Mji wa Arusha unakuzwa(overrated)

Mji wa Arusha unakuzwa(overrated)

Eti maisha bora, watu kibao Arusha wanakula mlo mmoja, niambie kipato kikubwa cha mtu Arusha nini?? Mnadanganywa na vihela vya watalii ambavyo wazungu wanavipora na kutimua navyo ulaya.

Wawekezaji wakubwa wa utalii Arusha ni wazungu na wameweka viofisi kiduchu pesa wanavuna na kurudi nazo ulaya. Vijana mapota na wanaopata masalia ya vidola ndiyo mseme kuna uchumi

Sent using Jamii Forums mobile app

Mleta uzi kanielewa inatosha, nahisi wewe sio aina yangu ya kufanya mjadala wa akili!
 
Arusha ni mji mzuri ila ni wa kawaida sana.Nimekuwa nikisikia sifa inazopewa Arusha,lakini nilichokishuhudia ni tofauti na nilichokuwa nakisikia.

Nimekaa Arusha Kwa zaidi ya wiki 4 nimefanikiwa kuzunguka maeneo yote ya muhimu sijaona kitu cha ajabu.

Nimeona hata mji wa Moshi ni mzuri sana zaidi ya Arusha,ni sifa tu zisizo na miguu inapewa Arusha.

Hitimisho: Arusha ni mji mzuri Ila wa kawaida sana isipewe sifa zilizopitiliza.Moshi licha ya udogo wa eneo ni mji mzuri zaidi ya Arusha.
.
EXACTLY... mkuu umeongea point sana kula 5. Namna watu wanavyoongelea huu mkoa na jinsi ulivyo ni mambo 2 tofauti! Mwaka jana nilifanimiwa kuzunguka sehemu mbali mbali ambazo nilijua ndio the best arusha lakini wala uko tofauti na maneno ya watu.
.
Its such a disappointment when someone compares Arusha with Dar es Salaam. It's a front end insult!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
EXACTLY... mkuu umeongea point sana kula 5. Namna watu wanavyoongelea huu mkoa na jinsi ulivyo ni mambo 2 tofauti! Mwaka jana nilifanimiwa kuzunguka sehemu mbali mbali ambazo nilijua ndio the best arusha lakini wala uko tofauti na maneno ya watu.
.
Its such a disappointment when someone compares Arusha with Dar es Salaam. It's a front end insult!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kulinganisha dar na arusha ni tusi kubwa sana, arusha bado sana
 
Kweli sifa nyingi cha maana hakuna .
Sifa zipi ambazo hazistahili?
Miji yote Tz mikubwa haijapangiliwa.Ndio maana Dar bomoa bomoa haziishi.
Wakati Nairobi ikiwa na uwezo wa kulaza wageni 15000 wenye hadhi ya nyota 5 kwa usiku mmoja,Dar inalaza 5000,Ar 3000,Mwanza 1500, kwingine kote chini ya1000.
Au ulifikia matejo kwa Mama lulu!
 
Sifa zipi ambazo hazistahili?
Miji yote Tz mikubwa haijapangiliwa.Ndio maana Dar bomoa bomoa haziishi.
Wakati Nairobi ikiwa na uwezo wa kulaza wageni 15000 wenye hadhi ya nyota 5 kwa usiku mmoja,Dar inalaza 5000,Ar 3000,Mwanza 1500, kwingine kote chini ya1000.
Au ulifikia matejo kwa Mama lulu!
Nani alikwambia tunashindanisha hotel za nyota 5
 
Nani alikwambia tunashindanisha hotel za nyota 5
Hicho ni kipimo/kigezo kimojawapo.We taja kigezo chako cha kuiona Arusha inakuzwa.
Clinton aliifanisha Arusha na Geneva of Africa.
 
Arusha bado ni mji bora baada ya Dar pamoja na kuwa na idadi ndogo ya watu kulinganisha na mwanza na mbeya. Kipato cha wananchi wa Arusha kipo vizuri sababu kuna taasisi nyingi zina makazi hapa kama EAC NA AGENCY ZAKE,UN,AU COURT, TAWIRI,TAFIRI,TANAPA,NGORONGORO,TUMAINI MAKUMIRA,ATC,TPRI,AICC,ESAMI,IAA,NELSON MANDELA, PAMOJA NA HOTELI ZA KITALII KAMA KIBO PALACE, MOUNT MERU, NK

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ARUSHAAAAAAAAAAAAAAA

A Townnnnnnn Standupppppppp

Mtachonga sanaaa ..

