+255
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 1,939
- 762
Na Manzese ya MorogoroChamwino Morogoro
Na Manzese ya MorogoroChamwino Morogoro
Hahaaa habari ya hapa tulipo mkuu, Tunduma kila mtu ni mjanja dhidi ya mwenzie!
Sultan Area sio kiivyo, Vibandani siku hizi pamekuwa na unafuu kidogo ingawa zamani palikuwa hakupitiki usiku. Hiyo barabara ya kwenda Moro hotel nilishawahi kukabwa maeneo ya uwanja wa gofu walikuwa kama saba hivi, wale vibaka karibu wote nilikuwa najuana nao ila wao hawakunitambua usiku huo nikiwa natoka mazoezini, walichukua wallet iliyokuwa na IDs, kesho yake waliniletea wenyewe vitu vyangu bila hata kuwatafuta. Huwa nawalinda sana na hizi mia mbili mia mbili wakiwa na njaa zao, ndio maana sikupata tabu ya kupata vitu vyangu.!
!
ila pia kuna vibandani na sultani area au karume...hii mitaa ni hatari kwa wageni. Kuna hii njia ya kwenda morogoro hotel kutokea hospitali mpaka nguzo, usiku kuna vibaka kinyama. Lakini pia kuna akina watoto wa forest bodaboda wako shuleni juu pale wanajiita michezo ya kuzidi wao mchana raia wema ila usiku kaa chonjo kwani wana michezo ya kuzidi......wapi pispo spy, bokasa, side konko d, maanina. Salute.
Kwa kura za harakaharaka mwanza inaongoza ikifuatiwa na Arusha.
Tanga ni Usagara Mabange
Tanga usagara mabangi nwanzange na kuchangani
Arusha ni ungalimitedi ,ngarenaro,kijenge
Kwa arusha kuna matejoo, ngarenaro, eso,ungalimited,daraja mbili bila kusahau kwa mworombo wezi wa bodaboda
Morogoro manzese, chamwino,,mjimpya, mafisa, kichangani, msamvu
Daaaah umenikumbusha mbali sanaaaa morombooo pale daaah acha tuuuu
Arusha ni ungalimitedi ,ngarenaro,kijenge
Chamwino Morogoro