Mji wa Arusha unakuzwa(overrated)

Mji wa Arusha unakuzwa(overrated)

Umekaa wiki 4 unasema umemaliza arusha? Hahaha dude come on. Sema umetembelea arusha mjini tu.
Arusha pekee ni kubwa sana, ukiwa mjini hutaona kitu, toka nje ya mji.
Kwa vigezo gani eti unasema arusha ni overrated?
Embu nipe point zako?


Sent using Jamii Forums mobile app
Ndani ya wiki 4 nimeuzunguka mji wote zaidi ya mara 5 Kwa kurudia rudia,Arusha ni mji mdogo sana.A Arusha ni mji mzuri , tatizo unapewa sifa kubwa sana kuliko uhalisia
 
Mwanza inakua Sana mkuu na inachangamka Sana hasa maeneo yote ya mjini Kati kemondo,samaki,Sahara, mzunguko,rwegasore, makoroboi, bugando,meko,mabatini,sasa hivi CBD IPO mpaka njia panda ya kiloleli na kirumba.kama unaelekea airport .mwanza inaikimbiza dar.na sa hivi ndo mkoa wa pili kuwa population kubwa almost 3m huku jiji likiwa na 1 million people ndo maana ni second largest city in tz

Sent using Jamii Forums mobile app
So unafananisha Mwanza na Kariakoo kwa lipi sasa.
 
In hell man. Itachukua miaka. Na arusha haibaki hivyo hivyo sababu arusha ina vitu ambavyo dodoma nzima hawana. Arusha yote imezjngukwa na vivutio vya kitalii. Dodoma ina hifadhi gani?
Angalia takwim za mwisho za mapato kati ya arusha na dodoma.. arusha wako mbele kuliko dodoma.

Kama isingekuwa serikal kuhamia dodoma, dodoma ingebaki hovyo sana.
Dodoma itaipita Arusha muda si mrefu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Arusha jiji kama jiji kwa maana ya arusha mjini ni padogo.
Toka nje ya mji jomba.. huko monduli na mbele yake ndio utajua kuwa arusha ni kubwa.
Asilimia kubwa ya arusha ni pori.. haoajajengeka.
Tembelea nje ya mji.. ndio utaona ukubwa. Ukisema umetembelea mjini tu bado mkuu.. bado sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona umechanganya habari ,tunaongelea Arusha mjini (pale wanapopaita jiji)
 
Kitendo cha kulinganisha Arusha na Moshi kinanifanya nikushangae sana, sema kwa kuwa ulikaa 4weeks tu.
Unaposema overrated ni na nani? Hapo ujue unazungumzia maoni ya walio wengi japo haimaanishi ni lazima kila mtu aende na hiyo flow ya mtazamo wa walio wengi.
You've all right to have your own opinion lakini opinions za wengi ndiyo zenye uzito zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ata mimi nilikuwa miongoni mwa wengi waliokuwa wanaikubali Arusha kabla sijaitembelea Arusha,lakini baada ya kufanya safari rasmi nimejitoa
 
Ningekushauri utembee arusha mkoa. Tembelea wilaya za arusha na miji ya ke midogo. Arusha mjini bado sana , hapo hutaenjoy. Toka nje ya mji..
Ndani ya wiki 4 nimeuzunguka mji wote zaidi ya mara 5 Kwa kurudia rudia,Arusha ni mji mdogo sana.A Arusha ni mji mzuri , tatizo unapewa sifa kubwa sana kuliko uhalisia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
In hell man. Itachukua miaka. Na arusha haibaki hivyo hivyo sababu arusha ina vitu ambavyo dodoma nzima hawana. Arusha yote imezjngukwa na vivutio vya kitalii. Dodoma ina hifadhi gani?
Angalia takwim za mwisho za mapato kati ya arusha na dodoma.. arusha wako mbele kuliko dodoma.

Kama isingekuwa serikal kuhamia dodoma, dodoma ingebaki hovyo sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe unajua sababu ya serikali kuamia Dodoma ,inaenda kuifunika Arusha,sas sijui ulikuwa unabisha nini
 
Kwa sasahivi hoteli gani zina viwango vya nyota nne na tano Arusha?
Kitu kinachonyanyua Arusha ni kuwa mlango wa vivutio maarufu vya utalii duniani
 
Ninachobisha ni kuwa itachukua muda mrefu sana. Katika muda huo arusha nayo itakuwa inapiga hatua sio kwamba imesimama.
Yes nimeish dodoma kwa kipind kiref kidogo.. disadvantage ambayo dodoma wanayo.. dodoma ni jangwa.. and hilo ni tatizo. Dodoma mjini tu penyewe ni padogo sana. Maji ni tatizo la muda mrefu.... imefanya ujenz kuwa wa tabu sana.
Itachukua muda kuifikia lakin arusha itakuwa imepiga hatua kubwa sana muda huo.
Kumbe unajua sababu ya serikali kuamia Dodoma ,inaenda kuifunika Arusha,sas sijui ulikuwa unabisha nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom