Mitaa korofi na hatari mikoani

Mitaa korofi na hatari mikoani

Mby mwana kasahau Njeliiiiii apo kaka usipime kama mgeni ktk gari inatoka taadhari be care utachekea chooni ndugu
 
Jamani jamani! chondechonde mkija Babati, si mchana wala usiku, si mwamamke wala mwanaume, si kijana wala mzee. Mtaa wa KITINTALE ni nouma, watu wote wana sura za kazi hata polisi hawathubutu pita huko.:smokin:
 
Hiyo siyo mitaa ni vitongoji, umesahau Igogo, Mkuyuni, Bugarika.
usimkosoe kama hujui, huyo jamaa (mwanza yote yangu) yuko sahihi, hiyo ni mitaa, kumbuka mjini hakuna vitongoji bali mitaa. Vitongoji viko huku Morogoro Vjijini, Mvomero, Mbalali, Chunya, Ileje; na maeneo hayao ni hatari tupu, ila Mkuyuni siyo pabaya sana
 
Mie natembea tena huku mboo imechomekwa mkund.uni.
Naanzia Mtaa wa Kongo mpaka Fire.

Nonde kumetulia nowdays....
Jimix mabatini, Airport, Ilemi ,Isanga na Uyole bila kusahau Mbalizi road na simike jirani na Kambi ya Jkt itende.....
 
MWANZA ukiwa na gari usi-park ovyoovyo maeneo haya barabara ya Posta karibu na Pizzeria kuleana vinginevyo uweke ulinzi la sivyo utakuta milango iko wazi! Jamaa huwa wanajidai wanapiga story kumbe mwingine anabomoa mlango kwa mtambo maalum ambao uko design ya funguo! Mtaa Wa Karuta hapa kuna garage bubu karibia na maungano na barabara ya Kenyatta upande Wa kulia ukiwa unatokea huku msikitini wanatazamana na Busigasolwe hotel (Zamani) hawa jamaa nao huwa wanabandua nembo original za magari (mfano land cruiser Toyota, n.k), taa original za gari n.k
 
Mwanza maeneo korofi na hatari ni
1. Bugarika
2. Igogo
3. Sahara
4. Nyanshana
5. Pasiansi
6. Mabatini (miembe giza na orange tree)

Hahahaha pasiansi ipi mkuu? Mlimani, Stand, iloganzala, malisili, sokoni, mtaa wa papa ama wapi mzee?
 
Ukifika moshi mtu asikudanganye uende njoro...! Wanachukua cm mpk nguo kama zao yani
 
Na ukifika mkoani mara wilaya ya tarime mtu asikudanganye ukafika sehemu moja inaitwa nyamongo kule kwenye mgodi wa barrick nakwambia utajuta kuzaliwa
 
Uwanja wa taifa haswa mechi kubwa zikichezwa
 
Arusha:Mianzini na Ngali pamoja na Matejoo.
Dsm:Jangwani,Magomeni hospital,Manzese mahakama ya simu.
Mbeya:Mabatini na Meta.
Morogoro:Manzese.

Mmmmh! Meta sijaisikia kwa sifa hizo ila mabatin uko sahihi kabisa,, pia mbalizi road kipindi cha nondo watu wanagongwa sana nondo
 
Mbeya maeneo haya yafuatayo yanahitaji umakini
Sido mitumbani
Mbaliz road
Mabatini
Mwanjelwa,,
hapo nimepanga kuanzia eneo hatar zaid kuja la unafuu
 
Taja mtaa korofi na hatari kiusalama katika mkoa wako kuwasaidia wageni pindi wafikapo mkoani kwako.

uwapo dar uwe makini sana ukifika manzese...kule kuna vibaka hatari, hata mchana kweupe mtu unakwapuliwa cheni au simu au kukwidwa na kunyanganywa hela. usipende kupita peke yako kwenye mitaa ya kiza na isiyoeleweka. watch out!
 
Back
Top Bottom