Mji wa Arusha unakuzwa(overrated)

Mji wa Arusha unakuzwa(overrated)

Arusha tumekaa sana more 6 yrs ni mji wa majigambo na mbwembwe nyingi zinazofanywa na vibarua wa utalii sanasana lakini wakati katikati ya mji bado kuna watu wanaishi kama mbuzi kama maeneo ya matejo,ungalimi,jaluo street,mianzini,majengo juu na chini yote hovyo.

Hotel ziko ila sio nyingi na wanaozifaidi wengi wao wanatoka nje kama Kenya na wengine wanatoka dar. Wenyeji wengi ni watumikishwaji tu pale mkoa ule

Kinachoung'garisha ule mji ni wangeni. Over!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan ktk miji kam dar izo hotel kubwa wanaozifaid n akina nani? Na unataka kusema Hakuna maeneo ya kiswaz uko pia? Huko watu Wangapi hawaishi Kam mbuz? Msiforce kufananisha miji Kwa kutumia vigezo dhaifu na kila mji una mapungufu yake ikumbukwe! Pia Mbuyu ulianza kam mchicha sasa huwez lazimisha arusha ambayo imekuwa jiji miaka kadhaa iliyopita ambapo sasa iko ktk hatua ya ukuaji ifanane na majiji yaliyotangulia Kwan nayo ktk kipindi fulan yalikuwa hivyo wakat yanakua Yaan n Sawa kutaka kumfananisha mtu Mzima na mtoto wa msingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwan ktk miji kam dar izo hotel kubwa wanaozifaid n akina nani? Na unataka kusema Hakuna maeneo ya kiswaz uko pia? Huko watu Wangapi hawaishi Kam mbuz? Msiforce kufananisha miji Kwa kutumia vigezo dhaifu na kila mji una mapungufu yake ikumbukwe! Pia Mbuyu ulianza kam mchicha sasa huwez lazimisha arusha ambayo imekuwa jiji miaka kadhaa iliyopita ambapo sasa iko ktk hatua ya ukuaji ifanane na majiji yaliyotangulia Kwan nayo ktk kipindi fulan yalikuwa hivyo wakat yanakua Yaan n Sawa kutaka kumfananisha mtu Mzima na mtoto wa msingi

Sent using Jamii Forums mobile app
Washahuri wenzako wasiwe wanaisifia Arusha Kwa sifa zisizo na kichwa wala miguu,litakuwa jambo jema
 
Sasa na picha zote hizo tofauti ya Arusha , Morogoro na Dodoma ipo wapi?
Wewe una matatizo inawezekana ulikuja arusha kumtembelea ndugu yako cku mbili tatu ukasepa. Morogoro napajua vizur kamwe huwez ilinganisha iyo manispaa na arusha Kwa chochote.Eti uoni tofaut? Njoo na hoja nyingine umebugi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe una matatizo inawezekana ulikuja arusha kumtembelea ndugu yako cku mbili tatu ukasepa. Morogoro napajua vizur kamwe huwez ilinganisha iyo manispaa na arusha Kwa chochote.Eti uoni tofaut? Njoo na hoja nyingine umebugi

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sawa,lengo nikuwaambia kupunguza sifa zisizo na kichwa wala miguu mnazoipa Arusha
 
Mimi nimetokea Chalinze, na siwezi sema ya kwamba Chalinze ni bora kuliko arusha , lakini hilo halinizuii kusema ya kwamba ARUSHA IS OVERRATED .
Okay karibu arusha ndugu unajua arusha sio mjini tuu pia dingii
Utafiti wako ungekua na mantiki kama ingekua umefanya zaidi ya miaka kumi labda coz arusha hajaibuka from no where imetengenezwa kwa mda sasa wewe 4 weeks unadrive conclusion kweli huo ni muujiza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mm iwe muwaz tu..Nimefika arusha japo sijatembea sana.Nimepita maeneo machache But sijaona cha ajabu pale.Nilichokua nategemea kukutana nacho arusha kwa sifa zinavumishwa aisee sikukukutana nacho.
Ni pa kawaida sanaaaaaaa
 
Na mm iwe muwaz tu..Nimefika arusha japo sijatembea sana.Nimepita maeneo machache But sijaona cha ajabu pale.Nilichokua nategemea kukutana nacho arusha kwa sifa zinavumishwa aisee sikukukutana nacho.
Ni pa kawaida sanaaaaaaa
Upo sahihi
 
Arusha ni mji mzuri ila ni wa kawaida sana.Nimekuwa nikisikia sifa inazopewa Arusha,lakini nilichokishuhudia ni tofauti na nilichokuwa nakisikia.

Nimekaa Arusha Kwa zaidi ya wiki 4 nimefanikiwa kuzunguka maeneo yote ya muhimu sijaona kitu cha ajabu.

Nimeona hata mji wa Moshi ni mzuri sana zaidi ya Arusha,ni sifa tu zisizo na miguu inapewa Arusha.

