Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Hv anafananaje ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo hata iweje hanifahamu kabisa. On the other hand, mimi namfahamu sana. Na wote niliomtajia anawafahamu sana.

Usione anajisheua tu hapa, ni waleee.

Kuna mtu "public figure" mwandishi wa habari maaruf akaandika uharo kama huyo? Wasiofunga uharo si wanajulikana ni kina nani? Wajerumani wanasema *springt tot", hivi mpaka watoke kabatini ndiyo muelewe? Kwa vitendo vyao tu yapaswa muelewe.
 
Faiza, hv una watoto wako humu Jf?
Huyo hata iweje hanifahamu kabisa. On the other hand, mimi namfahamu sana. Na wote niliomtajia anawafahamu sana.

Usione anajisheua tu hapa, ni waleee.

Kuna mtu "public figure" mwandishi wa habari maaruf akaandika uharo kama huyo? Wasiofunga uharo si wanajulikana ni kina nani Wajerumai wanasema *springt tot", hivi mpaka watoke kabatini ndiyo muelewe? Kwa vitendo vyao tu yapaswa muelewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee wa hidden powers naona umeamua umwage na cv kabisa, ha ha, bibi aspokukubal hapo tena ana lake jambo

Sent using Jamii Forums mobile app
Nisome vizuri tu.

Mwanamme rijali hatongozi wala hana mistari wala hana kujisheua.

Umeshawahi kusikia kuhusu "a man of few words"?

Ukiona mwanamme anajidai kuongea sana ujuwe patupu hapo.
 
Sasa mbona Faiza unataka kuleta mengine akati Brother Etu Pascal kashakufa na amemwaga point kibao!! We mkubalie tu sisi wengine tumejitoa.[emoji16]
Hivi bado hujaelewa tu, au hunisomi? Nisome taratiiibu utaelewa tu, halafu kama haumfahamu, siku anarusha kipindi chake mtazame vizuri. "Crystal clear" utanielewa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ss mm mpk nkutake ww nikose ela ya kukupeleka kubalizi ibiza kwel au shopping Paris jmn me congei mengi just simple & clear BAKI NA MIMI...
Naona mrembo umekaa kmy kuhusu jibu langu[emoji115][emoji115] guess whaaat?? Mtoto kaelewa so naenda ku win the battle na hii thread naiuwa rasmi woyooo!!!![emoji3][emoji3]

Nb: kwny mapnz akuna kuitana bibi ata km umenizd umri mm nakuita mtoto a.k.a beib!!!
 
kumbe nikimpata Meb Al Hadad au Alioki nitakuwa nimekipata hiki kigagula kwa chee... popote aliko

naanzia Facebook, Instagram hadi Skype na mitaa ya gerezani hadi feri

German Shepherd hajawahi kuonja ya kizee!

code is encoded

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa, basi fanya kunitumia kwa Halopesa, jina litatokea CHIBUGA Y. CHITEMO [emoji120]
Umetuma TSh 27,000 kwenda kwa 2556251495xxx- CHIBUGA Y CHITEMO. Ada TSh 370. VAT TSh 56. Kumbukumbu no.: 93016192160. 28/01/20 16:41. Salio lako jipya ni TSh xxx,287. Asante kwa kutumia HaloPesa.
 
Sasa mbona Faiza unataka kuleta mengine akati Brother Etu Pascal kashakufa na amemwaga point kibao!! We mkubalie tu sisi wengine tumejitoa.[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
Afanaaleik! Du! Na wewe pia "facilitator"!

Allah wasitiri hawa vijana.

Hakika janga hili.

Naomba kukuuliza, umesoma shule ya bweni? Mwaka gani?
 
Hivi bado mnatongoza tu?

Miaka nenda rudi dah aisee...

Mi nilishawahi tupia mavoko yangu hapo nikaambulia patupu japokuwa alikubali swaga zangu sema alijibaraguza kwakuwa yeye ndo mmiliki wa huu uzi.

Kwahiyo kitendo cha yeye kunikubali mimi baaasi Uzi ungefika mwisho wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
"Starring" hafi.
 
Huu uzi huu, mbavu zangu jamani!!!! Hehehehe, ila kwa maneno maneno na mipasho huwa siwawezi nyie Watanzania.
Nasikia kuna Mtanzania alienda Nairobi, asubuhi akaingia "restaurant" apate chai. Akaanza kumuita "waiter",

MTZ: "kaka, kaka, naomba chai".

MK254: kusikia hivyo kaondoka kenda kumwambia mwenzake, ona ile mukora, imevaa vizuri halafu eti inaomba chai. Mwenzakr akamwambia, fukuza!

MK254, kurudi karibu ya yule jamaa, akaambiwa "kaka nimeomba chai muda sasa, tafadhali naomba mnifanyie haraka nachelewa".

MK254: Wee mukora, upotee saa hii, nikirundi nisikute mutu juu ya iyo mesa. Ukaombe kule mu barabara, hatutakangi wakora hapa.

Duh! Mkenya hajaalewa lugha ya kwetu, yeye alitaka aambiwe, wee, letanga chai!

Kwi kwi kwi teh teh teh.
 
Wewe hata kuandika vizuri hujajuwa. Nipishe huko, kafanye homewok kwanza ya kujifunza kuandika.
Usilolijua sawa na usiku wa giza btw let the thread bang na kwa style hii ata bill gate atakataliwa ataulizwa "aya una inchi ngp kunako trouser" [emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom