Mji wa Arusha unakuzwa(overrated)

Mji wa Arusha unakuzwa(overrated)

Umeibukia wapi na wewe
Binafai niko Arusha ila sijaona kitu cha kilinganisha na dsm, kuanzia socialization, economic wise, popularity labda ambaye haijui dsm anaweza ilinganisha na Arusha.

Huu ni mji mmoja wa kawaida mno kusema kweli, ukiulinganisha na dodoma, Tanga na Mbeya vitashindana ila acheni upuuzi Arusha ikalingane na dsm inaanzia wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sure nakubaliana na wewe....Moshi inaizidi Arusha!Arusha hakuna chochote cha ziada kwa sifa sasa dah hadi wanaboa!
 
Ukiwa na familia ndogo ni rahisi kuiweka vizuri kuliko kuwa na familia ya watoto 20
New york ni moja ya majiji makubwa sana duniani,lakini ni jiji haswa sio mchezomchezo
 
Acheni ubishi wa kijinga Arusha mji wa kawaida mno, una barabara moja ya uhakika hii ya Moshi tu, zingine zote ni za kuungaunga.

Hali ya hewa tu ndiyo sawa, ila huwezi linganisha Arusha na dsm ni sawa na kulinganisha kifo na usingizi.

Hao watalii wenyewe wanabaypass tu hamna kitu cha maana miundo mbinu yote ya kizamani na kiwango cha chini hotel zenyewe za kawaida mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo yako yapo sawa kwa asilimia 100.
 
Binafai niko Arusha ila sijaona kitu cha kilinganisha na dsm, kuanzia socialization, economic wise, popularity labda ambaye haijui dsm anaweza ilinganisha na Arusha.

Huu ni mji mmoja wa kawaida mno kusema kweli, ukiulinganisha na dodoma, Tanga na Mbeya vitashindana ila acheni upuuzi Arusha ikalingane na dsm inaanzia wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ata mimi nilikuwa nasikia tu arusha inavyosifiwa kabla sijafika, sasa nilivyofika kwa kweli ni pa kawaida tu ,hakuna utofauti na Morogoro, Dodoma ( kama ipo ni ndogo sana)
 
Mji haujapangwa umejengwa kijinga jinga mno, mikuta mirefu imefunga mjini kati hakuna mitaa inayoeleweka, tena katikati ya mji.

Pembeni kidogo ni mamigomba tu, watu wake wenyewe wengi ni washamba na wakabila kinoma. Vibaka mpk katiakati ya mji bangi na mbege tu ndizo zinaongoza.
Ata mimi nilikuwa nasikia tu arusha inavyosifiwa kabla sijafika, sasa nilivyofika kwa kweli ni pa kawaida tu ,hakuna utofauti na Morogoro, Dodoma ( kama ipo ni ndogo sana)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umetembelea wapi na wapi?
Isije ukawa umetembelea kule unga limited,chekereni na moshono mwisho halafu unadai Arusha mji wa kawaida.
Nimekaa chuga na kusomea uko advance pako vizuri sana.
Kasoro kubwa ya Arusha ni udogo wa stendi yao.
Kwanza kwenu wapi? isijekuwa ni mtu wa nyanda za juu kusini halafu unaipondea Arusha.
Live long Chuga.
Atakua mtu wa chattle

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna habari zinazosambaa chini chini zikisema kuwa Moshi itapewa hadhi ya jiji mwaka 2022 baada kuwepo kwa upanuzi mkubwa wa mji pia ilistahili kupokea jiji tangu mwaka 2012 lakini jitihada zilishindikana kwa sababu ya uhafifu wa eneo.NAWASILISHA MWENYE PINGAMIZI KARIBU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wanayoipa sifa Arusha ni sisi watu wa Arusha au ni wapenda Arusha wanaokuja kutembea?
 
