Mitaa korofi na hatari mikoani

Mitaa korofi na hatari mikoani

nilidhni kijenge itapitwa kimya kimya,ila kijenge now days ina sungusungu,juu hadi chini,kijenge iko peace tafuteni mitaa mengine kwa hapa Arusha joto
Kijenge ni ful upako kuanzia Kijenge mwanama njoo Kijenge chini mpaka kijenge Lutheran Kijenge bondeni Kijenge mlimani Kijenge Stereo Kijenge kwa Peter mshana Kijenge kwa watengwa Kijenge riverside Kijenge kimandolu kote huko ni peaceful arif

Maeneo korofi yalikuwa Kijenge Kashmir Kijenge mtaa namba sita kwa mbali Kijenge riverside Kijenge.

Lakini sasa mambo ni shwari.
 
Uswahilini, Kashai, Buyekela, Nyakanyasi, Omukigusha, Hamugembe n.k... haya maeneo yako Bukoba Mjini
 
Kuna mtaa unaitwa Shauri yako upo Kilosa mjini, Morogoro ni shida sana
 
Back
Top Bottom