Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,633
Arusha flyovers zimeanza kujengwa kabla ya dsm halafu unaleta mashudu hapA
Hahaaa naona machalii wa ara mmeamua kutoleana uvivuUsifanye ushabiki, leta hoja mzee. Mm mwenyewe natetea Arusha dhidi ya moshi lakini siweki mapenzi.
Mambo ya home sweet home yanatoka wapi. Kwanza ww ni Mbaga kwenu upareni hukooooo Sifia hedaru kamq unaweza
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli sijui
MOSHI ni mji mzuri sana, kuliko ARUSHA, Halafu MOSHI kila kitu kizuri kipo kuanzia pombe mpaka makanisa, vibaka wachache, kelele ni hafifu.Basi hujakujua Arusha. Moshi ni kuzuri lakini si kufananisha na Arusha. Labda kama ungefananicha moshi na mikoa/ manispaa mingine.
Moshi hakuna majengo ya kusumbua kabisa. Arusha kama miji mingine ya zamani lazima kuwe na Some mipangilio mibovu.
Lakini all in all Moshi hamna kitu.
Sema kwamba. ARusha hajameet expectations zako. Lakini sio kufananisha na moshi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa,ila msipende sifa za kipuuziArusha flyovers zimeanza kujengwa kabla ya dsm halafu unaleta mashudu hapA
Upo sahihi kabisaMOSHI ni mji mzuri sana, kuliko ARUSHA, Halafu MOSHI kila kitu kizuri kipo kuanzia pombe mpaka makanisa, vibaka wachache, kelele ni hafifu.
Nimekaa MOSHI 9 years, Na nilikaa ARUSHA 2 years.
In short Dodoma will be a best city to enjoy in Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
TenaaaaMOSHI ni mji mzuri sana, kuliko ARUSHA, Halafu MOSHI kila kitu kizuri kipo kuanzia pombe mpaka makanisa, vibaka wachache, kelele ni hafifu.
Nimekaa MOSHI 9 years, Na nilikaa ARUSHA 2 years.
In short Dodoma will be a best city to enjoy in Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashangaa anaepasifia moshi inayozidiwa na kahama?Basi hujakujua Arusha. Moshi ni kuzuri lakini si kufananisha na Arusha. Labda kama ungefananicha moshi na mikoa/ manispaa mingine.
Moshi hakuna majengo ya kusumbua kabisa. Arusha kama miji mingine ya zamani lazima kuwe na Some mipangilio mibovu.
Lakini all in all Moshi hamna kitu.
Sema kwamba. ARusha hajameet expectations zako. Lakini sio kufananisha na moshi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhhhhhhhhh Sio Kwel mji wa matajir arusha unaujua?Arusha ni mji mzuri ila ni wa kawaida sana.Nimekuwa basilica sifa unaweza Arusha,lakini nilichokishuhudia ni tofauti na nilichokuwa nakisikia.
Nimekaa Arusha Kwa zaidi ya wiki 4 nimefanikiwa kuzunguka maeneo yote ya muhimu sijaona kitu cha ajabu.
Nimeona hata mji wa Moshi ni mzuri sana zaidi ya Arusha,ni sifa tu zisizo na miguu inapewa Arusha.
Hitimisho: Arusha ni mji mzuri Ila wa kawaida sana isipewe sifa zilizopitiliza.Moshi licha ya udogo wa eneo ni mji mzuri zaidi ya Arusha.
we ntu m1 hutuumizi kichwa mana dunia inaitambua Arusha na mazuri yake zaidi ya Dar.
Arusha home sweety home of mans
Wewe wasema
Arusha Sio nanjilinji wala nanyambaaaWiki 4 siyo chache kuujua mji
Sawa,lakini Arusha hakuna kitu misifaa tu
Hakuna uzuri wowote ARUSHA, no flyover, no skyscrapers, barabara za mji za kugombania tu, mirungi kwa sana!Arusha pazuri,shida sifa zilizopitiliza
Ni kweli sehemu za kishua Arusha ni chache sana the rest ni kwa kawaida sanaMpangilio wa mji,ubora wa majengo, ubora wa Makazi ya watu etc
Sawa,ila sifa zimezidi uhalisia
Zinajengewa chooni?Arusha flyovers zimeanza kujengwa kabla ya dsm halafu unaleta mashudu hapA