sasa si utakuwa na kisukari au presha maana ukisha kuwa wa makamo ni hatariBibie faiza Mimi nakutaka tukiwa wote watu wa makamo nadhani tutaendana.. Please singatia ombi langu sweetie
Hata sijui mwenza.
Haya mama, wewe wanyoooshe tu. Mie nakuheshimu sana. Wewe ni dada yangu. Mmoja ya watu wa kwanza kunifanya niipende jf...Kuna watu wanapandisha nyege kwa avatar tu na id.
Sasa wanakera hao, wananijazia pm bila mpango.
Mwengine eti mie mbunge ntafanya maisha yako yawe mazuri.
Mwengine mie mfanya biashara naenda china, utapata chochote ukitakacho.
Mwengine yeye eti anaweza kutia goli tisa bila kuchoka.
Yaani wazimu mtupu.
Sasa uwanja huu. Wote wanasepa.
Na nnawaambia mkome kunifata majukwaa mengine na pm mwanamme kweli aje hapa.
Mimi sio wa dar shughuli ninazofanya kijana wa 25yrs dar hawezi fanyasasa si utakuwa na kisukari au presha maana ukisha kuwa wa makamo ni hatari
hahahaWale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Watabiri wa jf, wana id rundo wanafikiri kila mtu ako na huo upuuzi.
50 thousand my offer! Lete nambaUna ngapi nikupe namba ya fundi bomba ajipatie sadaka.
Niko hapa napata juice huku naburudika na uzi wa dada.
Watongozaji mkuje huku.mana hamuishiwi kuwaita watu Mungu aliwapendekea katika uumbaji Mara muwaite Kina Cleopatra..soma hiyooooooooooooWale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
vyote ni viswahili fasaha, ila acheni ni kiswahili sanifu (standard/lugha rasmi ya kamusi kama ilivyoamuliwa na wataalamu wa kiswahili) ila wacheni pia ni fasaha japo sio 'sanifu/standard' ila ukienda kiswahili kilipozaliwa utakuta wenye kiswahili wanakwambia 'wacheni' ila sisi tuliosoma kiswahili cha shule tunasema 'acheni'Naomba nikuulize , kiswahili fasaha ni kusema "wacheni" au "acheni". Ni hilo tu bibi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema darasa sio darsa ,kujifanya waarabu tuHili ni darsa kubwa kuliko unavyofikiria.