Mitaa korofi na hatari mikoani

Mitaa korofi na hatari mikoani

ngalimited, ngarenaro, matejoo, kijenge juu. izo pande kua makin sana usku
 
Mbeya Uyole mtaa korofi ni Mwanyanje hapo unaweza nyeshewa mvua ya mawe ambayo hujui yanatoka wapi au ukakutana na tetemeko lisilomithirika kwenye chumba chako tu...karibu mwanyanje uyole
 
Kule Mwanza kuna sehemu hawaitaji inaitwa kijereshi na machinjioni kwa night ni balaa tupu!!mwananchi,mahina ebana taabu.
 
Kule Mwanza kuna sehemu hawaitaji inaitwa kijereshi na machinjioni kwa night ni balaa tupu!!mwananchi,mahina ebana taabu.

Bugarika, chakechake, igoma, mabatini duuuuuuuuh wakuotee vibaka utakoma katili ka mbwa mwitu. Nina hasira nao
 
Hapo nyuma barabara ya kuelekea Bwiru kutokea Kona ya Bwiru karibu na Kanisa la Baptist napo palikuwa hatari sana. Vijana wa hapo waliwahi kumkaba mwanajeshi, wakamjeruhi. Kilichofuatia hapo baada ya wiki mbili toka mwanajeshi akabwe, ni fundishontoka kwa vibaka. Siku hizi hata upite saa nane, hutasikia hata mjusi akikimbia. Wanajeshi walitoa fundisho.
 
Hapo nyuma barabara ya kuelekea Bwiru kutokea Kona ya Bwiru karibu na Kanisa la Baptist napo palikuwa hatari sana. Vijana wa hapo waliwahi kumkaba mwanajeshi, wakamjeruhi. Kilichofuatia hapo baada ya wiki mbili toka mwanajeshi akabwe, ni fundishontoka kwa vibaka. Siku hizi hata upite saa nane, hutasikia hata mjusi akikimbia. Wanajeshi walitoa fundisho.

Mwanza ki ujumla hakuna Usalama hata ukae Nyamhongoro
 
nilidhni kijenge itapitwa kimya kimya,ila kijenge now days ina sungusungu,juu hadi chini,kijenge iko peace tafuteni mitaa mengine kwa hapa Arusha joto
 
Back
Top Bottom