anasema hivyo.

He was quiet doing his thing to work right,now he is on the safe side.
 
Mkapa kaanza kuongea sasa baada Balali kuwa ameaga Dunia na siku zote alikuwa kimya .Je huu ni mwanzo wa yeye kuongea kwa kiburi ? Ni kweli kwamba Balali kifo chaweza kuw andiyo mwisho wa sokomoko la EPA ?

Kanisa Katoliki lina weakness zake maana viongozi wake akina Pengo ni watu kama mimi na wewe lakini nadhani kuna wakati wanatia akili na kuona ukweli .Askofu aliuchuna maana anajua Mkapa ni kanjanja
 
Back
Top Bottom