- Thread starter
- #81
Nakubaliana na weweMajiji yanayostahili kuitwa jiji katika nchi hii ni Dar es Salaam na Mwanza kwa mbali, miji mingine yote iliyo baki kama Arusha, Tanga, Mbeya na Dodoma kiuhalisia ina hadhi ya manispaa tu. Kuita majiji ni kujifurahisha tuonekane na sisi tuna cities nyingi katka nchi yetu kujifariji ktk dunia iliyoendelea.