Una umri gani? Tuanzie hapaNawatahadharisha. Yeyote kuanzia sasa ataenitumia PM hata anaejidai kunisalimia tu na hatujuani ajuwe nitaihamishia hapa.
Acha Fegi na mvinyo kwanza....umeamka nayoNawatahadharisha. Yeyote kuanzia sasa ataenitumia PM hata anaejidai kunisalimia tu na hatujuani ajuwe nitaihamishia hapa.
Umri wangu unakuhusu nini?
AlhamduliLlah situmii uraibu wowote isipokuwa bangi tu tena siivuti huwa najifukiza ikiwa nimeichanganya kwenye udi wa mawardi. Nishai nazipata lakini.
Wewe piga tu story, huu uzi chukulia ni chitchat hakuna kuharibika.Mimi sio fala nilikuwa innocent boy by that time sema ndo circumstances tu zilitoke, anyway tuishie hapa mana Faiza Fox atatunanga kuchafua uzi wake pendwa wa Mtongozo thread
Ulinioa lini? Wewe hata sasa hivi nikikwambia toa sadaka 10,000 huna. Utapata mke? Mashuuudu.Faiza plz njoo inbox am real mke wangu sitanii plz mke Wangu nimeona Huu uzi wako nimeona wivu kuna wanaume wajinga humu wengi plz niamini njoo inbox mke wangu
Na nimeshawaambia kuanzia sasa hata wakija pm na simfahamu anajidai kunisalimia atakuta post yake iko hapa. Kazi kwao.Heshima kwako FaizaFoxy. Leo umewaweza wote. Kuanzia mkubwa hadi mdogo, wote wanaokutongozaga leo kule Zenj wanasema; Wameufyata. Yaani wameubania miguuni. Dah! Haya vidume mpo wapi leo? Nadhani changio hii ni ya 20 mbona hakuna hata mmoja amethubutu?? Yaani, aliyejifanya tu ka anajikuna?
Basi lieni "Poo" kwa bibi yenu
Hakuna umakini hapa. Kama unamsoma huyu madam kwa umri wake anaosema anao na haya maudhui ya uzi huu amepotoka. Don't sugarcoat it kabisaa ila kwakuwa ni yeye mwenyewe kaamua hayo sawa tuu. Ila huu siyo uzi makini abadan labda kuna utafiti unafanyika nisioufahamu ktk huu uzi.Ukisoma kwa makini ni Uzi makini kuliko zote.
Anatoa Somo tu hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke bila kutongozwa haiji, hata posa ni kutongoza amma ukubaliwe amma ukataliwe.


Haya mwengine huyu, jukwaa la kutongozana unaulizia Kiswahili. Hapa tongoza hata kichina.
Wewe unajua kupotoka wewe? Ni heri ujisomee tu huu uzi una mengi ya kujifunza.Hakuna umakini hapa. Kama unamsoma huyu madam kwa umri wake anaosema anao na haya maudhui ya uzi huu amepotoka. Don't sugarcoat it kabisaa ila kwakuwa ni yeye mwenyewe kaamua hayo sawa tuu. Ila huu siyo uzi makini abadan labda kuna utafiti unafanyika nisioufahamu ktk huu uzi.
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Miaka 40 ndani ya ndoa.Kwamba mtu wa miaka 40 wewe anaweza kuwa baba/ mama yako...daah hum ndani humu
Sent using Jamii Forums mobile app