Mama Debora
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 1,481
- 2,609
Ndio maana nini?
Hebu kuwa muwazi.
Mshamba!!!
Ndio maana nini?
Hebu kuwa muwazi.
Hongera,kwa kujiamiAcha kutuchonganisha, Arusha na moshi hii miji inategemeana karibu kila kitu, ila Arusha ni kubwa kuliko moshi, na hapa hutapata support kwakuwa wakazi wengi wa Arusha ndo hao wa moshi, hivyo ni ndugu wa damu hao
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli mtu wa moshi na mwarusha wote ni ktu kimoja so ameshindwa jua hiloAcha kutuchonganisha, Arusha na moshi hii miji inategemeana karibu kila kitu, ila Arusha ni kubwa kuliko moshi, na hapa hutapata support kwakuwa wakazi wengi wa Arusha ndo hao wa moshi, hivyo ni ndugu wa damu hao
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh teh teh, Kisimiri haitoi vilaza, haitoi washamba.Mshamba!!!
Nilikuwa na kazi moja tu ,kulinganisha mji hii miwili na sivinginevyo,kelele za Arusha zilikuwa nyingi ndiyo ikabidi ebu niwalinganishe na jirani zao wa Moshi.Nikweli mtu wa moshi na mwarusha wote ni ktu kimoja so ameshindwa jua hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
We uko mji ganiNilikuwa na kazi moja tu ,kulinganisha mji hii miwili na sivinginevyo,kelele za Arusha zilikuwa nyingi ndiyo ikabidi ebu niwalinganishe na jirani zao wa Moshi.
Unaweza usiwe kilaza lakini ukawa mshambaTeh teh teh, Kisimiri haitoi vilaza, haitoi washamba.
Umewahi kufika Kisshigh?
Natokea kamji kanaitwa Chalinze
Dodoma kuwa jangwani sio tatizo ,kuna miji uko kwa waarabu ipo jangwani lakini imepiga hatua kubwa sanaNinachobisha ni kuwa itachukua muda mrefu sana. Katika muda huo arusha nayo itakuwa inapiga hatua sio kwamba imesimama.
Yes nimeish dodoma kwa kipind kiref kidogo.. disadvantage ambayo dodoma wanayo.. dodoma ni jangwa.. and hilo ni tatizo. Dodoma mjini tu penyewe ni padogo sana. Maji ni tatizo la muda mrefu.... imefanya ujenz kuwa wa tabu sana.
Itachukua muda kuifikia lakin arusha itakuwa imepiga hatua kubwa sana muda huo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli Bangi siyo kitu kizuri , Arusha ndiyo yakuzidi dar?
Teh teh teh, Kisimiri haitoi vilaza, haitoi washamba.
Umewahi kufika Kisshigh?
Dodoma kuwa jangwani sio tatizo ,kuna miji uko kwa waarabu ipo jangwani lakini imepiga hatua kubwa sana
Watu wa Arusha huwa wananimaliza hapo tu kuaminishana wao ni wajanja zaidi ya wanaDarisalama na jiji lao linaifunika DarKwa kweli Bangi siyo kitu kizuri , Arusha ndiyo yakuzidi dar?
Naona eneo la uchumi unaitaji kupigwa msasa wa kutosha,logic zako za kiuchumi haziko sawa.kiufupi umeongea kimazoeaUnajua how much investment serikal yao iliwekeza mpaka miji ikasimama? Zile project wameanza 1980s.
Thats a very long time. + uchumi wao uko juu zaid ya wetu.
So speed of developmet haita match na ya kwao.. wao wako capable sana kuliko sisi.
Serikal itabid ikope sana kuweza kutimiza hilo suala. Tena itachukua muda mrefu. Mji haujengwi in 10 years.. it might be more than that.
By muda huo serikal inakazana, haimaanish miji mingine itakuwa.imesimama.kimaendeleo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilboru tunawapigisha magoti kila siku, wanachotuzidi ni majengo tu bali sisi tunawazidi kwa mbali sana almost kwa kila kitu.Ungesema Ilboru sawa.
Teheteheee
Kosa ni lako ninakulaumuKOSA SIO LAKO SIKULAUMU
Siwezi kuwa na agenda na mji wa ArushaKama hutaki kusema basi nina mashaka na maeneo uliyotembelea. Kama umetembelea maeneo ya hovyo halaf ndio ukatumia hayo ku judge mji mzima.. basi umefeli.
Ungesema kama unaficha basi unaweza kuwa una agenda yako. Anyway kama ww unapaona arusha hapakufahi, wako wenzio wa miko mingine wanaopapenda. Mwisho wa siku hatiwez kuwa sawa.. utapachukia wengine watapapenda.
Sent using Jamii Forums mobile app
JF bana mnatufungulia mwaka in styleKipindi fulani nilikula ule mkate wa Tsh 2,500 mzima mzima, na vikombe kadhaa vya uji. Aise, nilikuwa kituko pale stendi.