Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 20,347
- 62,353
Sina maneno mengi ya kukwambia ila najua wapo waongo watakao ushinda moyo wako kwa maneno yao mengi na kuniacha Mimi ambae ni mkweli kwako.
Nilichoamua ni kuacha ukweli naokwambia uonekane siyo kweli ila ipo siku ukweli wangu utajitetea wenyewe
Nilichoamua ni kuacha ukweli naokwambia uonekane siyo kweli ila ipo siku ukweli wangu utajitetea wenyewe