Hizo nukta mara mbili, mara tatu, mara nne maana yake nini?ujue faiza mi ntakufa kwa ajili yako..na nakuhakikishia ukinikubalia ntakupa likes nyingi hapa JF,,hata ukiandika upupu ntakutetea na kukuunga mkono mpaka trako,,,,i will make sure you stand as a top of the topper girls(hapa nimetumia kingreza ili kukupa utisho na uone mimi kipanga)...pia ntahakikisha hakuna mtu wa kukupiga ban(ingawa mi sio moderator),,i lov you baby faiza,,baby mama,,senora,,babyface faiza,,,and i know you are hotter than the tropic ata vile sijawahi kukuona...today am yours(in enrique iglesias voice)...
Jibu hoja zake. Usijifiche kwenye makosa yake ya kisarufi.Hizo nukta mara mbili, mara tatu, mara nne maana yake nini?
kurlimisha
= Kuelimishawanancgi
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hoja kwamba anakutaka tena anatoa machozi kabisa. Mwambie kama umemkubalia au la.Hoja ipi?
Sadaka tu hata kama mtarimbo ukilala doro ?!Mwenye kutoa sadaka kwa wingi.
nakutaka Faiza, nimekufa nimeoza, lets go on date sweetWale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Nipigie pande basi na mimi[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]nipo kuangalia atakayeibuka kidedea.
Sent using Jamii Forums mobile app