Mji wa Arusha unakuzwa(overrated)

Mji wa Arusha unakuzwa(overrated)

Arusha ni mji mzuri ila ni wa kawaida sana.Nimekuwa nikisikia sifa inazopewa Arusha,lakini nilichokishuhudia ni tofauti na nilichokuwa nakisikia.

Nimekaa Arusha Kwa zaidi ya wiki 4 nimefanikiwa kuzunguka maeneo yote ya muhimu sijaona kitu cha ajabu.

Nimeona hata mji wa Moshi ni mzuri sana zaidi ya Arusha,ni sifa tu zisizo na miguu inapewa Arusha.

Hitimisho: Arusha ni mji mzuri Ila wa kawaida sana isipewe sifa zilizopitiliza.Moshi licha ya udogo wa eneo ni mji mzuri zaidi ya Arusha.
Usiwe tumelinganisha na mji wa jimbo la Jenista Mhagama tutagombana!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanzaaaaa inalala? Umefika mwanza lini wew .kumbuka mji sasa upo usagara na ndo huko stendi ya nyegezi itahamishiwa.mwz daladala zinabadirishwa kutoka vipanya hadi Costa kama za dar.mwanza kuna shoppies nyingi .soko kuu na maeneo yote ya makoroboi yanafanana kariakoo siku hiz .mwz barabara zake zimejengwa mpaka za mawe.mwz watu wake ni million sa hivi.mwz airport yake ndo ina route nyingi zaidi.mwz beach ,usafiri WA meli nk

Sent using Jamii Forums mobile app
Ebwana hii kariakoo ulioitaja hapa ni ya Zanzibar au hii ya simba na yanga. Acha fix babu.
 
Umetembelea wapi na wapi?
Isije ukawa umetembelea kule unga limited,chekereni na moshono mwisho halafu unadai Arusha mji wa kawaida.
Nimekaa chuga na kusomea uko advance pako vizuri sana.
Kasoro kubwa ya Arusha ni udogo wa stendi yao.
Kwanza kwenu wapi? isijekuwa ni mtu wa nyanda za juu kusini halafu unaipondea Arusha.
Live long Chuga.

Nfkr bk
 
Yaani mkuu unakosea sana pamoja na kwamba Arusha wanamapungufu yao hasa kuwa na stendi ya daladala ya hovyo kabisa lakini kamwe huwezi ifananisha na Moshi. Hivi wewe umetembea Arusha ipi? Lodge zilizopo Arusha mikoa mingine ni zakutafuta kwa tochi, hivi ulitembelea mitaa ya sekei huko Big Y, ulipata ruhusa ya kwenda Njiro, mji mpya., kwa Idi, Kimandolu, Kijenge., Morombo, Usa, Mianzini, au wewe uliendw matejo na ungalimitedi.
Tatizo sifa zilizopitiliza
 
Mwanza naijua na Arusha naijua...mwanza imepoa sana sasa hivi ingawa inawezekana bado ipo juu ya Arusha....lakini ukweli ni kwamba Arusha sasa hivi inakua haraka...Arusha ushiawahi fika karibuni?
Mwanzaaaaa inalala? Umefika mwanza lini wew .kumbuka mji sasa upo usagara na ndo huko stendi ya nyegezi itahamishiwa.mwz daladala zinabadirishwa kutoka vipanya hadi Costa kama za dar.mwanza kuna shoppies nyingi .soko kuu na maeneo yote ya makoroboi yanafanana kariakoo siku hiz .mwz barabara zake zimejengwa mpaka za mawe.mwz watu wake ni million sa hivi.mwz airport yake ndo ina route nyingi zaidi.mwz beach ,usafiri WA meli nk

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Arusha ni mji mzuri ila ni wa kawaida sana.Nimekuwa nikisikia sifa inazopewa Arusha,lakini nilichokishuhudia ni tofauti na nilichokuwa nakisikia.

Nimekaa Arusha Kwa zaidi ya wiki 4 nimefanikiwa kuzunguka maeneo yote ya muhimu sijaona kitu cha ajabu.

Nimeona hata mji wa Moshi ni mzuri sana zaidi ya Arusha,ni sifa tu zisizo na miguu inapewa Arusha.

Hitimisho: Arusha ni mji mzuri Ila wa kawaida sana isipewe sifa zilizopitiliza.Moshi licha ya udogo wa eneo ni mji mzuri zaidi ya Arusha.
Umekaa wiki 4 unasema umemaliza arusha? Hahaha dude come on. Sema umetembelea arusha mjini tu.
Arusha pekee ni kubwa sana, ukiwa mjini hutaona kitu, toka nje ya mji.
Kwa vigezo gani eti unasema arusha ni overrated?
Embu nipe point zako?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpangilio wa mji,ubora wa majengo, ubora wa Makazi ya watu etc
Hapo mkuu moshi haijaifikia arusha. Jiji la arusha ni kubwa hata kuliko la moshi. Nasema hivyo sababu nimeishi kotekote zaid ya miaka 20.
kwa mipangilia ya mji arusha bado iko mbele kias chake japo sio sana.. hata ubora wa makazi ya watu..
Wiki 4 ni ndogo sana mkuu.. kama bado uko arusha. naomba nikutembeze mm huyuhuyu kwa gari langu mwenyewe.. wiki 4 ni ndogo mno mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli hamna kitu cha maana vibaka kila kona tu wanatusumbua mwenyewe napanga kujirudia jijini hawa machalii wasenge tupu..!

Sent using Jamii Forums mobile app
We rudi huko huko ulikotoka. Tena sikuiz vibaka wamepungua sana yaani. Si kama zamani. Majiji yote yana wezi.. si arusha tu. Kama pamekushinda ni kwasababu nyingine ila sio vibaka meku.. mwanaume halis akimbii sababu ya vibaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom