Zee la Nyeti
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 699
- 464
Meatu mtaa wa dhambi, kahama nyihogo na malunga, Maswa-njiapanda, nguzo nane, Kwimba -nyambiti, Magu-gamboshi, Sengerema-nyantukara, Mwanza Igogo kwa wakurya
Sis charminglady unamuona huyu mtu anachafua hometown
Bado ni hatari nako.Mkuu vp khs MAFISA sk hz?
Duh! Hapo Nonde yaonyesha na Nondo wanapiga eh!
sumbawanga,bangwe,chanji
Taja mtaa korofi na hatari kiusalama katika mkoa wako kuwasaidia wageni pindi wafikapo mkoani kwako.
MOROGORO: 1. Chamwino 2. Manzese 3. Mjimpya 4. Msamvu 5. Mwembesongo 6. Kihonda- Mbuyuni 7. Mafiga...hiyo mitaa kuwa makini sanaa.
DAR ES SALAAM: 1. Manzese 2. Kigogo 3. Kinondoni B 5. Vingunguti 6. Tandika na pia Mabibo
Mara ni mkoa mzima.
.Taja mtaa korofi na hatari kiusalama katika mkoa wako kuwasaidia wageni pindi wafikapo mkoani kwako.