Hakuna maaali kama A townnnn A city..... City Of God.....City Of Hip hop...


Oooooiiiii....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipindi fulani nilikula ule mkate wa Tsh 2,500 mzima mzima, na vikombe kadhaa vya uji. Aise, nilikuwa kituko pale stendi.
Hahaaa ilikua umepata cha Arusha bila shaka....
 
Basi hujakujua Arusha. Moshi ni kuzuri lakini si kufananisha na Arusha. Labda kama ungefananicha moshi na mikoa/ manispaa mingine.

Moshi hakuna majengo ya kusumbua kabisa. Arusha kama miji mingine ya zamani lazima kuwe na Some mipangilio mibovu.

Lakini all in all Moshi hamna kitu.

Sema kwamba. ARusha hajameet expectations zako. Lakini sio kufananisha na moshi

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi kote huko nimeishi ila uzuri wa moshi bwana kuna mademu wazuri kuliko chuga...
 
MOSHI ni mji mzuri sana, kuliko ARUSHA, Halafu MOSHI kila kitu kizuri kipo kuanzia pombe mpaka makanisa, vibaka wachache, kelele ni hafifu.
Nimekaa MOSHI 9 years, Na nilikaa ARUSHA 2 years.
In short Dodoma will be a best city to enjoy in Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la mji wa Moshi ni mzunguko mdogo wa hela, ila kwa kweli ni mji mmoja poa sana kuishi...
 
Hicho ni kipimo/kigezo kimojawapo.We taja kigezo chako cha kuiona Arusha inakuzwa.
Clinton aliifanisha Arusha na Geneva of Africa.
Hizo ndiyo sifa za kijinga kuiita Arusha Geneva
 
Arusha bado ni mji bora baada ya Dar pamoja na kuwa na idadi ndogo ya watu kulinganisha na mwanza na mbeya. Kipato cha wananchi wa Arusha kipo vizuri sababu kuna taasisi nyingi zina makazi hapa kama EAC NA AGENCY ZAKE,UN,AU COURT, TAWIRI,TAFIRI,TANAPA,NGORONGORO,TUMAINI MAKUMIRA,ATC,TPRI,AICC,ESAMI,IAA,NELSON MANDELA, PAMOJA NA HOTELI ZA KITALII KAMA KIBO PALACE, MOUNT MERU, NK

Sent using Jamii Forums mobile app
City of Bangi,gongo,vibaka
 
Hapo mkuu moshi haijaifikia arusha. Jiji la arusha ni kubwa hata kuliko la moshi. Nasema hivyo sababu nimeishi kotekote zaid ya miaka 20.
kwa mipangilia ya mji arusha bado iko mbele kias chake japo sio sana.. hata ubora wa makazi ya watu..
Wiki 4 ni ndogo sana mkuu.. kama bado uko arusha. naomba nikutembeze mm huyuhuyu kwa gari langu mwenyewe.. wiki 4 ni ndogo mno mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nakubali Arusha iko juu kiuchumi kuliko moshi ila kwenye suala la mpangilio wa mji Arusha kamwe huwezi ilinganisha na moshi, master plan ya mji wa moshi ni bora zaidi kuliko Arusha.
Jingine umekosea kwenye ubora wa makazi hapo moshi nayo inaikimbiza sana Arusha mkuu, tatizo la moshi town centre haijajengeka sana ila pembezoni mwa mji hada kwenye ubora wa makazi kwa kweli wachaga wako mbele mno.
 
Arusha bado ni mji bora baada ya Dar pamoja na kuwa na idadi ndogo ya watu kulinganisha na mwanza na mbeya. Kipato cha wananchi wa Arusha kipo vizuri sababu kuna taasisi nyingi zina makazi hapa kama EAC NA AGENCY ZAKE,UN,AU COURT, TAWIRI,TAFIRI,TANAPA,NGORONGORO,TUMAINI MAKUMIRA,ATC,TPRI,AICC,ESAMI,IAA,NELSON MANDELA, PAMOJA NA HOTELI ZA KITALII KAMA KIBO PALACE, MOUNT MERU, NK

Sent using Jamii Forums mobile app
Mji hauna mpangilio,nyumba nyingi Bado ni mbombovu ,mashamba ya migomba adi karibuni na eneo la mjini,barabara hakuna za maana,ukiacha hotel za kitalii hautapata sehemu nzuri za kawaida kupata chakula kizuri,vitu vingii vinauzwa Kwa bei isiyo na uhalisia etc
 
Back
Top Bottom