Hitimisho: Arusha ni mji mzuri Ila wa kawaida sana isipewe sifa zilizopitiliza.Moshi licha ya udogo wa eneo ni mji mzuri zaidi ya Arusha.
Nimekuonyesha hoteli kidogo na nikataka ulinganishe na mji gani, sijakuonyesha,


 
Nimekuonyesha hoteli kidogo na nikataka ulinganishe na mji gani, sijakuonyesha,


Nilishasema Arusha siyo pabaya sana na siyo pazuri sana,tatizo hapajawa well organized kama nilivyopaona Moshi.
 
Nilishasema Arusha siyo pabaya sana na siyo pazuri sana,tatizo hapajawa well organized kama nilivyopaona Moshi.
Moshi unayoongelea unazunguka dakika ngapi hujaimaliza, ulikwenda Njiro, Sakina, Mushono, Kisongo, Usa River, etc?
 
Moshi unayoongelea unazunguka dakika ngapi hujaimaliza, ulikwenda Njiro, Sakina, Mushono, Kisongo, Usa River, etc?
Ata kwenye post yangu ya mwanzo nilisema Moshi ni mji mdogo,lakini upo organized na unavutia zaidi ya Arusha
 
Ata kwenye post yangu ya mwanzo nilisema Moshi ni mji mdogo,lakini upo organized na unavutia zaidi ya Arusha
Ukiwa na familia ndogo ni rahisi kuiweka vizuri kuliko kuwa na familia ya watoto 20
 
Kwan ktk miji kam dar izo hotel kubwa wanaozifaid n akina nani? Na unataka kusema Hakuna maeneo ya kiswaz uko pia? Huko watu Wangapi hawaishi Kam mbuz? Msiforce kufananisha miji Kwa kutumia vigezo dhaifu na kila mji una mapungufu yake ikumbukwe! Pia Mbuyu ulianza kam mchicha sasa huwez lazimisha arusha ambayo imekuwa jiji miaka kadhaa iliyopita ambapo sasa iko ktk hatua ya ukuaji ifanane na majiji yaliyotangulia Kwan nayo ktk kipindi fulan yalikuwa hivyo wakat yanakua Yaan n Sawa kutaka kumfananisha mtu Mzima na mtoto wa msingi

Sent using Jamii Forums mobile app
Chuga bana ukiwa unazungusha bia kila siku unaitwa Bilionea
 
Nimekuonyesha hoteli kidogo na nikataka ulinganishe na mji gani, sijakuonyesha,


Mzee umeweka mpaka utalii wa ndani, halafu hilo PPF si ndilo limesababisha kikokotoo kipya kipigwe chini!
 
Ungesema umekuzwa vipi ungeeleweka, lakini unaonekana una kawivu tu na jiji la watu, kati ya sehemu modern au urbanised Tanzania ukitoa dar ni arusha ata ubishe mpaka ufe, wana mall ya pili kwa ukubwa Africa mashariki, AIMMALL, wana hotel s nzuri Tanzania hakuna, ndio maana ata celebrities na viongozi wakimataifa hawapati shida ya accommodation arusha, uwanja wa KIA japo upo Kilimanjaro, unaserve arusha kama wakwao, shopping complexes, hospitality, cinema, etc bwana we tuache wivu tuwasifu wanapostahili. Arusha siyo overrated, sisis tuliozoea kuishi majiji makubwa tukienda arusha hatuisi tumepungukiwa na kitu. Acha wivu mwenzetu. Kubali tu.
Acheni ubishi wa kijinga Arusha mji wa kawaida mno, una barabara moja ya uhakika hii ya Moshi tu, zingine zote ni za kuungaunga.

Hali ya hewa tu ndiyo sawa, ila huwezi linganisha Arusha na dsm ni sawa na kulinganisha kifo na usingizi.

Hao watalii wenyewe wanabaypass tu hamna kitu cha maana miundo mbinu yote ya kizamani na kiwango cha chini hotel zenyewe za kawaida mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee umeweka mpaka utalii wa ndani, halafu hilo PPF si ndilo limesababisha kikokotoo kipya kipigwe chini!
Arusha ndio kitovu cha utalii wa ndani. Kuhusu PPF building walikuwa wanashindana kupandisha maghorofa kama vile hawana uchungu na hela za watu


 
Acheni ubishi wa kijinga Arusha mji wa kawaida mno, una barabara moja ya uhakika hii ya Moshi tu, zingine zote ni za kuungaunga.

Hali ya hewa tu ndiyo sawa, ila huwezi linganisha Arusha na dsm ni sawa na kulinganisha kifo na usingizi.

Hao watalii wenyewe wanabaypass tu hamna kitu cha maana miundo mbinu yote ya kizamani na kiwango cha chini hotel zenyewe za kawaida mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeibukia wapi na wewe
 
Back
Top Bottom