Udukuzi na kufunga mitandao wapi na wapi.Tuko kwenye uchaguzi, ni kawaida kufanya hivyo. Huchelewi kuona Account za NEC zikidukuliwa na Membe kutangazwa mshindi wa kiti cha uRais
Magufuli kafunga mitandaoNajaribu kuingia YouTube lakini inagoma, kama nusu saa iliyopita nilikuwa naipata.
Kuna yeyote anapata tatizo kama langu?
Natumia mtandao wa Tigo
Hivi unaelewa maana ya dictetor?Hakuna dikteta yeyeto anaeachia madaraka
Weka screen shot with real time acha kubwabwaja huku ukijua dikteta Magufuli na madhalimu wake TCRA wamefunga social platforms ili wafanye unyama!Vods na airtel
Twitter ndio adui yao namba moja. Ilifungwa mapema sana.Kama inasababisha madhara na uchochezi ifungwe yote mpaka twitter,insta mpaka Darhotwire.
Kwa Sasa hawatishi,Bali anaua binadamu pemba.IGP Sirro aendelea kuwatisha Wananchi
Mbona mi nipo kariakoo na inafanya kazi tena kwa speed ya 9G.Twitter ndio adui yao namba moja. Ilifungwa mapema sana.
Tukisema magufuli hafai kuwa Raisi msidhani kuwa tuna chuki nae bali tunasema ukweli na tunamaanisha kweli. Huyu mtu ni kweli hafai kabisa sio tu kuwa Raisi bali hata diwani tu. Huyu mtu ni fedhuli na dikteta wa kiwango cha juu kabisa na hana ubinadamu kabisa.
Wito wangu kwa watanzania, Leo tu mmeona udhalimu wa huyu jamaa kwa kuzima mitandao, huu ni uthibitisho kuwa kesho tukapige kura kwa wingi na tuzilinde kura zetu kweli kuhakikisha huyu fedhuli harudi tena madarakani
Acho ulongo weweMwaka 2015 ilizimwa pia mkuu
Nahapo upinzani imezuiliwa kwa miaka 5, watu wamepigwa risasi, watu wametekwa lkn bado wanayotenda yote hayo wanahofu na wananchi.Magufuli ni failure!Mara zote duniani kufunga mitandao na internet,kutumia jeshi na intelligence katika kuendesha uchaguzi ndiyo imekuwa silaha ya mwisho ya madikteta wote waliokuwa wanakaribia kuanguka madarakani... I never thought CCM inaweza kuja kuanguka kwa style hii na kwa mbinu za kijinga hivi.