Mji wa Arusha unakuzwa(overrated)

Mji wa Arusha unakuzwa(overrated)

Mkuu subiri mapovu ya watu wa oldonyo sambu.
 
Majiji yanayostahili kuitwa jiji katika nchi hii ni Dar es Salaam na Mwanza kwa mbali, miji mingine yote iliyo baki kama Arusha, Tanga, Mbeya na Dodoma kiuhalisia ina hadhi ya manispaa tu. Kuita majiji ni kujifurahisha tuonekane na sisi tuna cities nyingi katka nchi yetu kujifariji ktk dunia iliyoendelea.
 
Arusha ni mji mzuri ila ni wa kawaida sana.Nimekuwa basilica sifa unaweza Arusha,lakini nilichokishuhudia ni tofauti na nilichokuwa nakisikia.

Nimekaa Arusha Kwa zaidi ya wiki 4 nimefanikiwa kuzunguka maeneo yote ya muhimu sijaona kitu cha ajabu.

Nimeona hata mji wa Moshi ni mzuri sana zaidi ya Arusha,ni sifa tu zisizo na miguu inapewa Arusha.

Hitimisho: Arusha ni mji mzuri Ila wa kawaida sana isipewe sifa zilizopitiliza.Moshi licha ya udogo wa eneo ni mji mzuri zaidi ya Arusha.
Ukiondoa Dar es Salaama[emoji117] Mwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe umekaa tu weeki 4 halafu utengemee uyaone maajabu ya Arusha? Utakuwa umefikia kwa shemeji yako amekubania kutembea sehemu za wajanja
Hakuna lolote Arusha la maana sana.ukiondoa Dar mji unaofuata ni Mwanza.nimefanya kazi hapo Njiro toka 2009-2016 ninajua A to Z ya miji yote mikubwa ya hapa TZ

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom