Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Mkuu, kwa hiyo na wewe umekaaa ukafikiria ukaona amedhamiria kabisa kuanzisha huu Uzi??Mkuu katika siku umeanzisha nyuzi ya kitoto ni leo?
Hii nyuzi imekaa kikahaba sana, hua nimekueka group la wanawake wenye ubongo mkubwa sana humu Jf ...but not anymore
Naanza kuamini wengi wa wasichana jf hawana utofauti na wale wa badoo,sema ndo vile baadhi wanajitahidi sana kujificha hadharani ila ukimuotea angle yake utakuta ni walewale...leo mkuu umeteleza sana,au ulikua unapost ktk ID ya matukio bahati mbaya umepost kwa ID yako ya heshima?
Narudia tena...Huu uzi ni wa kitoto mno...
Sent using Jamii Forums mobile app
Haikukupitikia kwamba she is joking?? She is a person of her own status, she knows her standing and she would never diverge.
Nina imani kubwa mtu mzima ameamua kuchangamsha genge na vijana.
Humu hatutakiwi kuwa serious kihivyo mzee hususan MMU. We are having fun here bro
