Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Kasome uzi huo nimekuwekea link. Usipate tabu. Mama'ko simjuwi hanijuwi kwa hiyo hainihusu umri wake au wako,nadhani na wangu haukuhusu.

Unataka kuanza ubaguzi wa umri?

Kama una maulizo yoyote "general" nakuomba pitia uzi niliokuwekea link.

Nimetofautisha hizi nyuzi makusudi ili maudhui zisiingiliane.
Nilikuwa natilia mkazo tu. Kumaizi ndio kumefanya dunia ikawa hapa, sijakubagua.

Sina la ziada wala swali.
 
Nimeona pale kwenye shahada yako ya mwaka 1982, bila shaka wewe ni mtu mzima sana.

Mwaka huo hata kaka yangu alikuwa si mwenye kutajika.

Ni hilo bi mkubwa, heshima kwako.
Hongera. Na ukiupitia huo uzi vizuri na la umri utalikuta.

Kaka'ko pia simfahamu na hata nikimfahamu umri wake siwezi muuliza umri wake kuufanya kigezo cha kumbagua, na hata wewe pia halikadhalika.

Sifahamu kwanini unaongelea sana umri wa watu wakati kigezo cha ubora aa mtu Kiislam ni (taqwa).

Kiislam ukishabalehe wewe ni mtu mzima. That's it.
 
Nasikia kuna Mtanzania alienda Nairobi, asubuhi akaingia "restaurant" apate chai. Akaanza kumuita "waiter",

MTZ: "kaka, kaka, naomba chai".

MK254: kusikia hivyo kaondoka kenda kumwambia mwenzake, ona ile mukora, imevaa vizuri halafu eti inaomba chai. Mwenzakr akamwambia, fukuza!

MK254, kurudi karibu ya yule jamaa, akaambiwa "kaka nimeomba chai muda sasa, tafadhali naomba mnifanyie haraka nachelewa".

MK254: Wee mukora, upotee saa hii, nikirundi nisikute mutu juu ya iyo mesa.

Duh! Mkenya hajaalewa lugha ya kwetu, yeye alitaka aambiwe, wee, letanga chai!

Kwi kwi kwi teh teh teh.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hongera. Na ukiupitia huo uzi vizuri na la umri utalikuta.

Kaka'ko pia simfahamu na hata nikimfahamu umri wake siwezi muuliza umri wake kuufanya kigezo cha kumbagua, na hata wewe pia halikadhalika.

Sifahamu kwanini unaongelea sana umri wa watu wakati kigezo cha ubora aa mtu Kiislam ni (taqwa).

Kiislam ukishabalehe wewe ni mtu mzima. That's it.
Bi mkubwa unapenda kuminyana sana kwenye hakuna.

Bora ya maneno, ni maneno machache yenye faida.

Umri ni kigezo muhimu sana, ndio maana hujawahi kusikia nabii au mtume mtoto.

Ukisoma adabu za kutafuta elimu utaona nafasi ya umri.

Nani amesema katika Uislamu ukishabaleghe wewe ni mtu mzima ?
 
Bi mkubwa unapenda kuminyana sana kwenye hakuna.

Bora ya maneno, ni maneno machache yenye faida.

Umri ni kigezo muhimu sana, ndio maana hujawahi kusikia nabii au mtume mtoto.

Ukisoma adabu za kutafuta elimu utaona nafasi ya umri.

Nani amesema katika Uislamu ukishabaleghe wewe ni mtu mzima ?
kama ka uzi ndani ya Uzi, hongereni na mlimalize hili vizuri
 
Bi mkubwa unapenda kuminyana sana kwenye hakuna.

Bora ya maneno, ni maneno machache yenye faida.

Umri ni kigezo muhimu sana, ndio maana hujawahi kusikia nabii au mtume mtoto.

Ukisoma adabu za kutafuta elimu utaona nafasi ya umri.

Nani amesema katika Uislamu ukishabaleghe wewe ni mtu mzima ?

Hizo adabu kazisome wewe inatosha. Ukitaka kuzisomesha fungulia uzi tutakuja, umeisoma mada hapa?

Mimi nimesema hilo la baleh.

Ndiyo gea yako ya kutongozea hiyo?
 
kama ka uzi ndani ya Uzi, hongereni na mlimalize hili vizuri
Huyo nae genye tu zinamsumbuwa, nilishamfahamisha kuwa kama anaswali nimempa link lakini anajifanya haelewi, kang'an'gania tu hapa hapa.

Wanasema mwanamme ana damu inayomtoshwa kichwa kimoja tu na yeye ana vichwa viwili, damu ikiwa Kichwa cha chini cha juu hakifanyi kazi.
 
Huyo nae genye tu zinamsumbuwa, nilishamfahamisha kuwa kama anaswali nimempa link lakini anajifanya haelewi, kang'an'gania tu hapa hapa.

Wanasema mwanamme ana damu inayomtoshwa kichwa kimoja tu na yeye ana vichwa viwili, damu ikiwa Kichwa cha chini cha juu hakifanyi kazi.
du!
 
Back
Top Bottom