- Thread starter
- #361
Pole sana Mzeepole sana kijana
Pole sana Mzeepole sana kijana
Kweli,lakini Arusha zimezidi Sana
Fafanua hicho kitu cha ajabu ambacho hukukiona na huo ukawaida sana uliouona huko Arusha,labda ntakuelewa unaongea nini..!Arusha ni mji mzuri ila ni wa kawaida sana.Nimekuwa nikisikia sifa inazopewa Arusha,lakini nilichokishuhudia ni tofauti na nilichokuwa nakisikia.
Nimekaa Arusha Kwa zaidi ya wiki 4 nimefanikiwa kuzunguka maeneo yote ya muhimu sijaona kitu cha ajabu.
Nimeona hata mji wa Moshi ni mzuri sana zaidi ya Arusha,ni sifa tu zisizo na miguu inapewa Arusha.
Hitimisho: Arusha ni mji mzuri Ila wa kawaida sana isipewe sifa zilizopitiliza.Moshi licha ya udogo wa eneo ni mji mzuri zaidi ya Arusha.
Atakaye kataa ukweli ulioandika, akapimwe ubongoMkuu nakubali Arusha iko juu kiuchumi kuliko moshi ila kwenye suala la mpangilio wa mji Arusha kamwe huwezi ilinganisha na moshi, master plan ya mji wa moshi ni bora zaidi kuliko Arusha.
Jingine umekosea kwenye ubora wa makazi hapo moshi nayo inaikimbiza sana Arusha mkuu, tatizo la moshi town centre haijajengeka sana ila pembezoni mwa mji hada kwenye ubora wa makazi kwa kweli wachaga wako mbele mno.
Pitia tu post zote,mengi tu yameshaandikwaFafanua hicho kitu cha ajabu ambacho hukukiona na huo ukawaida sana uliouona huko Arusha,labda ntakuelewa unaongea nini..!
Migomba ni chakula kikuu cha wakazi wa Arusha kama ilivyo Moshi, Bukoba, Mbeya. Kama unashangaa migomba mbona hushangai minazi kila kona Dar? Au Mikorosho Kibaha?tetehee tehhee ,eti pembeni kidogo mamigomba ,kweli arusha bado.
Migomba ni uchafuMigomba ni chakula kikuu cha wakazi wa Arusha kama ilivyo Moshi, Bukoba, Mbeya. Kama unashangaa migomba mbona hushangai minazi kila kona Dar? Au Mikorosho Kibaha?
Nimekaa wiki 4 kwenye kamji kenu ka Arusha,nimezunguka Kona zote .Huyu atakuwa kashukia kwa shemeji kwa Mromboo
Kwa Sanaa tuu
Arusha bado sanaFafanua hicho kitu cha ajabu ambacho hukukiona na huo ukawaida sana uliouona huko Arusha,labda ntakuelewa unaongea nini..!
Ni kweli,sitamani ata kurudia tena ,mji umenichefuaHuyu atakuwa kashukia kwa shemeji kwa Mromboo
Kwako wewe zinaweza kuwa sifa za kijinga,lakini ndio zinazoipaisha mji huo,Kama Bill Clinton katoa sifa za kijinga,we utakuwa GeniusHizo ndiyo sifa za kijinga kuiita Arusha Geneva
Mimi siyo gineus ,wewe wasemaKwako wewe zinaweza kuwa sifa za kijinga,lakini ndio zinazoipaisha mji huo,Kama Bill Clinton katoa sifa za kijinga,we utakuwa Genius
Ni kweli kabisaKwa sasahivi hoteli gani zina viwango vya nyota nne na tano Arusha?
Kitu kinachonyanyua Arusha ni kuwa mlango wa vivutio maarufu vya utalii duniani
MOSHI ni mji mzuri sana, kuliko ARUSHA, Halafu MOSHI kila kitu kizuri kipo kuanzia pombe mpaka makanisa, vibaka wachache, kelele ni hafifu.
Nimekaa MOSHI 9 years, Na nilikaa ARUSHA 2 years.
In short Dodoma will be a best city to enjoy in Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Arusha ni mji mzuri ila ni wa kawaida sana.Nimekuwa nikisikia sifa inazopewa Arusha,lakini nilichokishuhudia ni tofauti na nilichokuwa nakisikia.
Nimekaa Arusha Kwa zaidi ya wiki 4 nimefanikiwa kuzunguka maeneo yote ya muhimu sijaona kitu cha ajabu.
Nimeona hata mji wa Moshi ni mzuri sana zaidi ya Arusha,ni sifa tu zisizo na miguu inapewa Arusha.
Hitimisho: Arusha ni mji mzuri Ila wa kawaida sana isipewe sifa zilizopitiliza.Moshi licha ya udogo wa eneo ni mji mzuri zaidi ya Arusha.
Sifa za kijingaUlikuja na hela au ndo kuomba nauli kwa shemeji chuga hakna kitu cha ndogo kiatu cha kununua 20 mikoani hapa Jamaa linakwambia laki na 50 afu linaendelea kuchanja gomba
Sent using Jamii Forums mobile app