Mji haujapangwa umejengwa kijinga jinga mno, mikuta mirefu imefunga mjini kati hakuna mitaa inayoeleweka, tena katikati ya mji.

Pembeni kidogo ni mamigomba tu, watu wake wenyewe wengi ni washamba na wakabila kinoma. Vibaka mpk katiakati ya mji bangi na mbege tu ndizo zinaongoza.

Sent using Jamii Forums mobile app
tetehee tehhee ,eti pembeni kidogo mamigomba ,kweli arusha bado.
 
Hivi wanayoipa sifa Arusha ni sisi watu wa Arusha au ni wapenda Arusha wanaokuja kutembea?
Hakuna mtu makini afike arusha alafu itoe sifa zilizopitilza zisizo na miguu wala kichwa.Sifa nyingi zilisambaa kutokana na matangazo ya utalii
 
Hakuna mtu makini afike arusha alafu itoe sifa zilizopitilza zisizo na miguu wala kichwa.Sifa nyingi zilisambaa kutokana na matangazo ya utalii
Oouh... sawa sawa.
 
Arusha ni mji mzuri ila ni wa kawaida sana.Nimekuwa nikisikia sifa inazopewa Arusha,lakini nilichokishuhudia ni tofauti na nilichokuwa nakisikia.

Nimekaa Arusha Kwa zaidi ya wiki 4 nimefanikiwa kuzunguka maeneo yote ya muhimu sijaona kitu cha ajabu.

Nimeona hata mji wa Moshi ni mzuri sana zaidi ya Arusha,ni sifa tu zisizo na miguu inapewa Arusha.

Hitimisho: Arusha ni mji mzuri Ila wa kawaida sana isipewe sifa zilizopitiliza.Moshi licha ya udogo wa eneo ni mji mzuri zaidi ya Arusha.
Sifa kubwa ya Arusha sio majengo na mitaa hata kidogo bali hali ya hewa, uchumi wake mkubwa na lifestyle ya wakazi wake kulinganisha na baadhi ya miji hapa nchini. Wakazi wa Arusha kwa wastani wana kipato kizuri, na wanajipenda sana, kilaji kwa wingi, na kujichana kwa misosi na nyama choma.
 
Sifa kubwa ya Arusha sio majengo na mitaa hata kidogo bali hali ya hewa, uchumi wake mkubwa na lifestyle ya wakazi wake kulinganisha na baadhi ya miji hapa nchini. Wakazi wa Arusha kwa wastani wana kipato kizuri, na wanajipenda sana, kilaji kwa wingi, na kujichana kwa misosi na nyama choma.
Kumbe, apo sawa.
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Sifa kubwa ya Arusha sio majengo na mitaa hata kidogo bali hali ya hewa, uchumi wake mkubwa na lifestyle ya wakazi wake kulinganisha na baadhi ya miji hapa nchini. Wakazi wa Arusha kwa wastani wana kipato kizuri, na wanajipenda sana, kilaji kwa wingi, na kujichana kwa misosi na nyama choma.
Eti maisha bora, watu kibao Arusha wanakula mlo mmoja, niambie kipato kikubwa cha mtu Arusha nini?? Mnadanganywa na vihela vya watalii ambavyo wazungu wanavipora na kutimua navyo ulaya.

Wawekezaji wakubwa wa utalii Arusha ni wazungu na wameweka viofisi kiduchu pesa wanavuna na kurudi nazo ulaya. Vijana mapota na wanaopata masalia ya vidola ndiyo mseme kuna uchumi wa maana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Arusha ndio kitovu cha utalii wa ndani. Kuhusu PPF building walikuwa wanashindana kupandisha maghorofa kama vile hawana uchungu na hela za watu


Kwenye utalii hatubishi wenzio wanafika mbali eti mapato ya Arusha Dar inasubiri wengine wanaenda mbali eti Arusha ina mabilionea wengi kuliko Arusha ndilo lengo la mleta mada.
 
Back
Top Bottom