Mitaa korofi na hatari mikoani

Mitaa korofi na hatari mikoani

kwa wasafili wa mabasi yaendayo Arusha ogopa sana TENGERU ni hatari sana wezi wa simu kwa abiria wa magari yote hata kama gari ikiwa kwenye mwendo wa speed kubwa hawa jamaa wana uwezo wa kuchukua simu kwenye siti yoyote uliyo kaa
ni hatari sana yaan very exipart hadi wanaitwa mafundi
 
Kwa arusha kuna matejoo, ngarenaro, eso,ungalimited,daraja mbili bila kusahau kwa mworombo wezi wa bodaboda
 
Kwa Mwanza,Shede huwa nakuwa mpole tu kwa muda nikikatiza mitaa ile night watoto wa pale hawawezekani kabisa
 
Dar pita Keko machungwa,kurasini kijiji cha wavuvi,chadema bombom,kigogo kwa binti kahenga,mwananyamala kisiwani,manzese midizini,kinondoni moscow,kariakoo bonde la jangwani.....kwingine wataongezea.

Bila kusahau kinondoni brazil
 
kwa wasafili wa mabasi yaendayo Arusha ogopa sana TENGERU ni hatari sana wezi wa simu kwa abiria wa magari yote hata kama gari ikiwa kwenye mwendo wa speed kubwa hawa jamaa wana uwezo wa kuchukua simu kwenye siti yoyote uliyo kaa
ni hatari sana yaan very exipart hadi wanaitwa mafundi

Baaah Nkanaledi je??
 
New York.... Harlem na mannhattans madison square !
Lakini Shinyanga pale Majengo ndo kiboko !!
 
Mkiwa mnakuja Arusha mkifika Tengeru hivyo visimu vyenu viwekeni chonjo jamani, lile eneo ni hatari kwa simu zenu.
 
Dar pita Keko machungwa,kurasini kijiji cha wavuvi,chadema bombom,kigogo kwa binti kahenga,mwananyamala kisiwani,manzese midizini,kinondoni moscow,kariakoo bonde la jangwani.....kwingine wataongezea.

Moscow zamani kaka, sasa ni shwari
 
Back
Top Bottom