FaizaFoxy NINI TATIZOMie nawaambia wengine ni majuha, tazama huyu anaota kisha oa kabisa...
Una pesa? Nipo serious kabisa. Tangaza ufalme.
Mimi sijaona ndo mana nkakuuliza ww le MadameTatizo uone wewe uniulize mimi?
Makubwa!
AlhamduliLlah situmii uraibu wowote isipokuwa bangi tu tena siivuti huwa najifukiza ikiwa nimeichanganya kwenye udi wa mawardi. Nishai nazipata lakini.
Sifahamu kwanini Tanzania hawaruhusu bangi? Siku hizi my home away from home tunanunua dukani.
Babu yao ndiye anafurahi zaidi.Bhas leo umeongeza kipimo cha kujifukizia...punguza.
Ila sipati picha ukiwa high...wajukuu wanakufurahia sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu, hatari!Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Kwani akishachanganya na udi anafukizia wapi?Bhas leo umeongeza kipimo cha kujifukizia...punguza.
Ila sipati picha ukiwa high...wajukuu wanakufurahia sana
Sent using Jamii Forums mobile app
nyingine changanya kwenye supu au mboga ni saaf saaanaAlhamduliLlah situmii uraibu wowote isipokuwa bangi tu tena siivuti huwa najifukiza ikiwa nimeichanganya kwenye udi wa mawardi. Nishai nazipata lakini.
Sifahamu kwanini Tanzania hawaruhusu bangi? Siku hizi my home away from home tunanunua dukani.
Kama una mume huna haha ya kutongozwa ...wakiku pm wapuuzeMume ninae lakini bado natongozwa. Sasa waje hapa, watu wenyewe wanaonitongoza hata pesa za sadaka hawana sasa sijuwi mimi watanihonga nini.
Pesa ipo weka namba nitume ila papuchi iwe uhakikaUna pesa au porojo tu?