Mitaa korofi na hatari mikoani

Mitaa korofi na hatari mikoani

TABORA-Ng’ambo,Kiloleni maeneo ya check line, Mwanza Road,Chem chem, Miogoni (wanaua sana madereva wa boda boda na kuwapora piki piki), Isevya na Ipuli hii ya mwanzo mwanzo karibu na Isevya.
 
Daaahh..mim nipo moro huku maeneo ya turian yn cku hku usipite mishale ya saa mbili kwny msitu wa mitiki lzm utekwe yan boda boda wanalia kwel lkn kama samaki vile......
 
Kilosa mtaa hatari ni SHAURIYAKO...umeitwa Shauriyako kwa maana litakalokukuta ni lako peke yko..
 
tabora mwanza road hasa ukivuka reli jirani na kiwanda cha nyuzi hatari sana
 
Sultan Area sio kiivyo, Vibandani siku hizi pamekuwa na unafuu kidogo ingawa zamani palikuwa hakupitiki usiku. Hiyo barabara ya kwenda Moro hotel nilishawahi kukabwa maeneo ya uwanja wa gofu walikuwa kama saba hivi, wale vibaka karibu wote nilikuwa najuana nao ila wao hawakunitambua usiku huo nikiwa natoka mazoezini, walichukua wallet iliyokuwa na IDs, kesho yake waliniletea wenyewe vitu vyangu bila hata kuwatafuta. Huwa nawalinda sana na hizi mia mbili mia mbili wakiwa na njaa zao, ndio maana sikupata tabu ya kupata vitu vyangu.

!
!
dah, ile njia ni soo sana ile. Yaani unapigwa tukio jamaa wanakatiza uwanja wa gofu wanatoboa mtoni wanatokea boma road, wanaingia mtoni stree wanatokea sultani area au vibandani wanatokomea misufiniiiii au chamwino kudadadeki.
 
Dar es salaam: Magogoni - Karibu na ka jamaa kanasafiri sana kanaitwa Kikwete
Dar es salaam: Oysterbay - Ni hatari sana karibu na kwa jamaa anahamasisha 'wapigwe tu'
 
siku hizi hadi masaki/obay watu wanaporwa
Huko ndo kubaya sana siku hizi. Si unajua diplomats wengi wanaishi huko? Baso vibaka wanavizia wanapokua wanatembea kwa miguu ile jioni, wao vibaka wanakuwa na bodaboda ama magari
 
Maeneo ya feri kuna Nchi inaitwa Lebanon hapo sio salama kabisa..yaani ni karibu kabisa na Iku.lu.
 
Back
Top Bottom