Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Mkuu MK 254, sio bila kujua Faiza anajua nilimpenda ile siku namuona tuu kwa mara ya kwanza, love at first sight, but very unfortunately mimi ndio nilikuwa nimetoka bush nikaletwa mjini na Kaka zake, nikaajiriwa na Masai Studio kuendesha kipindi cha Kiti Moto, hivyo kujua kuwa nampenda Faiza anajua.
P
Kumbe mnafahamiana kwa majina. Natamani nimfahamu huyu mama kwa majina halisi na sura.
 
Kumbe mnafahamiana kwa majina. Natamani nimfahamu huyu mama kwa majina halisi na sura.
Anifahamu wapi huyo anajishaua tu, hujuwi visa na mikasa ya ma "facilitators"?

Huyo kala nondo yangu moja tu kwenye uzi wake akawa anatafuta pakutokea. Eti ananitongoza! Nikaona isiwe shida, yanini kuwaharibia wachangiaji wengine wakati kuna uzi mahsusi kwa wanaojidai kunitongoza, nikamvuta huku ndiyo unamuona anabwabwaja (note neno bwabwa) na kuhororoja hovyooo.

Haijibu ile nondo niliyomwachia kule. Guaranteed.
 
Una miongo mingapi mpaka sasa mintarafu umri wako ?

Ni hilo tu.
Hilo swali nimelijibu kwenye uzi wake, nakuwekea link chini, naomba upitie, mwanzo mwanzo tu utalikuta jibu...

 
Hilo swali nimelijibu kwemye uzi wake, nakuwekea link chini, naomba upitie, mwanzo mwanzo tu utalikuta jibu...

Nimeona pale kwenye shahada yako ya mwaka 1982, bila shaka wewe ni mtu mzima sana.

Mwaka huo hata kaka yangu alikuwa si mwenye kutajika.

Ni hilo bi mkubwa, heshima kwako.
 
Ebu nijuze

Yapo ndani ya biblia hayo...

Kumbukumbu la Torati 22:
13 Mtu akitwaa mke, akamwingilia na kumchukia,
14 kisha akamshitaki mambo ya aibu kumzushia jina baya, akasema, Nimemtwaa mwanamke huyu, nami nilipomkaribia sikuona kwake alama za ubikira;
15 ndipo babaye yule kijana na mamaye watakapotwaa alama za yule kijana za ubikira, wawatolee wazee wa mji langoni;
16 na baba yake yule kijana awaambie wazee, Mwanamume huyu nilimpa binti yangu awe mkewe, naye amchukia;
17 angalieni, amemwekea mambo ya aibu, asema, Sikuona kwa binti yako alama za ubikira, nazo hizi ndizo alama za binti yangu za ubikira. Na wayakunjue yale mavazi mbele ya wazee wa mji.
18 Basi wazee wa mji ule na wamtwae yule mtu mume na kumrudi,


Soma zaidi:
 
Bila shaka utakuwa rika moja na mama angu. Vijana wanatakiwa wawe na adabu.
Kasome uzi huo nimekuwekea link. Usipate tabu. Mama'ko simjuwi hanijuwi kwa hiyo hainihusu umri wake au wako, nadhani na wangu haukuhusu.

Unataka kuanza ubaguzi wa umri?

Kama una maulizo yoyote "general" nakuomba pitia uzi niliokuwekea link.

Nimetofautisha hizi nyuzi makusudi ili maudhui zisiingiliane.
 
Back
Top Bottom