Mji wa Arusha unakuzwa(overrated)

Mji wa Arusha unakuzwa(overrated)

Mwanzisha mada anazungumzia mji/jiji la Arusha na wala hazungumzii mkoa wa Arusha. Ni kutoelewa mada ndiko kunafanya watu wengine wazitaje Monduli au Mbuga zilizopo Arusha. Binafsi mtu anapolizungumzia jiji la Arusha moja kwa moja naelewa anamaanisha Jimbo la mh. Lema na si maeneo mengine.
Hoja imewashinda kwa hiyo wanatafuta chaka la kujificha
 
Ndio hawa wanaishia arusha mjini wanasema wamemaliza arusha. Kumbe wametembelea asilimia 10 tu ya mkoa. Watembelee wilaya zingine.. arusha ni kubwa sema tu sehem zingine hazijajengeka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona mneunawa mji wa arusha baada ya hoja kuwa nzito, mmebaki kutafuta viwilaya vya pembeni kwa lengo la kukimbia hoja
 
Kama hayo matejo na ngarenaro ndio sehem unazofaham.. sishangai ulichokiandika .. why?
Sababu uliyataja mengi ni uswahilini yanakaliwa na maskini watu wa chini. Mbona hujataja maeneo mazuri.. ambayo kimsingi ni mengi kuliko ya ya watu maskini.


Ni sawa na uipime dar baada ya kutembelea manzese, mbagala, kwa mtogole..
Halaf unaijua dar nzima wakati kuna maeneo kama tabata na kwingineko.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkubali tu arusha ni mji mzuri ila wa kawaida, kama sifa basi ipewe kulingana na uzuri wa mji kuliko kutoa sifa kuuubwaaa, kumbe kamji kakawaidatu
 
Mkuu hawataki kuamini kuwa A-Town ni kubwa?sawa inaweza isiwe kubwa lakini what about the attractions found there,and on top of that wazungu wenyewe wanaikubali Arusha kuwa ni GENEVA ya Afrika.Sasa wewe unachokipinga ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpunguze sifa basi ,sifa zimekuwa kubwa kuliko uhalisia wa Arusha ilivyo
 
Sijui kwanini misukuma inapenda sana kupondea Arusha. Misukuma mishamba sana.
 
Kama hutaki kusema basi nina mashaka na maeneo uliyotembelea. Kama umetembelea maeneo ya hovyo halaf ndio ukatumia hayo ku judge mji mzima.. basi umefeli.

Ungesema kama unaficha basi unaweza kuwa una agenda yako. Anyway kama ww unapaona arusha hapakufahi, wako wenzio wa miko mingine wanaopapenda. Mwisho wa siku hatiwez kuwa sawa.. utapachukia wengine watapapenda.
Sina ata aja ya kutaja maeneo niliyotembelea,nilifika arusha nikiwa na mzuka wa kufurahia mji kumbe hakuna kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom