Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Tuashum mtoto wake aliingia ndoani na miaka 20 na mjukuu nae kaingia ndoani na miaka 20, huyo ni mmoja na yeye anasema wajukuu. Mbombo ngafu

Sent using Jamii Forums mobile app
Teh, assume yeye aliolewa 18-20yrs hapo, akiwa 40yrs first born wake ana 18-20yrs hivi(hopefully awe mdada), nae aolewe na kujaliwa watoto. Faiza akiwa 60 hakika mjukuu wa kwanza ataolewa...

Kumbuka kuna jamii at 18yrs mtoto anaolewa, nina binti wazazi walitaka arudi home coz ametafutiwa mchumba, at the age of 17, unaweza kuona...
 
Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.

Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana

Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Hahahaha... Subiri wahuni (Dogo janja type) wakuvunjie ndoa .
Kumbuka kuleta mrejesho mmoja wao akifanikiwa..
 
Teh, assume yeye aliolewa 18-20yrs hapo, akiwa 40yrs first born wake ana 18-20yrs hivi(hopefully awe mdada), nae aolewe na kujaliwa watoto. Faiza akiwa 60 hakika mjukuu wa kwanza ataolewa...

Kumbuka kuna jamii at 18yrs mtoto anaolewa, nina binti wazazi walitaka arudi home coz ametafutiwa mchumba, at the age of 17, unaweza kuona...
Haha umeshinda. Na hawa wajukuu ndio tunapigana vikumbo Jf mbaya zaidi wengine tunagombea hadi mabwana... Jf simama nishukie Mwembechai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.

Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana

Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
akutongoze nani ajuza wewe umepitwa na wakati.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo chacha
582380cc97107f0fe996ea7d5749a233.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.

Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana

Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Mkuu kama wanakukerawanakukera unadhani hapa wataweza kuwa huru?
 
Back
Top Bottom