Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 12,231
- 9,552
Wenye nchi hawana huruma kabisa na nchi yao ndiyo kwanza wanataka kumkabidhi fisi nchi yao,mpaka mzungu ambaye hafaidiki chochote na wenye ndiye anaewaonea huruma.
Kama kipindi kile cha lada ambapo wazungu walionea uchungu watanzania kwa jinsi walivyo ibiwa,wakawapeleka wezi kwenye mahakama zao,tena kwa kutumia kodi za wananchi wao na wakafanikiwa kuwaokolea watanzania mabilioni ya fedha yaliyokuwa yameibiwa,huku watanzania ndiyo kwanza wamelala fofofoo,wakiwapepea mafisadi wa nchini mwao badala ya kuwapeleka Mahakamani na sasa ndio hawa wanaotaka kuwakabidhi nchi wawatawale.
Kama watanzania wanashindwa hata kuwashughulikia mafisadi wa ndani,badala ya kuwapeleka jela wanawapa utawala mpaka mzungu aje awashitue kuwa hapa mmepotea, hakuna haja ya kusema kuwa tuko huru,labda kama tuko huru kwa maana ya kumuondoa mzungu nchini mwetu hapo sawa,lakini kwa upande mmoja bado tunatawaliwa na mafisadi na upande mwingine tunatawaliwa na wazungu ndiyo maana hatuwezi kufanya maamuzi magumu pasipokusaidiwa na wazungu.
Kama kipindi kile cha lada ambapo wazungu walionea uchungu watanzania kwa jinsi walivyo ibiwa,wakawapeleka wezi kwenye mahakama zao,tena kwa kutumia kodi za wananchi wao na wakafanikiwa kuwaokolea watanzania mabilioni ya fedha yaliyokuwa yameibiwa,huku watanzania ndiyo kwanza wamelala fofofoo,wakiwapepea mafisadi wa nchini mwao badala ya kuwapeleka Mahakamani na sasa ndio hawa wanaotaka kuwakabidhi nchi wawatawale.
Kama watanzania wanashindwa hata kuwashughulikia mafisadi wa ndani,badala ya kuwapeleka jela wanawapa utawala mpaka mzungu aje awashitue kuwa hapa mmepotea, hakuna haja ya kusema kuwa tuko huru,labda kama tuko huru kwa maana ya kumuondoa mzungu nchini mwetu hapo sawa,lakini kwa upande mmoja bado tunatawaliwa na mafisadi na upande mwingine tunatawaliwa na wazungu ndiyo maana hatuwezi kufanya maamuzi magumu pasipokusaidiwa na wazungu.