Jese Pinkman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2014
- 661
- 338
Mwanza mitaa korofi na hatari kiusalama ni Mabatini na Shede
Shede unawasingizia Sahara ni hatari kwa mwanza
Mwanza mitaa korofi na hatari kiusalama ni Mabatini na Shede
Mara ni mkoa mzima.
unaanzaje kuiacha igogo.... pale ndo ikulu ya maovu
baaah!likonde bwana weweee na nndeenga
Hiyo siyo mitaa ni vitongoji, umesahau Igogo, Mkuyuni, Bugarika.Mwanza mitaa korofi na hatari kiusalama ni Mabatini na Shede
Mara ni mkoa mzima.
Arusha ni ungalimitedi ,ngarenaro,kijenge
Mwanza mitaa korofi na hatari kiusalama ni Mabatini na Shede
Arusha:Mianzini na Ngali pamoja na Matejoo.
Dsm:Jangwani,Magomeni hospital,Manzese mahakama ya simu.
Mbeya:Mabatini na Meta.
Morogoro:Manzese.