Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,739
- 76,374
Kwako dada FaizaFoxy najua wanakuchafua na kukukosea adabu na heshima huko PM kwako na nyuzi za wanajamii forum wengine lakini mi nahisi ni bora ungeficha upuuzi/upumbavu wao wanaokufanyia kuliko kuweka nyuzi kama hii dada[emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Sattelite c1175b
Sent using Sattelite c1175b